Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Shida salum, ambaye ni mwenyekiti wa CHAMA CHA WALEMAVU TANZANIA( CHAWATA) amesema matokeo ya uchaguzi mkuu yamechakachuliwa hata yeye anaushaidi wa JIMBO la kigoma kaskazini source EATV(CHANEL 5)
0 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Hizi ni Campaign Gani tena,, kama ni ndugu yake si ange kaa kimya kuliko kumdhalilisha kakayake? Hebu tazama hii Habari hapa chini, Huyu Kyabo ninani hapa Tanzania kwani, Maana mi namfananisha na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyeti nilizozipata toka kwa mtu wa jikoni ndani ya CCM ni kuwa kuna makubaliano kati ya CCM na baadhi ya vyama vya upinzani wa kupewa (favor) baadhi ya majimbo upande wa bara kwa lengo la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandungu, Jana nilikuwa natazama TV nikaona Jaji Makame anataka kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo halafu alipogundua kuwa ni yale yaliyochakachuliwa akaacha maana Slaa alishinda (na alipeleka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeangalia kwenye website ya NEC sioni aliyenayo hasa yale ya Ubungo anisaidie kumbuka ni ya urais. Asante.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ilitamkwa waziwazi na viongozi akiwemo na mgombea urais ccm kuwa LAZIMA WASHINDE kwa zaidi ya asilimia 80, hili lilitiliwa mkazo na wasomi wasaliti kama prof. Mukandara kupitia taasisi zao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wengi wetu tunamtazama kikwete kwa jicho hasi kutokana na namna anavyoongoza nchi. Wananchi wengi mitaani na kupitia vyombo mbalimbali vya habari wamekuwa wakimlalamikia kikwete kuhusu hali ngumu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rev. Masanilo tunaomba Picha tumalize ubishi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JK, tunaomba ukubali kushindwa tu ili kuinusuru nchi kutoka makucha ya wezi, wauza unga, na wafuasi wa Al Kaida.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unapomsikia mpendwa wetu mheshimiwa Dr Slaa akilalamika juu ya wizi (uchakachuaji) wa kura ambao CCM imefanya dhidi ya chama chetu kitukufu unaweza ukadhani ni mtu anayetapatapa baada ya kufanya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uslama wa Taifa na CCM mbona hiyo Barua hamuikanushi? Kinana ulitegemea mkutano huo wa uchakachuaji waalikwa na waandishi wa habari? Usitufanye wajinga watanzania.mnababaika.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natoa maoni kama mpenda mabadiliko na mwanachama wa CHADEMA. Matokeo ya uchaguzi yametolewa, lakini katika hali inayoashiria kuwa hatukupata kile tulichostahili kupata. Pamoja na hujuma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale IT people Tengenezeni Kura ya Maoni ya Kutomtambua Kikwete na Tume Ya CCM-NEC. Lets make Statement to these crowns. Tuzipulbish na Kila Mahali Ataposafiri Mikoani na Nje ya Nchi Tuta Make...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanajamii, Hivi inaingia akilini kweli kwamba ni wa haki kama hili jambo/mabo yaliyotokea katika jimbo la segerea, kwamba mgombea anakamatwa na masunduku ya kura na ambayo hayaonekani katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiravu mwogope mungu acha unafiki ogopa dhambi wizi wa kura ni uhaini mbaya saana mwogope mungu achia ngazi usirudi kutufundisha neno mnafiki mkubwa wewe. Jambazi mkubwa wa kura zetu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nasikia Makame anataka kujiuzulu kwa aibu, baada ya kubaini alipotoshwa na UWT -- ila tu baadhi ya makamishna wazee wengine wanamsihi abakie madarakani hadi zoezi la kutanbgaza matokeo liilshe...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Wanabodi, Matokeo ya Urais kwa Majimbo Tanzania, yanakamilika usiku huu ambapo mshindi JK atatangazwa rasmi kesho saa 10 jioni pale kwenye viwanja vya Karimjee na kuapishwa Rasmi Jumamosi Saa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wakuu muanagalieni Kinana mlimani TV anamponda Dr slaa kwamba ni muongo na mzushi.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom