Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Leo jioni, mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa Rajabu Kiravu aliulizwa maswali na waandishi wa habari na badala ya kujibu maswali vizuri, alionekana kama anajibu kwa jazba. Moja ya maswali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani mi naona hii NEC inakazi ya Ku-eliminate badala ya kusimamia election. Basi wajiweke wazi kuwa wao ni Elimination committee na kazi yao kuu ni ku-eliminate wale wanaofaa kutokana na matakwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tume eti haijui kwa nini watu hawapigi kura!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama binadamu naamini makame atajiuzulu kwa vurugu anazo sababisha yeye na tume yake iliyo chaguliwa na ccm, kwani mpaka sasa kuna wa2 wamesha uwawa, na atapata adhabu hiyo mpaka mwisho wa maisha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Napenda kutoa masikitiko yangu kwa CCM, JK na NEC kwa kitendo cha kinyama na ukiukwaji wa haki sawa kwa watu wenye ulemavu kupewa fursa ya kuchaguliwa. kitendo cha kumpora jimbo dada huyu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Imenilazimu niongelee hali ya siasa hapa tanzania kwani kuna haya yanayonitatiza, nami naamini ndani ya jamvi hili nitapata kuelimishwa ipaswavyo. Miezi ya hapo kati maalimu seif sharif hamad...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je ni bora kupinga matokeo kabla ya kutangazwa na tume au ni vema kunyamaza kisha kulalamika wakati rais kesha tangazwa na kuapishwa? kwa maoni yangu naona ni bora kulalamika na kuonyesha kasoro...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
JK atangaza ushindi kupitia facebook page yake JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Katika mkutano wake na waandishi wa habari Dar leo alipoitaka NEC iache kutangaza matokeo yaliyochakachuliwa ya Urais, Willbrod Slaa, alitoboa siri kuwa Mpendazoe alipata ushindi wa kura 56,962...
0 Reactions
101 Replies
10K Views
Katika kipindi kilichopita cha kampeni za vyama, kila mgombea alijinadi kwa sera zake ikiwemo CCM ambao walitoa ahadi za kufa mtu ili mradi tu wapate kura za wananchi.. CCM ili ishinde mbinu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
:sad: IKIWA VIONGOZI WETU (UPINZANI) HAWATAACHA UJUAJI WAO KATIKA WANAYOSHAURIWA, BASI TUTAENDELEA KUSINDIKIZA (daima) :thinking: Jiulize maswali yafuatayo: kwanini mabango ya makampuni ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
HEBU NIAMBIENI WAKINA GREAT THINKERS Plato, Socrates, Aristotle, Rousseau, Voltaire, Kant, Foucault, Locke, ... HIVI INAINGIAJE AKILINI MTU ALIYEKAMATWA NA MASANDUKU YA KURA ATANGAZWE...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kusema kweli watu hawapingi ushindi wa CCM au tuseme ushindi wa Jakaya Kikwete au Sheni ,wananchi kwa ujumla wanataka kitangazwe kile kilichopatikana kwa uhakika bila ya kumpendelea mwananchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The European Union Observation Mission has called on Tanzanians to respect the outcome of the election in a bid to maintain and consolidate existing peace in the country. Unveiling its...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
:israel:Mabadiliko kwa nchi kama tanzania hayawezi kutokea kwa usiku mmoja, jamani lazima tuelewe tunaongozwa na viongozi wabinafsi, walafi, walevi wa madaraka ambao wapo tayari kwa lolote ili tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkusanyiko wa viongozi waliojiteua kwa uwezo wa pesa zilizizoibwa kwa wananchi na kuzitumia kujijengea uimara wa kiuchumi na kisiasa huwa siku zote unatumia kila aina ya mbinu kurubuni wavuja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli unasambaa, Uongo unazidi kujitenga...! Kulingana na Taarifa Ya Habari, Redio Tumaini - saa 9:00 alasiri hii, Chama cha NCCR Mageuzi kimetoa tamko kuwa Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa mbovu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi naishi buguruni,nimepiga kura pale malapa,na kuna jamaa mmoja alikamatwa akiingiza fom ya kupiga kura zikiwa mbili, so pale msimamizi alimuona akiangaika kuingiza fom mbili kwa mpigo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Marina Hassan, Tiddo Mhando etc. wako hewani wakijetetea jinsi walivyo cover kampeni huku wakivishambulia vyama. Tukio la Marin Hassan kugombaniwa na wana CHADEMA jangwani wanadai lilitokana na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wananchi wengi hupata huduma nyingi toka kwa halmashauri zao. Naomba mwenye jibu tusije tukamiss kilichotokea hasa jpili.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom