Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi. Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza...
25 Reactions
169 Replies
19K Views
Na; Joseph Monia Politician TAHADHARI KWA WANA CHADEMA WOTE WANAOTUMIA MTANDAO WA WHATSAP. TAFADHALI SAMBAZA TAARIFA HII. Tumepokea taarifa ya vijana wa CCM (Lumumba) kuunda njama za kuanzisha...
15 Reactions
65 Replies
11K Views
Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika...
42 Reactions
288 Replies
20K Views
Kuna tetesi kuwa "Mamlaka kuu" imezuia ndege ya kufanya utafiti wa kutafuta mafuta katika visiwa vya Zanzibar. Inasemekana Rubani wa ndege hiyo alisema walishindwa kuanza kazi kutoka na kuzuia...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Kuna tetesi kwamba wanasheria wote wa serikali wanaofanya kazi Tamisemi watafundwa kesho "jinsi ya kuchagua" na kuna tetesi kwamba wataambiwa wasiwachague wagombea Fulani Chondechonde,kura ni...
27 Reactions
152 Replies
18K Views
Wasalaam Wana jamvi, nimejaribu kufanya utafiti wangu kwenye maagizo, ama matamko mengi yanayo tolewa na viongozi wetu kwa Sasa yamezaa matunda ktk idara nyingi na taasisi nyingi. Kwa mfano, lile...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Mimi ni mchoma mahindi wa huku kwetu Unyanyembe, katika kona moja ya mtaa mkubwa unaotokea kituo kikuu cha mabasi yaendayo DSM Upeo wangu kielimu ni darasa la Saba "B" katika shule moja huku...
2 Reactions
2 Replies
948 Views
Hi wanabodi!!! Nimepenyezewa ujumbe wa karibu kutoka singida kuwa Katibu Tawala wa Mkoa huo ametoa kusudio la kuwatimua kazi watumishi zaidi ya 20 kwa tuhuma za kufoji vyeti vya kidato cha nne...
9 Reactions
79 Replies
8K Views
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
16 Reactions
201 Replies
18K Views
Amani iwe kwenu, Jf 4ever, Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili...
6 Reactions
64 Replies
6K Views
Taarifa hizi zilipatikana kipindi cha kama mwezi mmoja hivi na juhudi za kutaka kuthibitishwa zinaendelea. Tetesi zinadokeza kuwa Kutokana na hali ya nchi ilivyo maamuzi magumu yanahitajika na...
8 Reactions
70 Replies
10K Views
Kuna Taarifa za Kuaminika Kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na Mtindo wa Kudoctor au kudressup taarifa za Makusanyo ya Kodi ili yaonekane ni kwenye tune ya Trilion na sio billions. Wamefanya...
16 Reactions
125 Replies
15K Views
Taarifa za ndani za CCM ni kwamba mpaka sasa kumetokea mgawanyiko; wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM ambao wameunga mkono madai ya wananchi kuzitaka mamlaka zihakiki tuhuma dhidi ya Kada...
13 Reactions
133 Replies
15K Views
Hivi Ben Saa8 kashapatikana...Vp kuhusu Njaaa nayo ishaakwishaa au bado ipo...Na vipi kuhusu Dikteta kaacha udicteta au anaendeleza na Ile Elimu ya Mkuu wa Nchi hii iliyogeuzwa agenda ya Kitaifa...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ndiye mmiliki mpya wa kampuni ya simu za mikononi ya Tigo. Manji alinunua kampuni hiyo mwishoni mwa mwaka 2014 na kumalizia malipo mwanzoni mwa mwaka 2015 na...
10 Reactions
87 Replies
15K Views
Kule USA, ma rapper ambao ni black Americans wanaongoza kwa misukosuko, na kufungwa kwa tuhuma mbalimbali. Sababu zikihusishwa kati ya either uhalifu ama ubaguzi(racism). Hapa tizedi, wanachama...
0 Reactions
2 Replies
666 Views
Inasemekana kuwa serikali inaweza kuwa na mpango wa kuzirudisha shule za vipaji maalumu hasa kwa kuboresha zile zilizopo na kujenga nyingine kila mkoa ili kulinda na kukuza vipaji vya watoto wa...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Kama ilivyo nakujaga na info za kutokea kule mkoani kwetu Mbeya. Kuna taarifa nyeti toka kwa watoa hizi taarifa kuwa Jimbo La Rungwe litagawanywa mara mbili. Kumbuka miaka michache tulikuwa na...
6 Reactions
56 Replies
6K Views
Nichukue fursa hii kumpongeza mhe Zito Z. Kabwe mbunge wa kupitia ACT wazalendo kwa kuwa mjanja kuwakwepa Polisi baada ya mkutano huko Isagehe Kahama Shinyanga. Kuna mambo machache ya kujiuliza...
39 Reactions
144 Replies
16K Views
Naam jicho la tatu limeshachungulia wanaChadema kindai ndaki wameshaamka sasa ni wazi wazi wantamka maneno makali yenye kuonyesha kutoridhishwa na uwepo wa Lowassa ndani ya chamn na upande...
10 Reactions
133 Replies
12K Views
Back
Top Bottom