Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Taarifa za kunyapia nyapia zinasema mambo ndani ya Shirika la NHC sio shwari. Pamoja na JPM kuonekana ana mahaba na Mchechu na anafurahishwa na kazi yake mambo inasemekana sio shwari kwa baadhi ya...
3 Reactions
31 Replies
7K Views
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao...
8 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani tafadhali sana, Msiihusishe na CCM pale matamko uchwara yanapotokea. CCM Ipo makini na Serikali yake bila kubagua ni Chama gani. Na inatenda haki kwa kila mtanzania. Niombe tu Serikali...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Ndugu Christofa Sendeka kateuliwa kuwa RC Njombe. Huyu alikuwa Msemaji (Afisa Habari na Uenezi wa CCM Taifa). Nafasi hiyo sasa i wazi. Itajazwa na Mwana CCM siku za karibuni. Hii itakuwa kabla ya...
3 Reactions
64 Replies
12K Views
Ikiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu. Wananchi pia wanaonekana wanaunga...
6 Reactions
93 Replies
14K Views
Habari nilizozipata ni Mzee wa Msoga kapewa tender ya kusambaza Cement ya Dangote nchini Kongo. Hii imekuja kama shukrani kwa kuwapatia eneo mkoani Mtwara na kuwatengenezea mazingira mazuri kwa...
5 Reactions
73 Replies
12K Views
Wana jamvi Tumekua na mahitaji mengi mno hasa ya uwekezaji na viwanda, kuboresha elimu nakadhalika kutokana na kauli tata juu ya hilo nabashiri kuna uwezekano mkubwa, mmoja ya watendaji...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kada maarufu na aliyewai kugombea ubunge kwenye kura za mchujo kupitia Chama Cha Mapinduzi jijini Arusha Thomas Munisi ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa kata ya Themi jiji la Arusha ameingia...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Wana JF, Kutokana na safari ya kikazi alioifanya Mh Rais katika magereza jana Ukonga na kubaini yafuatayo; 1. Askari magereza kununua sare za jeshi lao kwa watu binafsi 2. Jeshi la magereza...
7 Reactions
100 Replies
16K Views
Kutokana na habari zilizodhibitishwa. Ni kuwa TATIZO la kufungwa kwa kiwanda cha Dangote Cement ni zaidi ya yale tunayoambiwa. Habari hakiki toka menejiment ya kiwanda na source kutoka ndani...
4 Reactions
61 Replies
9K Views
Prof Lipumba, amepata mwaliko wa kikazi huko Geneva, Swizerland, kwa miezi 9. Wakati akiwa Geneva, atajiuzulu kupisha chama kuunda kamati ya uongozi.
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Wadaiwa sugu benk ya Twiga Bancorp iliyochukuliwa na BoT wanaendelea kuhenya na kuhenyeshwa mitaani, imefahamika. Watu hawalali, watu hawanywi na watu hawali! Zipo taarifa nyeti kutoka vyanzo vya...
20 Reactions
200 Replies
26K Views
  • Closed
Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo anatarajia kutoa tamko juu ya hali ya chama na kile kinachoendelea katika Chama hicho.
1 Reactions
76 Replies
6K Views
  • Closed
· Siku 10 kabla ya kufunga kongamano la Diaspora, siri nzito ya Rais Magufuli yafichuka hadharani hapa Zanzibar! Habari zisizokuwa za kuaminika na ambazo bado ni tetesi tu mpaka hivi...
1 Reactions
54 Replies
9K Views
Kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA wameipa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa 1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa 2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa. Ni kutokana na mkuu analalamika mambo...
21 Reactions
259 Replies
38K Views
Watuhumiwa wa kesi ya Uhujumu Uchumi, mauaji ya tembo 85, wameachiwa kwa dhamana katika namna inayotia shaka. Hapa ijulikane kuwa kesi za aina hii hazina dhamana. Wazalendo tusimame imara.
16 Reactions
211 Replies
19K Views
Hii inasemekana kuwa in mbinu ya ku-buy time na kuzubaisha watu. Maana mazoezi yanayoweza kufanyika pamoja yanapewa awamu. Watumishi hawana tena imani wala morali ya kazi. Hawatamani hata kusikia...
7 Reactions
43 Replies
6K Views
Viongozi wa UVCCM wameagizwa na viongozi wa CCM kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa CCM Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa...
23 Reactions
127 Replies
11K Views
Naomba ombi hili limfikie raisi wetu Mh. John Pombe Magufuli. Kesho Jumatatu Raisi wetu ataanza ziara ya siku mbili ya kiserekali nchini Kenya na atatembelea viwanda mbalimbali ikiwemo kiwanda...
11 Reactions
133 Replies
10K Views
Back
Top Bottom