Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Wasalaam wana jamvi! Niendelee kuwatakia sikukuu njema ya amani na furaha miongoni mwenu! Wana jamvi kama mtakumbuka siasa za tanzania zilitikiswa mwaka jana kama mara tatu hivi Mara ya kwanza...
19 Reactions
427 Replies
54K Views
Kutoka katika viunga vya mkutano wa CCM kukabidhiwa chama kwa Rais Pombe, Wadau wa CCM wanaomfahamu Kinana wameweka wazi kuwa Kinana kalazimishwa kufanya kazi za ukatibu mkuu pasi ridhaa yake...
8 Reactions
55 Replies
6K Views
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani...
4 Reactions
226 Replies
24K Views
Hali ndani ya Chadema kwa waliomfuata Lowasa imekuwa ngumu baada ya kukiridhisha kuwa chama walichoenda hakina nafasi kwa wageni. Hivyo wamegundua njia muafaka ni kurejea CCM ambako kuna uhuru wa...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Zikiwa zimebaki siku 13 kufikia mkutano Mkuu wa CCM, dalili njema zinaonekana kwa Ally Mufuruki kuwa katibu Mkuu wa chama hicho akichukua nafasi ya Kanali Kinana.. Kuna uwezekana mkubwa Ally...
1 Reactions
50 Replies
10K Views
SIRI (CONFIDENTIAL). Chama cha mapinduzi CCM kumeibuka hali ya taharuki, wamekuwa wakifanyiana ushushushu kila kona, na kwa kila mjumbe wa halmashauri kuu, mkutano mkuu na kamati kuu ya...
8 Reactions
92 Replies
11K Views
Upo uwezekano Amiri jeshi mkuu akafanya mabadiliko ktk mkoa fulani mkubwa na ili kufanya maisha yasiwe mabaya kwakusema vijana wameshindwa a genius men Polepole aweza chukua mkoa hii yaweza kuwa...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
  • Closed
N.K/Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi Wadau amani iwe kwenu, Hivi karibuni, tumeshuhudia harakati kadhaa za baadhi ya wanasiasa wa ndani na nje ya CCM wakipaza sauti zao kutaka Rais Magufuli asiwe...
26 Reactions
565 Replies
55K Views
Habari wakuu. Kuna taarifa kwamba Mhe Rais mstaafu Jakaya Kikwete kesho atapanda Mlima Kilimanjaro kwa mara ya kwanza kabisa toka awe Rais wa Tanzania. Hizi ni habari njema japo inashangaza...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi...
8 Reactions
173 Replies
26K Views
Joto Limezidi kupanda kwenye chama cha Mapinduzi ccm kuhakikisha bavicha hawaendi dodoma kusaidiana na pilisi kuti sheria bila shuruti wamebuni mbinu ya kizamani kutuma message kwenye simu...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia...
9 Reactions
247 Replies
47K Views
taarifa za uhakika zinasema kampuni la kuchimba madini Glencore linajipanga kuachana na biashara ya kupitisha mizigo yake Tanzania kutokana kile kinachosemwa kuwa ni figisu-figisu za kodi...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
TAKUKURU fanyieni kazi habari hizi. Kuna fununu ya kuwepo kwa harufu ya JIPU ndani ya Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika Manispaa ya Kinondoni. Jipu lenyewe linalodhaniwa linahusisha zoezi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GAZETI LA MSETO LAZUILIWA LISISAMBAZWE. Gazeti la MSETO lazuiliwa lisisambazwe, hili ni Gazeti pacha na Gazeti la MwanaHalisi. Sababu za kuzuiwa kusambazwa ni kutokana na maudhui ya habari...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Wandugu kuna hizi tetesi, Serikali inajipanga sasa kupeleka Muswada wa fao la kujitoa bungeni. Hii issue ni serious sana kwa sasa na inagusa maisha ya watu wa chini kabisa. Mtazamo wangu kwenye...
3 Reactions
58 Replies
7K Views
Leo mtashuhudia maajabu ya serikali hii katika mji wa Dar es salaam Maajabu yenyewe ni pale wanachama wa CUF wanaomuunga mkono LIPUMBA watakaporuhusiwa kufanya maandamano Sasa mtajiuliza...
6 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Closed
Ukiwa ni mkakati wa kuisuka CCM, Comrade Mangula atapewa nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho ili amsaidie Rais kukisuka chama. Pamoja na Mangula mwingine ni Abdallah Bulembo ambaye anategemewa...
4 Reactions
98 Replies
12K Views
Kuna tetesi kuwa Wabunge wa UKAWA pamoja na kususa wamekuwa wakionekana kuranda randa viwanja na maeneo ya bunge. Wamekuwa wakiranda randa hayo maeneo wakisubiria wabunge Wa CCM wakitoka WAWAOMBE...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Achane kumjadili vibaya Mh Rais, vikao vinaendelea usiku na mchana na uwenda wakati wowote kuanzia next week vijana watarudi chuo kwa vibali maalum. Hili la UDOM serikali ilitaka kuwapiga stop...
4 Reactions
73 Replies
10K Views
Back
Top Bottom