Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu,habari Taarifa za uhakika kutoka jikoni,ni kwamba hali si shwari kabisa hasa kwa watuhumiwa upande wa pili yaani ile bank ambayo kila mtu kuanzia kamati ya bunge iliogopa kutaja orodha yao...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati...
8 Reactions
132 Replies
14K Views
Wakuu Nakumbuka wakati waziri wa Fedha, Dr Mpango anasoma bajeti, kipengele kilichoshangiliwa sana kuliko vyote ni habari ya kufutwa kwa kodi ya motorvehicle Wabunge hasa wa CCM walishangilia...
0 Reactions
5 Replies
933 Views
*Hali si hali Jiji la Arusha* Hali ya mambo katika halmashauri ya Jiji la Arusha inaonekana kuwaendea vibaya madiwani wa chama cha demokrasia na maendeleo ambao ndio wengi katika baraza la...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwa Hali Hii Mikataba Mibovu Isipite Kweli? Wakati wenzake wanajadiliana kwa hoja, yeye kauchapa usingizi totoro. Halafu bado akataka kurudi tena bungeni. Na mtu kama huyu si ajabu akajiita...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa CCM ambaye pia ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli kuwa kazi ya urais ni ngumu sana kiasi kwamba anajuta kwanini aliiomba...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Hatimaye General Manager wa MGODI wa ACACIA BULYANHULU Bw Graham ameacha kazi katika mgodi huo na kukimbia nchi. Hili limetokea masaa machache baada ya kutangazwa kuwa kamati ya Rais ya wachumi na...
42 Reactions
205 Replies
21K Views
Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. 1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro Ukweli ni kuwa...
66 Reactions
271 Replies
38K Views
Tanzania ina idadi kubwa ya mashirika ya umma yapo ya kiserikali na ya binafsi. Mashirika haya kwa kiwango kikubwa hutegemea sana utendaji mzuri na uwajibikaji bora kwa ngazi ya vituo vyake vya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kugundulika kutaka kutumia jina la baba yake kuanzisha chama kipya Visiwani Zanzibar baada ya kuona nafasi ndogo kwake kuweza kugombea urasi wa Zanzibar 2020 sasa wanaharakati wa Balozi...
6 Reactions
37 Replies
4K Views
NRA WAMLILIA PHILEMON NDESAMBURO MICHUZI BLOG: NRA WAMLILIA PHILEMON NDESAMBURO MSIBA HUU SIO KWA chadema pekee ni pigo kwa wanamageuzi wote na wapenda demokrasia wote
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Baaada ya Hamadi Rashidi, Mrema na Sasa Kitila, kuna uwezekano mkubwa Rais wetu akaendeleza nia yake ya kuwashirikisha wapinzani katika serikali yake na kwa mantiki hiyo zitto atakuwa miongoni mwa...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Naona Mwenyekiti wa WAZAZI-TAIFA anafanya ziara nchi nzima. Je ni maandalizi ya kupewa u-katibu mkuu ccm?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo...
17 Reactions
160 Replies
18K Views
Katika hali yoyote ni lazima tuwapongeze askari wetu Tanzania kwa kufanya kazi nzuri sana ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Yapo makosa madogo madogo na makubwa yanaweza kuchafua Taswira...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zisizo rasmi (Tetesi) ambazo zina chembechembe nyingi za kuaminiwa kutoka kwa watu walio karibu na Mamlaka za uteuzi, zinadai: 1. Kamanda Mwanamke huenda akateuliwa kuwa Kamishna wa Kanda...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
UWAZI WA MAKONDA STAR TV SIRI HII HAPA NJE NDANI! Baada ya Paul Makonda hali yake kisiasa kuchafuka kutokana na matendo yake hivi karibuni alikuja Mwanza na kubaini kuwa kwa sasa amepoteza...
75 Reactions
344 Replies
35K Views
The word from Magogoni is Kamanda hataki mambo ya waste ya kusindikizwa na na kupokelewa na msururu wa waheshimiwa ambao wanaacha kazi kumsindikiza na kumpokea. Hoja yake ni kuwa kuna kuwa huu...
7 Reactions
89 Replies
14K Views
Kuna tetesi kuwa madudu ya mkataba kati ya TBC na startimes kwenye utumizi wa mitambo yataanikwa soon. Hawa wachina wajiandae kisaikolojia tu Inafurahisha sana wachina zamu yenu ya kunyooshwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma...
10 Reactions
76 Replies
9K Views
Back
Top Bottom