Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Taarifa za kuaminika kutoka katika vyanzo nyeti katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe Freeman Aikael Mbowe yuko mbioni kujiuzulu nafasi yake...
7 Reactions
101 Replies
13K Views
  • Closed
Katibu mkuu CCM taifa Kinana anatarajia kujiuzulu mwezi Novemba mwaka huu ambapo mkutano mkuu wa NEC taifa utakaa amesema hayo kufatana na kutoridhishwa na mwenendo wanaofanyika ndani ya chama...
5 Reactions
165 Replies
20K Views
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za...
22 Reactions
121 Replies
16K Views
Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote. Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito...
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Wadau kuna taarifa kwamba ofisi ya Makao Makuu ya Hifadhi ya Taifa Serengeti mkoa wa Mara zilizopo ngome ikoma au Fort ikoma makao makuu zimeungua leo, chanzo bado kinachunguzwa Chanzo cha habari...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jf Taarifa zilizonifikia kutoka Arusha zinahabarisha kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kumburuza Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo katika Sekretarieti ya Maadili
5 Reactions
87 Replies
13K Views
Nimekuwa nikichukizwa na kitendo cha wasomi fake kumili ofisi huku wakiwa na kiwango kidogo sana elimu huku wakijidai wasomi walio bobea kwa vyeti bandia sasa huu ujio wa uhakiki wa vyeti...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua...
14 Reactions
77 Replies
10K Views
Mahakama ( kitengo cha mafisadi ) itakuwa ikichukua miezi 9 kuwaukumu mafisadi na wahujumu uchumi. Wamesema kesi moja haitachukua zaidi ya miezi Tisa kukamilika . Wamesema kesi zitakuwa zikienda...
2 Reactions
72 Replies
9K Views
Habari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi...
20 Reactions
220 Replies
21K Views
Kwa tabia anayoionesha huyu bwana mdogo kuna kila aina ya dalili za kutimkia CCM.Amekua mtetezi mkubwa wa serikali na Chama tawala kuliko hata Chama anachoking'ang'ania kwa sasa. Ameanzisha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chama cha CUF Pr. Lipumba kasema ni lazima CUF na CHADEMA wagawane umeya wa Kinondoni na Ubungo kwa kila chama kuchukua halmashauri moja moja na sio madiwani wa CUF kuwa manaibu...
29 Reactions
282 Replies
30K Views
  • Closed
Hatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa...
23 Reactions
466 Replies
44K Views
kuna tetesi polisi wameondoa zuio la mikutano ya ndani,wenye habar zaid watujuze. source, Tweet ya Gazeti raia mwema
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Masaa machache baada ya JPM kutembelea kwa ghafla kwenye vyombo vya habari vya CCM na kukukuta hali mbaya ya kiuendeshaji na madeni lukuki ya wafanyakazi. Taarifa Zilizopatikana jion hii...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Leo majira ya 2:30 asubuhi vijana wa Prof Lipumba wamefanya jaribio la kutaka kumteka MKURUGENZI WA UCHUMI NA FEDHA WA CUF ambaye ni K/NAIBU MKUU CUF BARA Mhe. Joran Bashange wakati akitoka...
12 Reactions
93 Replies
11K Views
Wakati mwingine sioni maana yakuanzisha thread zinazo mkashifu rais wakati ukweli upo wazi kabisa kuwa huyu meya alikuwa na mpango mchafu kuchafuwa shughuli ya kuweka jiwe la msingi kwenye madi...
0 Reactions
69 Replies
12K Views
Kuna uzi uliletwa humu JF siku kadhaa zilizopita ukieleza kuwa Idara ya Uhamiaji imesimamisha utoaji wa hati ya kusafiria(Passport) kwa sababu ya upungufu/ukosefu wa karatasi za kuandalia passport...
3 Reactions
60 Replies
12K Views
Wadau wa jukwaa hili,kumekuwepo na pitapita kwa kijana mmoja anayeitwa Charles Moremi katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Serengeti na kutoa misaada mbalimbali kama kuchangia madawati huku...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom