Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wadau hii ni tetesi yenye ukweli 95%. Ukweli ni kwamba baada ya serikali kupandisha kodi katika utalii, sasa hali ni mbaya Arusha ambao ndio mkoa wa kitalii zaidi Tanzania. Kuna taarifa kuwa...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo. Mytake: Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti...
9 Reactions
49 Replies
5K Views
Nimejaribu kukaa na kutafakari mwisho wa siku nikapata jibu kua siasa haziepukiki kwa sasa, sidhani kama kuna chama kitasubiri 2020 kuja kufungua matawi katika maeneo mbali mbali nchini. Kwa...
0 Reactions
6 Replies
828 Views
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!! 1...
7 Reactions
97 Replies
14K Views
  • Closed
Kuna kikao kinaendelea sasa hivi makao makuu ya chama cha ACT Wazalendo cha kumpokea Prof. Lipumba. Karibu sana Prof. Lipumba kwenye chama. WanaJF Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi kwamba...
9 Reactions
396 Replies
37K Views
  • Closed
Ndugu Wanachadema Mkoa wa Arusha, sisi ni vijana wenye uchungu na chama chetu ndio maana tuko tayari kuipigania hata kuifia ili tupate ukombozi. Ni sisi tulikesha nje ya mahabusu alipowekwa ndani...
9 Reactions
126 Replies
14K Views
Ukifuatilia mlolongo na mwenendo wa matukio, basi bila shaka utajua hasa nini kinafuata! Baada ya kuondolewa Dr. Servacius Likwelile mapya ( kwa baadhi yenu) yameanza kuzungumzwa! Japo kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkuu wa nchi alianza unono kwenye ishu za uteuzi ila sasa wale wahusika haswaaa wanaofanya halmashauri zitekeleze malengo hajawagusa kabisa. Naona kama sasa ni wakati wa Mkuu wa kaya kuteua wakuu...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Wote si tunakumbuka Mheshimiwa anadaiwa na NHC, basi ilibidi achague kati ya Ukuta au Bilcana,simshangai sana maana hata mimi ningechagua Billz ,maana siku ya mwisho inabidi watoto wapate chakula...
8 Reactions
66 Replies
8K Views
Kuna tetesi kwamba kesho mtu yeyote atakayeonekana amevaa Nguo au vipeperushi vya CHADEMA atakamatwa na kutakiwa kujieleza ni kwa nini amevaa nguo hizo.
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Kilichoko Meru Dc na Arusha Dc kinatisha.Madiwani wanakaa na kuazimia kuondoa mtumishi yoyote ambaye hakubaliani na matakwa yao,wanafanya vituko vya kufedheesha jamii.watendaji wa kata hawatakiwi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salaam Wandugu, Kwa taarifa nilizozipata,Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anategemea kufanya ziara Mkoani Kilimanjaro hasa Wilaya ya Siha kuanzia tar 1-9-2016. Taarifa hizo zinadai...
4 Reactions
62 Replies
10K Views
Wanabodi, Declaration of Interest. Naomba kuanza uzi huu kwa ku declare my interest kuwa Mimi Pasco wa JF, naunga mkono maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima na siku ya siku, nitajitokeza...
18 Reactions
200 Replies
21K Views
Kuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi. Tutaendelea kuwaletea taarifa.
10 Reactions
122 Replies
15K Views
Mahakama ya Wilaya ya Rombo yawanyima dhamana MADIWANI 3 wa CHADEMA na mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo mpaka tarehe 05/09/2016. Hii ni baada ya Afisa Upelelezi wa Wilaya kuwasilisha...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania. Inasemekana kuwa...
18 Reactions
139 Replies
19K Views
Nimuda muwafaka serikali kuzichunguza nakuzifuwatilia banks zote za biashara ilikuliokoa taifa hili na kile kinaweza kujakutokea huko mbeleni...... Baada ya kuyauza baadhi ya mashirika yetu pia na...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Wana JF na Watanzania wenzangu, Naangalia taarifa ya habari StarTV wanaonyesha mazoezi ya Polisi na JWTZ katikati ya mji wa Bukoba! HII picha inasikitisha saana na ina ashiria hali ya hatari sana...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba Septemba Mosi ni siku maalum ambapo majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yataadhimisha miaka 52 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1964...
5 Reactions
86 Replies
9K Views
Taarifa zilizotufikia punde ni kuwa baadhi ya vyombo vya kimataifa hasa vya nchi za magharibi na mashariki ya mbali vimeanza kuwasili nchini ili kushuhudia tukio kubwa la kitaifa linalotarajiwa...
23 Reactions
104 Replies
16K Views
Back
Top Bottom