Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hapo mm sielewi jamani mbona kiravu anajibu maswali kama kada wa ccm sio mkurugenzi wa NEC?:sad:
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani kuuliza si ujinga, binafsi nataka kujua kama huyu mtu ana walinzi, mwenye taarifa anijibu. Hii ni kwa nia nzuri tuu kuna kitu nimefikiria:evil:.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamii, Kwa kweli nimesikitishwa sana kwa hali ninayoina ikiendelea kwa CHADEMA kuporwa wazi wazi tena bila huruma ushindi wa baadhi ya majimbo. Sasa ni ushauri wangu tuanzishe mfuko...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna taarifa ya kuwa Edward Lowassa ameanza mikakati ya kuusaka Uspika wa Bunge la 10 la Jamhuri ya muungani wa Tanzania.
0 Reactions
34 Replies
4K Views
:nono::nono: “UTAJIRI unaotokana na wizi wa mali ya umma, na wizi wa fedha za kigeni na unyonyaji na uharamia wa aina mbalimbali, hautupunguzii umaskini wetu, bali unauongeza. Chama chetu hakiwezi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimemsikia mwenyekiti wa NEC anadai kuwa wao wanahakiki matokeo ya urais yanayotoka kwenye majimbo na wakigundua yamekosewa wanayarekebisha.Hapa kwa kweli, sijamuelewa!anahakiki vipi wakati...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jaji Lewis amepata kigugumizi kujibu hoja aliyoulizwa na waandishi wa habari kuwa matokeo anayotangaza yana ukweli ndani yake, alionekana kutetemeka sana huku maneno yakimtoka kwa kukatika katika...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Baada kutangazwa mshindi wa Ubunge kwa jimbo la Vunjo, mbunge mteule kwa tiketi ya Chama Cha Tanzania Labour Party, TLP, Augustine Lyatonga Mrema, ameibuka na kumuomba Rais atakayeingia madarakani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge wa CCM Mchungaji Mwanjale [ aliwahi kupata ubunge kwa ujanja katika uchaguzi mdogo miaka ya nyuma] amevamiwa na wananchi wenye hasira baada ya kuhonga tume ya uchaguzi, na kumfanya ashinde...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
JK na washirika wake wakuu, Lowasa na Rostam, wakiendelea kutawala kwa miaka 5 ijayo wa-Tz tujiaandae kuona sehemu kubwa ya nchi yetu imeuzwa na sisi wenyewe tumeuzwa utumwani kwa Waarabu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati mwenyekiti akisoma matokeo ya uraisi, ghafla ikaja karatasi ya kule ubungo akasema tu ubungo na kuiweka kando nafikiri walikuwa wanarudia, na ilipokuja matokeo ya kule ukerewe ambapo Dr...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwizi wa kura ni sawa tu na mwizi wa kuku. Amri ya saba inasema USIIBE. Haijasema usiibe kuku lakini kura iba tu! Mwizi anashughulikiwa kwa staili yake. Binadamu tuna staili yetu na kuku wana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa walioangalia kutangazwa kwa matokeao ya Uraisi na Tume ya Uchaguzi jioni hii kupitia ITV, Judge Lewis Makame alipata kigugumizi kutangaza matokeo ya jimbo la ubungo, na kuonekana na kusikika...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KURA % P. Mziray 80,830 1.1 J. Kikwete 4,535,063 62.2 W. Slaa 1,727,583 23.7 I. Lipumba 649,642 8.9 H. Rungwe 18,250 0.3 M.MUHANYWA 11,801 0.2...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi wandugu! NInaomba mnijuze mwenzenu niko nyuma kidogo hasa kwa kuwa siku mbili hizi nilikuwa nje kabisaa ya mawasiliano ya aina yoyote ile. naomba kufahamu idadi ya viti vya ubunge tulivyochukua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
..nimeshangazwa na kitendo cha TBC kumuacha Mkapa atoe maneno machafu-machafu ambayo hayastahili wakati wa kampeni au kusikilizwa na watoto. ..kwanini TBC hawakumkatia matangazo kama walivyofanya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa ufupi na taarifa rasmi nilizopata pale SHINYANGA MJINI hali si nzuri na Halimashauri ya mji ilishapigwa moto juzi...... matokeo ya ubunge yalitangazwa mida ya sa moja usiku jumatatu CHADEMA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
http://www.afrobarometer.org/papers/AfrobriefNo59.pdf I find this site useful Ni somo zuri kwa wabunge wetu na wananchi
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Kila mpenda mabadiliko amehuzunishwa na matokeo ya uchaguzi hasa kwa sababu haki haikutendeka. Lakini ni muhimu kufahamu kuwa kuhuzunika tu hakutoshi. Ni muhimu kukumbuka kuwa kazi ya kuleta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom