Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari tulizozipata kutoka Uganda zinasema kuwa tarehe 9 Aprili, 2016 Ujumbe wa Tanzania wakiongozwa na Waziri wa Nishati na Madini- Prof. Sospeter M. Muhongo, Katibu Mkuu- Prof. Ntalikwa, Naibu...
4 Reactions
31 Replies
8K Views
HUYU NDIYE MRITHI WA BAN KI-MOON _________________________________________________ Dr. Jakaya Mrisho Kikwete Rais mstaafu wa Tanzania kwa awamu ya nne (2005 – 2015) ni miongoni mwa wanadiplomasia...
6 Reactions
170 Replies
26K Views
  • Closed
Nahisi sasa ni wazi masaa na dakika za Dr. Dau (Mkurugenzi mstaafu wa NSSF) kukaa uraiani zinahesabika, baada ya habari zinazotalawa za ubadilifu wake. Nimesikia jana Taasisi ya Kuzuia na...
17 Reactions
233 Replies
33K Views
Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli...
10 Reactions
110 Replies
18K Views
Naiandika kama tetesi kwani mimi kama mimi sijafika ocean road cancer institute kuthibitisha..lakini kuna mgonjwa katoka huko wiki iliyopita na amesimulia kutozwa kiasi kisichopungua laki tano ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau. Hizi ni pamoja na kampuni...
17 Reactions
191 Replies
24K Views
Wanabodi Salaam; Kuna kikao kilikuwa kinaendelea huko alipoporwa ushindi seif sharif hamad,kuna makubaliano yamefikiwa hawa jamaa wapewe uwakilishi wa kuteuliwa.sijui lengo la kuwateua litakuwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu wadau... Kuna taarifa kuwa serikali ina mpango wa kulipa madeni yote ya walimu mwezi huu wa tatu. Katika baadhi ya shule walimu wamepewa fomu za kujaza ili waweze kulipwa pesa hizo...
3 Reactions
56 Replies
12K Views
Kufuatia zoezi la kuhakiki watumishi hewa katika taasisi za uma. Baadhi ya walimu wa Manispaa ya Kinondoni waliofukuzwa kazi miaka 5iliyopita kwasababu mbalimbali juzi waliitwa kwenye zoezi la...
2 Reactions
29 Replies
7K Views
  • Closed
Niliwaambia Manji anaitumia Yanga kisiasa ili aje agombee nafasi moja kubwa hapo baadaye. Wengi wananibishia. Manji atakagombea Udiwani, atashinda. then atakuja kugombea UMEYA WA JIJI LA DAR...
4 Reactions
79 Replies
16K Views
Kwa mujibu wa moja ya wafanyakazi wa tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC jina tunalihifadhi kwa usalama wake anasema kuwa idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi wa marudio visiwani humo...
19 Reactions
127 Replies
25K Views
  • Closed
Nibora uende ktk maisha yako ukimuamini Mungu nakuishi maisha Imani yako pasipo kusema dini ya mwenzako. Taifa changa kama tz ukisikia watu wanapenda kuutaja udini ktk kila kitu nilazima ujue...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm Hali hii...
8 Reactions
146 Replies
25K Views
Taarifa nilizopata ni kuwa Mzee Kingunge na Mwapachu wanataka kurudi CCM.Mimi kama mwana CCM ndaki ndaki sitaki warudi. Walitutelekeza vitani wakatuachia tuhangaike na CCM peke yetu.Nakiomba...
1 Reactions
84 Replies
15K Views
  • Closed
Hii ni kwa mujibu wa Mzalendo.net Zanzibar. Taarifa zinasema wengine wanaotakiwa kuwekwa ndani ni Mh Mazrui Edy Riyami Mh Hamad Masoud ambaye leo asubuhi alikamatwa akiwa nyumbani kwake...
0 Reactions
79 Replies
11K Views
At finally, baada ya kufanya kazi usiku na mchana za maendeleo alizokua akizipiga Mh DC licha ya watu kumkejeli mara muuza sura, mara anajipendekeza, mara mtovu wa nidhamu lakini kwa hayo yote...
2 Reactions
118 Replies
24K Views
WanaJamii, Kwanza napenda sana kuumpa pongezi raisi wa JMT Dr.Magufuli kwa kuendelea kutumbua majipu.Lakini Doc ngoja nikuambie kitu kimoja,mfumo wetu ndio issue. 1. Tunahitaji katiba mpya ya...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
..huu ni mtego ambao CUF hawatakuwa na njia ya kuutegua. ..sasa hivi wanalalamika kuhusu matokeo ya majimbo ya uwakilishi ambayo walishapewa shahada za ushindi. ..ZEC-CCM watawarudishia majimbo...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Kama movie vile shikamoo dira sasa nahisi kuiamkia shikamoo JAMIIFORUMS BAADHI YA MAJIPU NAHSI MITANDAO INASAIDIA KUTUMBUA NA HABARI ZA USIKU HUU KUWENIWAPOLE MAJIPU KADHAA KUTUMBULIWA NDAN YA...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
  • Closed
Kesho majira ya saa nane kamili Mzungu/Muitaliano aliyeibua ufisadi wa January Makamba akifanyia udalali rasilimali za nchi ataongea kila kitu, ikiwa ni pamoja na kutoa ushahidi mwingine wa Barua...
18 Reactions
382 Replies
46K Views
Back
Top Bottom