Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Safari ya wabunge wa Uganda zaidi ya 200 na wafanyakazi wa bunge 125 imeingia doa baada ya kurudi kutoka kwenye mashindano ya wabunge wa Jumuiya ya Afrika mashariki, mjini Arusha Tanzania na...
1 Reactions
64 Replies
5K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO. TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UPOTOSHAJI WA...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Moja ya sababu kushinda Jambo lolote lile ni kukubali uhalisia wake. Huwezi kushinda Jambo fulani bila kukubali uhalisia wake, bila kujua pande zote za shilingi na hii inatutesa sana nchi zetu...
1 Reactions
3 Replies
849 Views
Habari! Sina maneno mengi nakwenda kwenye mada. Hivi pesa za msaada sijui mkopo zilizotolewa na wazungu kupambana na UVIKO 19 zinatumikaje kujengea madarasa? Tumeshindwa kujenga madarasa kwa...
6 Reactions
57 Replies
3K Views
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J. CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo...
7 Reactions
146 Replies
9K Views
Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema hadi sasa 2.2% ya watanzania wameshapata chanjo ya covid 19 na hakuna maambukizi mapya yaliyoripotiwa. Makubi amewataka wananchi wajitokeze kwa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Tafiti zimeonyesha kua chanjo ya J&J na chanjo ya China, Sinopharm hazina uwezo wa kumkinga mtu pale atakapopatwa na kirusi kipya cha corona cha omicron. Utafiti umeonyesha kwamba chanjo hizo...
8 Reactions
61 Replies
4K Views
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu. Je, mnadhani watanzania ni wajinga...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Rais Samia amewakumbusha viongozi kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuchanja chanjo ya #COVID19 Amesema hayo akizuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Miundombinu ya mabasi ya mwendo kasi...
1 Reactions
6 Replies
915 Views
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Mapammbano dhidi ya COVID 19 yamekua magumu kueleweka kwa wananchi, kwasababu hatukuwekeza zaidi katika afya msingi, kuanzia kwenye jamii zetu. Afya ya msingi ni kuhakikisha kunakuwepo na...
2 Reactions
1 Replies
766 Views
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole leo Bungeni ameongelea suala la Covid na kusema wameambiwa Corona inaendelea. Polepole ametoa Rai kujenga kiwanda cha mimea dawa kulingana na Ilani...
13 Reactions
221 Replies
13K Views
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona. Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio...
13 Reactions
362 Replies
34K Views
Tanzania na Kenya zimekubaliana masuala mbalimbali ikiwemo kuimarisha Mpaka, kushirikiana katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona na kushirikiana kwenye Sekta ya Utalii. Rais Samia Suluhu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Binafsi sikuwa mfuasi wa sera, mitizamo na style za kuongoza za Rais Magufuli. Nilimpinga waziwazi na sikuacha kutoa nyongo pale nilipoona anafanya mambo ambayo siyo, hasa yale ya kutumia madaraka...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Sayansi ya virusi ni mtambuka kama zilivyo zingine. Virusi vinafahamika kubadilika hata kuwa hatari zaidi, visipotokomezwa mapema. Virusi vya corona katika miili ya wasiochanjwa ndiko yaliko...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Shirika la afya duniani limeonya kuhusu kuchanja watu kwa lazima. Hii baada ya vurugu kubwa ya waandamanaji kutokea Ubelgjii. Walikuwa wakiandamana kuelekea makao makuu ya umoja wa ulaya...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Serikali imesema Maabara ya Taifa imekuwa ikichunguza mabadiliko ya kirusi ili kuangalia uwepo wa anuai zinazotokana na mabadiliko ya COVID-19, ikiwemo Omicron na mpaka sasa haijabaini aina hiyo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Leonard Akwilapo ameshangaa kuona watu kwenye Mafunzo na Semina Wizara ya Elimu hawavai Barakoa wala kufuata kanuni za afya za kujikinga na...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu. Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi...
13 Reactions
140 Replies
10K Views
Back
Top Bottom