Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hivi punde ndege ya kivita imepita na mlio mkubwa mithili ya makontena yanayoanguka mwenye taarifa atujuze.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani CHADEMA tunaomba msimwage damu kubalini matokeo kwani asiyekubali kushindwa si mshindani.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni, mwizi wa kura za wananchi tena kwa mabomu wakati wa kuapishwa hushika nini mkononi? au wanamtania Mungu?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tume ya uchaguzi Tanzania yakataa dai la upinzani. DAR ES SALAAM Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania imelikataa dai la chama cha upinzani kuhesabu upya kura, kwa sababu wanadai kumekuwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
imeandikwa' yeyote anayeunga mkono ugaidi naye pia ni gaidi' kitendo cha ccm kuiba haki ya watu ni zaidi ya ugaidi. lakini kwa kuwa wabunge wa chadema wameishasema kura za wananchi zimeibiwa na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Good day all, Jamani, tuandikeni na kupambanua kisiasa, yale yanayofanya tuonekane 'great thinkers', tukumbuke kuwa ni watu wengi wangependa kila siku kuwa nasi kwa forum yetu. Let us try to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JK amepata kura nyingi kuliko Dr. Slaa kwenye Jimbo la Mh. Mbowe?
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Nampongeza Shein kwani najua kinachokwenda kufanyika kule Zenj,, na kama tusipo angalia watatupiga gape siyo kwasababu Zanzibar ni ndogo bali kwasababu ya selikali ya mseto.. Hongera sana Shein...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BREEEAKING NEWS,,,,,,,,Hadi wakati huu Mitandao ya kutuma matokeo ya tume ya taifa ya uchaguzi haijetengamaa
0 Reactions
31 Replies
5K Views
mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ccm stephen masele shinyanga aemtangazwa kuwa mshindikwa kupata kura 18570 fdhidi ya mgombea wa chadema philip shelembi aliyepata kura 18569 Tofautiyake ni kura...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kuaribu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawakuvuka aslimia 30,ikiwa ina maana kuwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Waheshimiwa wana JF na Watanzania Makini: Nimeumizwa vibaya sana moyoni mwangu kutokana na mkao na mwenendo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa jinsi ilivyofanyika NGUZO ya kati ya CCM katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Thursday, 04 November 2010 Exuper Kachenje, Mwananchi TIMU ya Waangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu (Temco) imetoa tathmini yake ya awali kuhusu uchaguzi huo uliofanyika Oktoba31, ikionyesha kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuseme kuwa Jk atakuwa mtawala wa Tz. kwa kipindi cha 2010-2015. Nimetambua kuwa Tanzania tunajihangaisha kufanya uchaguzi ili kupata viongozi kumbe Tanzania hatuna viongozi bali Watawala. Hali...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wednesday, 03 November 2010 Elias Msuya MWANGALIZI mkuu wa wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Ulaya, David Martin amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusitisha mara moja kutangaza matokeo ya urais kwa madai kuwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni ukweli uliyo dhahiri kuwa zoezi zima la uchaguzi liliendeshwa kwa njia ambazo zinaonekana kukipendelea chama tawala na kwa sasa kilichobaki ni kwa sisi watanzania ambao tunataka kutoka kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani hawa ccm na nec yao nivipi maana utadhani hizi kura nimali yao Segerea baada ya kubana matokeo kwa muda mrefu sasa eti wao ndo washindi!!!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika mahojiano kati ya BBC na Dr. Slaa leo jioni Raisi wetu Mtarajiwa Dr. Wilbard Slaa ametuhakikishia ya kuwa ameshinda Uraisi kwa kura zaidi ya milioni 15......... Akitoa mfano wa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Natafakari, najipa jibu kisha najichukia kuwa Mtanzania. Hapa tunashutumiana: mara CHADEMA TUMECHAKACHULIWA.....mara CCM tutaongoza milele... mara hata nyie mkipewa mtafisadisha. Lakini swali LI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom