Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndugu zangu uchaguzi umekwisha na matokeo yenye utata yamekwishatolewa na tume ya uchguzi. Matokeo hayo yana kila dalili kuwa yamechakachuliwa kwa nia ya kumuokoa mgombea wa ccm dr jakaya kikwete...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nashindwa kuwaelewa waandishi wetu wa habari, utasikia jk anaongoza majimbo, kwani kinachoamua ushindi ni majibo au idadi ya kura, je angekuwa ameshindwa kwa idadi ya majimbo lakini anaongoza kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niwazi kuwa whenga hawakukosea kusema kuwa KUCHAMBA KWINGI MWISHO UTASHIKA HAJA KUBWA. maana yangu hapa nikuwa kura zishapigwa na matokeo ndo kama tunvyosikia live n exclusive kutoka result center...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mojawapo ya majimbo aliyoyataja Dr Slaa jana ni utofauti wa matokeo ya jimbo la Geita, katika pita pita yangu nimegundua matokeo ya Geita na jimbo la Nyang'hwale yanafanana kila kitu. Je...
0 Reactions
109 Replies
14K Views
Wote tunaifahamu CCM na tambo zake pale inapopata ushindi wowote hata uwe mdogo kiasi gani. Ni TOT, taarabu,ngoma na kejeli kwenda mbele. Sasa wamepatwa na nini hawa jamaa? maana pamoja na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu nilikuwa napitia matoke ya urais katika website ya NEC nikaona kama vile data zinatofautiana na za ubunge nilizosoma kutoka vyombo tofauti vya habari kwa maana ya total casted votes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIGOGO WAWILI WA CHAMA CHA CCM WALIINGILIA KATI MATOTEO YA MAJIMBO TAJWA HAPO JUU, IMEFAHAMIKA. CHANZO CHETU CHA UHAKIKI KINADAI KUWASHUHUDIA WAHUSIKA HAO USIKU MKOANI MBEYA WAKATI ZOEZI LA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hongera Dr Slaa kwa ukomavu wa siasa, ila nadhani kuna tatizo la washauri wako wa karibu. Hivi inawezekanaje mawakala wasaini form 24A (provincial declaration) halafu wakwambie kura za jimboni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo. Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya tabiri zake mbili za hivi karibuni kuhusu uchaguzi kuonekana ni za uongo, yule mnajimu ameanza kutapatapa. Kwanza alitabiri kutokuwepo kwa uchaguzi mwaka huu 2010, pili akatabiri kifo cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi binafsi, NEC na wengine walio wengi tunaamini kabisa CCM imeshindwa kwa kiasi kikubwa ktk Uchaguzi ulifanyika pamoja na kwamba wanaoneka kuongoza. Nakumbuka kabla ya Uchaguzi tuliwasikia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jerry Okungu I have observed these Tanzania elections with a lot of interest as an East African and wrote about them in the past in various newspapers in this region. The reason Tanzania’s...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Kama kuna mambo watanzania wengi walikuwa wanatarajia kutokana na utabiri feki wa sheikh Yahya basi kuona uchaguzi mkuu unasimama kama ilivyotokea mwaka 2005.Uzushi wa mtabiri huyu ni kuwa mmoja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inasitikisha kuona kwamba michango karibu yote iliyotolewa kwenye blog hii mpaka sasa haisemi ni nini kifanyike ili kuweza kuepukana na janga hili linalonyemelea nchi yetu. Kwa maoni yangu...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Yule mwndishi aliyejibiwa na mtu wa Tume ya Uchaguzi jana baada ya kuhoji kucheleweshwa kwa matokeo majimboni bila sababu za msingi, kweli inaonyesha hawa jamaa hawachagui majibu kulingana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi hadi sasa CHADEMA, CCM, CUF, NCCR-Mageuzi, TLP,....... imeshachukua majimbo mangapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete atakua Raisi wa vijijini tuu? Ili Raisi uheshimike lazima uwe na support kubwa ya wasomi na miji mikubwa ya nchi yako, kinyume chake unakuwa Raisi kivuli. Tumezoea kuona kwenye nnchi za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jana tar 04 nov 2010 wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya kura za urais, tume ya uchaguzi iliwakaribisha waandishi wa habari waliokuwepo kuuliza maswali. Moja kati ya maswali yaliyoulizwa ni madai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom