Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MHE. WANU HAFIDH AMEIR AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA WA SERIKALI ZA MITAA Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Wanu Hafidh...
1 Reactions
2 Replies
517 Views
Juma pili hii tar 20.10.2025, zoezi la kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi muhimu sana na wa kihistoria wa serikali za mitaa na vijiji Tanzania, litahitimishwa rasmi nchi nzima. Kama mzalendo na...
4 Reactions
63 Replies
716 Views
Wakuu, Unaweza kuona ni kwa namna CCM wamepanga kutibua na kuharibu process nzima ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Mwalimu amewatoa wanafunzi madarasani kusoma, anawaongoza waende...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Yaani hukujiandikisha na hukupiga kura halafu ulalamike umeibiwa, ukiulizwa unajibu umeibiwa kura, Wakiitafuta hiyo kura yako hata hawaioni. Tuacheni dharau, twendeni tujiandikishe ili tuwe na pa...
7 Reactions
72 Replies
1K Views
Wakuu, Baada ya videos kusambaa mtandaoni kwamba kumekuwa na uandikishwaji mkubwa wa wanafunzi underage kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sasa hivi kumeibuka shutma mpya dhidi ya zoezi hilo...
4 Reactions
18 Replies
579 Views
Wakuu, Baada ya kuwepo kwa concern kutoka kwa wadau mbalimbali kwamba wanafunzi wanatolewa madarasani ili wakaandikishwe kwenye daftari, Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Kawaida amejitokeza...
0 Reactions
14 Replies
490 Views
Kituo cha kujiandikisha kupiga kura kimewekwa nyumbani kwa Mwenyekiti wa kitongoji ambaye naye ni mgombea wa CCM, je hii ni sahihi? Pia soma: LGE2024 - Uzi Maalum wa Kasoro na Rafu kwenye zoezi...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Kupitia vyanzo vyangu vya uhakika, naweka hapa namna CCM inavyoingilia kuchafua zoezi la uandikishaji daftari la Wakazi watakaopiga kura hapo Novemba 2024 kuwachagua viongozi wa Mitaa, Vijiji na...
4 Reactions
14 Replies
580 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza rasmi tarehe ya ukomo wa viongozi wa mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji, Vitongoji na Mitaa. Hatua hii inakuja kabla...
0 Reactions
11 Replies
722 Views
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Prisca Joseph Kayombo amewahimiza watumishi wa Benki ya NMB na watumishi wengine wa Sekta binafsi Mkoani Simiyu kwenda kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura ili...
0 Reactions
2 Replies
354 Views
Wakuu, Kuna hii video kutokea huko Kasulu mkoani Kigoma inayomuonesha Afisa mwandikishaji ambaye amebainisha kuwa amepewa marufuku na TAMISEMI kwamba mawakala wa upinzani hawatakiwi kugusa...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
Hivi ndivyo ilivyo katika Kata ya Olasiti pande za Chuga, jamaa ameshea video akionesha mwitikio ni mdogo sana, Wananchi wanajitokeza kwa uchache sana kujiandikisha. Ndugu zangu kwani shida ni nini?
0 Reactions
4 Replies
334 Views
Chadema baada ya kufeli zoezi zima la uandikishaji, wameamua kuja na mkakati wa kuandika vikaratasi vyenye majina na kuwalipa watu waende vituoni kujifanya wameleta hayo majina nje ya utaratibu...
1 Reactions
6 Replies
151 Views
CCM na serikali yake hawapaswi kutulazimisha kujiandikisha katika uchaguzi huu mdogo badala yake mnapaswa kujiuliza kwanini watanzania hawataki kupiga kura Ni wazi kwamba wananchi walio...
5 Reactions
7 Replies
449 Views
Wanaoandikisha wanafunzi na wananchi nje ya vituo rasmi vya kupiga kura wanalipwa na nani? Wametumwa na nani? Kwa malengo gani? Je, wanaoshiriki mauaji kwenye siasa wananufaikaje? Tumeona clip ya...
0 Reactions
1 Replies
92 Views
KATIBU TAWALA SIMIYU AWAHIMIZA WATUMISHI TANESCO KUJIANDIKISHA KATIKA ORODHA YA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi.Prisca Joseph Kayombo amewahimiza...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka Mawakala 666 katika Vituo 666 vya kuandikisha Wapigakura huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ikiweka Mawakala 55. Msimamizi wa Uchaguzi katika...
9 Reactions
54 Replies
2K Views
Wakuu salama? Zoezi la kujiandikisha limezinduliwa jana Oktoba 11 na Rais Samia, meona nianzishe uzi huu ili tushee picha na video za maeneo ambayo tunaenda kujiandikisha kupiga kura. Kuona...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni kama wananchi wamesusia hili zoezi linaloendelea kwa sasa, la kujiandikisa katika daftari la mkazi kwa ajili ya kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024. Swali hapa la kujiuliza...
3 Reactions
11 Replies
716 Views
Mtindo unafanywa sasa wa kuwaandikisha watoto wa shule waliochini ya miaka 18 ni dhahiri ni njama za kuhujumu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa manufaa ya chama tawala. Hakuna chama cha upinzani...
5 Reactions
8 Replies
273 Views
Back
Top Bottom