Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kutokana na mawazo yao, wale jamaa basi mkubwa akakutana kuangalia jinsi kazi ilivyokwenda kwa kipindi hiki cha wiki mbili kuisha. Hali kwa mujibu wao imekwenda vyema kwani mambo fulani ya msingi...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi...
8 Reactions
108 Replies
11K Views
Kuna tetesi kuwa kutakuwa na mabadiliko ya Idara na Vitengo katika Halmashauri za Wilaya,Miji na Manisipaa. Idara zitakuwa ni 1.Utawala,Mipango na Fedha 2.Majengo,Mitambo,Miundombinu na Maji...
15 Reactions
131 Replies
27K Views
Wahenga walisema kupanda mchongoma kuushuka ndio ngoma pamoja na usaidizi wa kila Aina anaopewe lipumba na wanaomfadhili ili kuidhoofisha CUF sasa mambo yameharibika upande wa Lipumba ni dhahiri...
24 Reactions
69 Replies
9K Views
Kufuatia kuondolewa kwa jina la Rais wa TLS Tundu Lissu kutetea kiti chake TLS kwa kile kamati ya uchaguzi ilichodai aliyependekeza jina la Tundu Lissu ameshindwa kuthibitisha uhalisia wa fomu ya...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Muda wowote kuanzia sasa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatarajia kupangua wakuu wa wilaya na wakurugenzi nchini ikiwa ni pamoja na kujaza nafasi za wazi katika wilaya husika na...
6 Reactions
145 Replies
20K Views
Uongozi wa juu wa TRA huko katika hatua za mwisho kuanza mchakato wa ukusanyaji maoni juu aina mpya ya kodi itakayoanza kutumika mapema mwakani. Kodi hiyo mpya itakuwa inawataka wanufaika wote wa...
5 Reactions
120 Replies
11K Views
Habari zimenifikia. Kweli jasiri haachi asili. Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA) Tundu Lissu amejipanga na kupangika kufungua kesi ya madai dhidi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...
28 Reactions
118 Replies
14K Views
SIRI imefichuka, kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinashirikiana na baadhi ya viongozi serikalini, kumtumia msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Sales Katabazi Mutungi, ili kuvifuta vyama...
6 Reactions
102 Replies
10K Views
Igweeeeeeeeeee taarifa zakunyapia nyapia zimeniangukia mzee wakunyapia nyapia hii ni zaid yakiza kinene kwa wale mnamtumia msg yakulaani mkuu wa taifa eti aliruhusu risasi kwa waadamnaji. Sio...
17 Reactions
130 Replies
13K Views
  • Closed
Habari wana JF. Habari ndio hiyo. Uchunguzi dhidi ya mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha NIT ukikamilika taarifa za ndani zinasema huyu atatumbuliwa. Ingawa mi naona tuna tatizo kubwa zaidi ya hapo...
7 Reactions
63 Replies
9K Views
Chini naweka video clip yenye taarifa ya bandiko hili, kama ushahidi Wazo la wiki ni Je, Viongozi wa CHADEMA walikuwa na mikakati ya kushinda chaguzi za marudio au ya kuharibu mfumo mzima wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Inauma sana tunakoelekea, hata kma ni kutaka sifa za vyeo lkn tutaumizana kwa style hii. Nasema ni kama tetesi kwa savabu siamini hiki nilichoambiwa, labda nipate na uthibitisho kutoka kwa watu wa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Huu Ni ushindi wakimkakati. Ambapo inasemekana kushindwa kwa CCM kwenye miji ya Moshi na DSM ilikuwa ni hujuma ambayo ilifanywa na wana CCM wenyewe ambao hawakupenda kuona Rais wetu mpendwa...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Leo nimepata habari kwamba vitambulisho vya Uraia ndivyo vitatumika kupigia kura mwaka 2020 na vitambulisho vya kupigia kura vya sasa havitatumika. Hata sasa taasisi mbali mbali zimeanza kutumia...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na...
19 Reactions
131 Replies
17K Views
Habari zakunyapia nyapia kutoka SA yule rais ambaye aliingia madarakani kwa kumfanyia zengwe mwenzake Thabo Mbeki akajiuzulu. Nayeye pia siku zake zinaesabika baada ya kuwepo mashinikizo ndani na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Muosha huoshwa , hivyo ndivyo unavyoweza kusema . Taarifa kutoka lumumba zinadokeza kwamba fungu lililotengwa kwa ajili ya sherehe za kuadhimisha miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwa ccm , chama...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm...
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya...
89 Reactions
459 Replies
41K Views
Back
Top Bottom