Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari za chini chini zinasema kuna mazungumzo mazito sana yamefanyika nyumbani kwa Freeman Mbowe usiku kwa zaidi ya siku tatu wiki iliyopita. Ajenda kubwa kwenye mazungumzo hayo yalikuwa ni...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Lazaro Nyalandu mbunge wa Singida Kwa tiketi ya CCM, ameiacha CCM kimya kimya na kinachosubiriwa ni kutangaza rasmi kuhamia Chadema, imebainika. Taarifa toka Singida na Jimboni kwake zinabainisha...
11 Reactions
175 Replies
19K Views
Anaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander...
27 Reactions
236 Replies
25K Views
Ukipona usishangalie wenzio wakati linawakuta kwani kwako sekunde zinahesabika
0 Reactions
1 Replies
1K Views
*BAADA YA SERIKALI KUANZA MAHOJIANO NA RAZALO NYARANDU KUHUSU KASHFA MBALIMBALI KATIKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII RASMI ATIMKIA CHADEMA.* Baada ya Serikali ya awamu ya Tano kuanza...
16 Reactions
377 Replies
33K Views
Kuna tetesi zinaendelea kuzagaa kule Zanzibar kuhusu kufanyika mabadiliko ya Utawala . Taarifa zinasema kunatarajiwa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa hivi karibuni zitakazowashirikisha CCM na...
9 Reactions
104 Replies
13K Views
WanaJF Habari ambazo zinaenea ni kwamba Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Dr Kitila Mkumbo anajiandaa kugombea ubunge Iramba Magharibi 2020 kupitia CCM. Taarifa za uhakika kutoka kwa watu kadhaa wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja...
55 Reactions
478 Replies
47K Views
Tumeanza Safari, tuko na wewe Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo...
12 Reactions
63 Replies
6K Views
Tahadhari! Usinihoji kuwa mimi ni nani, lakini kiufupi naipenda Tanzania ingawa yenyewe hainipendi kama ninavyoipenda. Kama kawaida yangu naendelea kunyetisha na kuwapa habari motomoto...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
Nimeelezwa na kada mmoja maarufu ambaye pia ni mjumbe wa vikao mbalimbali vya CCM ya kwamba, katika uchaguzi mkuu ujao wagombea wote wa chama chao ni lazima wawe ni wakazi wenye makazi ya kudumu...
6 Reactions
56 Replies
7K Views
Kuna tetesi zinazoendelea chini kwa chini kuwa kiongozi ambaye hivi sasa ni mwenyekiti wa kanda na yule aliewahi kuhudumu nafasi mbali mbali Serikalini na CCM siku yeyote ndani ya mwezi huu...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni Takribani wiki moja na siku kadhaa kumalizika kwa vikao vya juu vya chama cha Mapinduzi CCM mpaka sasa kumekuwa na minong'ono na mahojiano mbele ya wajumbe juu ya mstakabadhi wa nafasi ya...
2 Reactions
50 Replies
8K Views
Wakuu namba hazidanganyi , jana umefanyika uchaguzi wa CCM kwenye ngazi za wilaya kadhaa , Taarifa niliyopenyezewa ni kwamba wale Team Lowassa wameshinda kwa zaidi kidogo ya 75%. Ifahamike kwamba...
16 Reactions
112 Replies
11K Views
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media)...
18 Reactions
163 Replies
21K Views
Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya...
10 Reactions
98 Replies
12K Views
  • Closed
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo... Habari hizi ni za...
56 Reactions
678 Replies
102K Views
Wasalam, tetesi zilizonifikia zinasema jopo la wanasheria wapo hatua za mwisho kuwafungulia kesi rais magufuli na ccm kwa kukiuka ibara ya 145 na 146 ya katiba ya mwaka 1977 kwa kufanyia vikao vya...
15 Reactions
120 Replies
10K Views
Habari za chini ya kapeti ule usemi wa mzee wa kazi Rais Magufuli kuwa anawaandalia majizi kifo cha mwisho ndani ya Serikali sasa umekuwa kweli. Habari za kuaminika kutoka ndani inasemekana...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Na Mwanahabari Huru Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa...
32 Reactions
202 Replies
21K Views
Back
Top Bottom