Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Taarifa zilizo tufikia kupitia vitengo vyetu vya udukuzi wa taarifa upo mpango wa kuwaondoa baadhi ya mawaziri walipo kwenye baraza la mawaziri walioshindwa kuendesha wizara zao kwa ufanisi...
5 Reactions
47 Replies
6K Views
Mahakama moja mjini Munich nchini Ujerumani imefungua kesi dhidi ya muasisi wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg kwa kuchochea hisia za chuki. Muasisi wa mtandao wa kijamii wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna taarifa zimetapakaa hapa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba wabunge wote wa CCM wanaoikosoa serikali hadharani huenda wakaadhibiwa. Inasemekana moja ya adhabu hizo ni kunyimwa...
7 Reactions
69 Replies
8K Views
siku moja kabla ya kuwasilishwa kwa mswaada wa sheria ya habari, jana usiku hapa ikulu kumefanyika kikao maalumu kikiongozi na viongozi waandamizi wa serikali hii kuhusu namna ya kuhakikisha...
37 Reactions
94 Replies
15K Views
Jeshi la polisi mkoani Arusha linajipanga kumkamata mbunge wa Arusha Mjini na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha leo usiku au alfajiri sana kesho Taarifa za uhakika zinasema kuwa polisi...
36 Reactions
217 Replies
23K Views
Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru . Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF Inasemekana mkuu...
9 Reactions
91 Replies
14K Views
Kutokana na jaribio la kutaka kusitisha operation maalumu leo operation hiyo ilifanikiwa kukamata meno 50 ya tembo sawa na tembo 25 vilevile kukamatwa kwa jangili sugu Mpemba iliopelekea Mh Rais...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf. Benki ya twiga bancorp yapungukiwa mtaji hasa kutokana na wadai kutorejesha fedha walizokopa benki kwa wakati na benki kupungukiwa na mitaji ya kujiendesha, hivyo serikali iliongeza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wana jamvi, kuna taarifa nilizozipata ambazo ni mkakati wa muda miaka mitano hadi kufikia Septemba, 2020 CCM asili itakuwa tayari ina mgombea wake katika uchaguzi wa uraisi. Mkakati huu...
6 Reactions
86 Replies
11K Views
::KWANINI UKAWA ITASHINDA KESI YA UMEYA KINONDONI!:: #Mosi: Akidi ya kikao haikutimia. Sheria inataka 2/3 ya wajumbe wote kuhudhuria na kusaini mahudhurio ndipo mkutano upate uhalali wa...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !! Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete...
2 Reactions
80 Replies
7K Views
Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Singida kutoa taarifa ya kupingana na taarifa ya mkuu wa wilaya ya Manyoni, kuna taarifa kuwa tayari mamlaka ya uteuzi umetengua uteuzi wa mkuu wa wilaya wa Manyoni...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
  • Closed
Masha kumrithi Mbowe uenyekiti CHADEMA. Huu ndio ukweli japo mchungu, Mbowe utashukuriwa kwa kufanikisha yote hasa ujio na uratibu wa Lowassa kugombea uraisi lakini sasa ni wakati wenye nacho...
6 Reactions
59 Replies
10K Views
Hii si siri tena. NCCR Mageuzi ni kama imeshakufa Kigoma. Mtu pekee ambaye pengine alionekana anaweza kuwakilisha chama hicho kwenye Dunia ya Mawese Ni David Kafulila. Amefanya majaribio kadhaa...
6 Reactions
45 Replies
6K Views
Ingawa ukimbizaji Mwenge ni jambo la kitaifa, lakini kuna tetesi kuwa mbio za Mwenge huwa ni mradi wa makada wa CCM, ambapo kila mwaka makada hao ugawana takribani bilioni 120 katika mzunguko...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Kambi ya kutafuta uongozi UVCCM taifa inayoongozwa na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka na naibu waziri wa Ardhi Angelina Mabula imepata pigo baada ya Rais kugundua kuwa kambi hiyo ilikuwa na...
12 Reactions
46 Replies
10K Views
Kufatana na agizo la mheshimiwa rais la kurudisha pesa za posho walizolipwa wakurungezi wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya pamoja na viongozi wa serikali wamehoji kwanini warudishe pesa hizo...
9 Reactions
131 Replies
15K Views
Wana - JF. Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio...
19 Reactions
114 Replies
8K Views
  • Closed
Kampuni ya Uzalishaji na Usambazi wa Umeme nchini (TANESCO) imesitisha malipo ya kila mwezi kwa kampuni ya kufua umeme ya IPTL na zinazofanana na hizo. Hiyo inafuatia,pamoja na maagizo toka juu...
20 Reactions
126 Replies
15K Views
Kuna tetesi kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Johm Pombe Magufuli amewaita mabalozi wote wawakilishi wa Tanzaina nchi za nje kwenye mkutano utakaofanyika Ijumaa (kesho) Ikulu...
6 Reactions
84 Replies
17K Views
Back
Top Bottom