Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

All Quiet on the Western Front” Movie Questions 1. What is the title of this film? All Quiet on the Western Front 2. When was it made? 1930 3. Who wrote the original novel? Remarque 4. Why...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa zilizo nifikia muda huu kutoka chanzo cha kuaminika na mjumbe wa kikao inasema hivi: Mpaka sasa kikao cha siri kinaendelea katika ukumbi wa juu wa KBH Hotel, agenda ni kumbebembeleza...
14 Reactions
65 Replies
8K Views
Habari wanajamvi. Leo tumeshuhudia kuachiwa huru kwa Wanamuziki maarufu nchini waliokuaa wakitumikia adhabu ya kifungo cha Maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti watoto...
4 Reactions
18 Replies
4K Views
*BREAKING NEWS*: Wafuasi Wa Thobias Mwesiga wakiongozwa na Kangoye wakamatwa mkoani Mbeya wakigawa rushwa kwa wajumbe ya Tsh 40,000/= kwa kila mjumbe Wa mkutano mkuu. Taarifa zilizotufikia...
2 Reactions
91 Replies
14K Views
Kutoka kwenye chanzo cha karibu kabisa na aliyekua Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini Mh Nyalandu, ni kwamba mwanasiasa huyo anatajaria kukaa na kupumzika kwa muda kugombea ubunge kutetea...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Hii ni taarifa niliyodokezwa na mdau mmoja ambaye ni mhusika kwenye 'kitengo cha manunuzi' CCM. Lipumba na timu yake wamelazimishwa kuhakikisha wanahamia rasmi CCM kabla ya January. Maulid...
28 Reactions
100 Replies
13K Views
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la Kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara...
91 Reactions
233 Replies
24K Views
Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa Maulid Mtulia baada ya kujiondoa CUF katika ubunge na kujiunga na CCM. Anajipanga kugombea jimbo hilo tena kwa mara ya pili kupitia CCM Je ni kweli...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
  • Closed
Taarifa za kuaminika kutoka kwa Mbunge wa Mtwara mjini Mhe Maftah Nachuma kupitia CUF zinabainisha kuwa Mbunge huyo anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari ili kutangaza maamuzi magumu ya...
10 Reactions
160 Replies
18K Views
  • Closed
Habari za weekend, Ujio wa Dr balozi padree utakuwa na hatua nyingine za kushtukiza ambazo kuna vijana wake wanne ndani ya CHAMA fulani mmoja aliyekuwa mbunge wa maeneo ya stendi ya mabasi na...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndo mjue huu ushindi wa kata 42 waliopiga kura na kushinda ni polisi chini ya uangalizi wa ccm, NEC kusaidia kukandamiza haki za wengi na wakurugenzi kutangaza matokeo huku upinzani wakitekwa na...
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Mme amini mkuu ni wawote na kile alikifanya bwana fulani ilikuwa nikuligologa na kama sio kulikologa alijichanganya kiaina.... Mbona hapakuwa na pingamiz kwa mikoa mingine ila yeye tu... Kuna...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Kile kitendawili kigumu kilichokuwa kimekosa majibu sasa majawabu yake yako bayana! Kuna kila aina ya dalili CCM wanamuandaa Prof Kitila Mkumbo kuchauana vikali na Dr...
33 Reactions
233 Replies
25K Views
Kuna hizi taarifa kuwa maafisa wa usalama kutoka nchini Kenya wamenaswa huko visiwani Zanzibar kwa madai walikuwa wanamfuatilia Raila Odinga ambaye inasemekana yupo huko kwa siri... Mwenye...
6 Reactions
102 Replies
15K Views
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni...
9 Reactions
124 Replies
13K Views
Kwa tunaomjua kafulila na misimamo yake isiyotetereka eti leo awe hahisi kulegezwa na vipande vya noti? Mwanzo tulip wengi tuliwaza hivyo lakini kuna minong'ono inasikaka kwamba kulee ambapo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, Nyeti toka ndani ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM iliyokaa jana ni kuwa kimewakata wabunge wote waliokuwa wanagombea ujumbe katika Halmashauri Kuu ya chama. Wabunge hao ni: 1) January...
15 Reactions
123 Replies
16K Views
Kumekucha ! Taarifa za chinichini zinadokeza kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Kinautafakari ushauri wa magwiji wa siasa nchini wa kurusha moja kwa moja mikutano yake ya...
8 Reactions
70 Replies
7K Views
Ijumaa hii bunge litahitimisha kikao chake na moja ya jambo litakalofanyika ni kutoa hukumu kwa mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo Ni wazi kwa mazingira yalivyo Zitto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akiwa mwenye nguvu na imani kubwa yakile anakiongea alisisitiza viongozi kuwekeza ktk nchi yao huku akiwananga tume ya maadili na juhudi zakuwabana viongozi mafisadi pasipo kujuwa amakujuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom