Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani kulingana na hali halisi iliyopo hapa nchi, mambo si shawri kabisa. Mawazo yangu naomba wakuu wa vyombo vyetu vya ulinzi (Hasa walinzi wakuu) wasilichukulie hili swala kiurahisi. hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika uchaguzi huu imedhihirika tena haja ya kuwa na tume huru ya uchaguzi. Ukiangalia nchi nyingine kama Uingereza kwa mfano wana tume huru inayowajibika kwa bunge. Sijui hii ni kwa sababu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kumbe mpaka leo asubuhi Tanzania ina asilimia 65 ya WAJINGA kwa watu waliozidi miaka 18!!!!!!!!!!! Hii ni kulingana na takwimu nilizozipata kutokana na Jaji Lewis Makame anazoendelea kuzisoma
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
nasikia KOVA anatafuta wale wanao hamasisha maandamano wa 1mi hapa
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Mwalimu na mwanafunzi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka matatu ya uchochezi na kuchapisha matoleo ya aibu kwenye Mtandao wa Facebook dhidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani naangalia ITV tume inajiuma jiuma tu, kuna baadhi ya maswali hata KIRAVU hajui anachojibu!!!! hebu angalieni jamani
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Naangalia ITV apa NEC wanatangaza matokeo wakati Lewis anataka soma ya ubungo wenzake wakamtonya kwa sauti ndogo ila nkaidaka ITV watakaondoa mike kuwa yana marekebisho ayo akayaruka na kuendelea...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
NEC ya CCM ambayo inajiita NEC ya uchaguzi, msituchagulie watanzania Rais, tunajua watanzania wamemchagua Dr. Slaa kuwa Rais wao. Mkilazimisha kumtangangaza JK, huyo atakuwa Rais wenu NEC...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Wana JF, Kutokana na kuwa JK atashinda kwa asilimia kama 60% hivi, Je baraza lake la mawziri atalifanya la mchanganyiko na upinzani au ni wana CCM wata tawala safu zote za wizara?? Je nani...
0 Reactions
111 Replies
17K Views
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu. Ndoto...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
  • Closed
Wameitisha Press Conference imehutubiwa na Naibu Mkurugenzi bwana Jacky Mugenzi kuwa hawahusiki kwa namna yoyote na uchakachuaji wa kura za urais. Source: Mimi mwenyewe ========== Usalama wa...
0 Reactions
75 Replies
11K Views
MBUNGE mteule wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango Malecela, amesema miongoni mwa mambo yaliyompa faraja kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni kurejea bungeni kwa wabunge wa CCM ambao ni makamanda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa kampuni ya vinywaji Coca Cola na mjumbe wa Nec mwita Gachuma amezungumza na waandishi wa habari na kukanusha madai kuwa alikaa kikao na J. Kikwete, Ridhiwan, Rostam Aziz na Lowasa...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
  • Closed
naona wengi mnakimbia ukweli. kama alivyokuwa mrema wa vunjo, ndivyo alivyokuwa zito, alimuunga mkono mgombea wa chama tofautu na kumgeuzia kisogo mgombea wa chama chake (kafulila) na kushinda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ufisadi uliokithiri kwenye serikali ya CCM ambayo inaongozwa na mmoja wa mafisadi waliotajwa na Dr.Slaa, huyo si mwengine ila bali ni Kikwete. Watanzania tusitegemee kabisa kuwa bei za bidhaa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa yule fisadi wa kutisha mwenye kesi ya matumizi ya ofisi ya uma vibaya yuko hospitali anatibiwa presha baada ya kuwekeza mabilioni ya kutosha kwenye kampeni na kuambulia patupu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
An albino has been elected as an MP in Tanzania for the first time. "This win is a victory not only for me but also for all the albinos in this country," Salum Khalfani Bar'wani, from...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini maneno ya Dr Slaa na pia nilibahatika kufanya naye mahojiano na yeye anasema hivi: 1. Anataka haki ionekane ikitendeka. Kama A amepiga kura kituo B na kupata...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom