Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari kutokea Geita zinasema Mbunge wa Jimbo hilo Msukuma amechukuliwa Mkojo ukapimwe, hii nikutaka kujua viashiria vya uchochezi ambavyo vinasababishwa na matumizi ya dawa za kulivya. Hatua hii...
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Nimeona niliweke hili wazi . .Huu kchezo wa unaofanywa na maafisa utumishi unalenga kuwachafulia watu wa baraza ili waonekane wamefanya kazi ya kuhakiki vyeti vibaya na hawakuwa makini. Katika...
24 Reactions
84 Replies
13K Views
UVCCM MALINYI: DC AMEVURUGA UCHAGUZI WETU "Katika hali isiyotarajiwa mkuu wa wilaya yetu alifika kwenye ukumbi wa uchaguzi pamoja na kwamba hakuwa mgeni mwaalikwa wala mgeni rasmi,alijipa jukumu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi, tetesi nilizozipata hivi punde ni kwamba umoja wa katiba ya wananchi(ukawa) unataraji kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima kuongea na wananchi. Naomba tusubiri kama ni kweli...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi, tetesi nilisozipata zinatabiri kwamba Serikali imeshaunda task force kuchunguza na kubaini wahusika wa vitendo vya utekaji na utesaji dhidi ya raia na huenda ikaundwa tume huru ya...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
More to follow...
10 Reactions
216 Replies
26K Views
Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa Mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa Mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli...
3 Reactions
64 Replies
8K Views
Mh.Makonda akikagua gwaride Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda...
29 Reactions
193 Replies
27K Views
Wanabodi, Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila likifanyika jambo, huangalii tuu jambo lililofanyika bali unajiuliza the motive behind kufanyika...
28 Reactions
227 Replies
34K Views
Watu mbalimbali na kwa nyakati tofauti, wanasema Bunge letu kwa sasa halijui wajibu wake, wabunge hawajui wahoji nini na hawajui wamwajibishe nani, wamekua ni watu wa kutoka nje na kusema ndiyo...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari wana jamvi. Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na...
4 Reactions
110 Replies
11K Views
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself. Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye...
19 Reactions
149 Replies
14K Views
Kuna tetesi Acacia wameamua kuanza kufunga mgodi wa Bulyankulu week 5 kuanzia sasa. Acacia wana miliki migodi mitatu Tz ( North Mara, Buzwagi na Bulyankuli). Kutokana na maelezo yao, Bulyankuli...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Wadau kama kuna kipande cha Manji alichosema kuwa yeye haongei na mbwa ila anaongea na mwenye mbwa naomba akiweke apa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibu ndani ya Chama cha Kutetea Haki na Maslahi ya Waalimu Tanzania (CHAKAMWATA). Hiki ni chama mmbadala wa CWT, nk. Ukijiunga na chama hiki utapata faida kadhaa ambazo huwezi kuzipata ukiwa...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Shyrose ndio aliyezima jaribio la Rwanda kutumia bunge la EAC kwa maslahi ya utawala wao wa kidikteta, ikiwemo kuongoza wabunge kupinga kupinduliwa kwa spika aliyekataa hoja ya Rwanda kutengeneza...
12 Reactions
175 Replies
15K Views
Naomba wale BAVICHA au BAWACHA wote mliomo humu JF mniambie hivi kwanini siku hizi Tundu Lissu amekuwa akitoa matamko bila kuandamana na viongozi waandamizi wa chama? Pia naomba mniambie kwanini...
8 Reactions
84 Replies
10K Views
CUF HAITAKUWA IMARA TENA! MISSION IMEKAMILIKA KWA 80+℅ CUF sasa inaishilia, ni kama mpango unakamilika, mpango mkakati umetengenezwa kimkakati zaidi, kuhakikisha CUF haina nguvu tena, ili kuleta...
57 Reactions
227 Replies
24K Views
Nawashangaa vijana wa lumumba mnatapatapa sana kutunga uongo kila siku, me nipo iringa hayo mnayoyasema hayapo kabisa tumetoka kwenye mkutano juzi tu na madiwani wote walikuwepo sasa huu uzushi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Inadaiwa kuwa ukiwa mkuu wa wilaya, mkurugenzi, Das au mbunge kazi yako ni kuwahudumia wananchi. Kwa maana hiyo CCM haioni sababu ya mtu kuacha kuwatumikia wananchi kama DC ili ukawatumikie kama...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom