Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa uhalisia ni vigumu kwa Makame kusitisha zoezi la uhesabuji kura, kutokana na kuteuliwa kwake na kikwete. Hata amri ya kuchakachua matokeo inatoka kwa JK, Makamba na Kinana.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni bahati nzuri kuwa uchaguzi wetu hapa Tz umefanyika karibu kipindi sawa na ule wa nusu muhula (mid-term) wa marekani. Ni ukweli usiopingika kuwa umaarufu wa Barack Obama umeshuka na hivyo chama...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Uzoefu na uchungu nilioupata kupitia uchaguzi huu umenifanya niamue kuingia kilingeni, labda upinzani unakosa maandalizi majimboni, unakosa wagombea wenye uwezo na unakosa mkakati wa kisayansi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani leo mbona police wengi mitaani? KUNANI?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Matokeo yanaendelea ... Makadirio/Wapigaji 20,445,725 P. Mziray 65,276 J. Kikwete 3,544,673 W. Slaa 1, 234,254 I. Lipumba 589,451 H. Rungwe 13,809 M.MUHANYWA 9,740 F. Dovutwa 6,607...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafakari, najipa jibu kisha najichukia kuwa Mtanzania. Hapa tunashutumiana: mara CHADEMA TUMECHAKACHULIWA.....mara CCM tutaongoza milele... mara hata nyie mkipewa mtafisadisha. Lakini swali LI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa ya matokeo ya Urais yanayotolewa na tume si sahihi......ni tofauti na yale yaliyobandikwa kwenye sehemu za uchaguzi, hili liko wazi kwani ushahidi upo! hata jana Lewis Makame alipoulizwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama tunavyojua kuna waangalizi kutoka nchi mbali mbali nchini waliokuwa wanafuatilia uchaguzi wetu uliowanyika juzi 31 oktoba. Kundi la waangalizi kutoka umoja wa ulaya wametoa ripoti yao hivi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeshangaa kuona Maalim Seif hakuapishwa jana. Nilidhani kuwa yeye kama makamu wa raisi ktk serikali ya umoja wa kitaifa alitakiwa kula kiapo. Naomba mnifahamishe wenye kulifahamu swali hili.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu kadhaa kwenye basi moja walikuwa wakijadiliana yaliyojiri Shinyanga; mabomu, vurugu, nk. Wanasema, '..kabla ya kupiga mabomu wanasea, WANANCHI LALA CHINI, NA BAADA YA HAPO MJIOSHE NA VITAMBAA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NEC inaendelea kutangaza matokeo ya majimbo 63 ya uchaguzi yaliyobakia kwenye vyombo vya habari sasa hiv, source star tv
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania wenzangu wapenda nchi yetu iliyotukuka! Mungu wetu alipoiumba dunia hii alikusudia viumbe wake wote wafurahi bila kuoneana. Kwa kufuata msingi huu, katika katiba za makundi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duh hii nyomi ya Mwanza ilikomaa kinoma kwa matokeo ya Nyamagana kwa kweli Jk na Masha wangeiforce matokeo ingekuwa dhahama....Jionee mwenyewe kwa kweli iko siku haki ya Mtanzania itapatikana tu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JIMBO LA LUPA CHUNYA LIMECHUKULIWA NA CCM, NA WALE MAAFISA WA UCHAGUZI WALIOTUHUMIWA KWA UCHAKACHUAJI NA KUSHIKILIWA NA DOLA WAMEACHIWA BILA MAELEZO YA MAANA :peep:
0 Reactions
20 Replies
3K Views
kuna mwenye matokeo ya mpanda kati ambapo makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatetetea jimbo lake hilo au bado CCM wanachakachua au wamehairisha uchaguzi jimbo hilo? WANAJF naombeni majibu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
tetesi nilizozipata kwa siku nzima ya jana kufuatia matokeo ya utata yaliyotangazwa kwa mizengwe ubunge kwa jimbo la kibaha mjini ni kama ifuatavyo: kasheshe ilianzia kwenye kura za maoni za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ripoti inatukumbusha nini?
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Leo TBC Wameanza rasmi vipindi mfululuzo vya kuwaandaa wananchi kuyakubali matokeo....kwa mtu aliyesomea mawasiliano atagundua pia kuwa kampeni yao inahusisha kuonesha image mbovu kwa vyama vya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
NEC itabidi wakumbuke kwamba "government of the people, by the people, for the people, shall not perish from the earth." Nguvu ya UMMA ni shuguli nyengine kabisa.....hakuna mtu anayeombea...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KWELI MWAKA HUU NIMESHUHUDIA MENGI YA KUSTAJAABISHA WANACHAMA WA SISIEM WALIKUWA WAMEJUA KUWA WAMESHINDWA VIBAYA UCHAGUZI HUU NA HIVYO WALIKUWA HAWASHEREKEI KABISA MPAKA MAMBO YALIVYOWEKWA SAWA NA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom