Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hawa waasisi wa CHADEMA wako wapi na wanafanya nini? Nao tunataka watoe tamko lolote ama neno lolote kumsapoti Slaa. Hii vita sio ya Slaa na waleta habari peke yao. Waje hadharani tuwasikie nao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sasa tunakaribia mwisho wa matokeo na ni dakika yoyote toka sasa tutapewa ratiba ya kumwapisha JK, sio mbaya sana kwasababu amejiona yupo katika nafasi gani ndani ya mioyo ya watanzania, amejiona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jana nilipata wasaa wa kumsikiliza huyu kibaraka wa CCM na serikali yake, Rajabu Kiravu wakati akijibu swali la mwandishi mmoja. Jamaa kwa kujiamini kabisa akasema jamii ya watanzania inafuga wezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi hawa wazee wa tume ya uchaguzi wanajua hata kutumia computer?:thinking:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Fisadi Kikwete aliposema hivyo alikuwa yupo sawa au ni kuidharau Jamii? Na kama ameidharau jamii je anafaa kuwa kiongozi wakati huko nyuma alishawahikuwa fisadi na bado ataendeleza ufisadi maana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimependa jana Kiravu alivyoweka mambo wazi juu ya shutuma za NEC akipewa support na Mwenyekiti msaidizi na mjumbe wa NEC profesa CHALIGA wametulia, angekua jaji tungempendekeza awe ndio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hata kama anaapishwa kesho but taarifa kwamba watu wamechoka ccm imewafikia! take care
0 Reactions
0 Replies
896 Views
  • Closed
Muhtasari wa kikao cha la cairo huu hapa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajamvi, namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za ndani kutoka CCM zinasema kada aliyejizolea umaarufu katika uchaguzi wa mwaka huu ndg Kinana anaandaliwa kuwa spika wa bunge. Wabunge wote wa CCM wanaandaliwa kuwekwa chini ili...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Tanzania party accuses spy agency of vote theft Tanzania Intelligence and Security Services (TISS) deputy director, Jacky Mugendi Zoka, adresses reporters when refuting allegations by Chadema...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Tarehe 31 October 2010 ilikuwa ni siku ya muhimu na ya kipekee kwa Tanzania na nchi washiriki. Ni siku ambayo watanzania tuliisubili kwa muda mrefu na hatimaye ikafika na sasa imepita. Ni siku...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiona malalamiko mengi sana kuhusiana na posho za wabunge, mbona Tanzania kuna watumishi wengi tuu wa kawaida kabisa wanao pata wastani wa mishahara na posho zinazofika milioni12 na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sina budi kumpongeza Rais wa CHADEMA Dr. Willbroad Slaa kwa kazi kubwa aliyoifanya pamoja na team yake yote kukiunua chama. Amefanya kazi kubwa sana kuhakikisha chama kinaongeza idadi ya viti...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mtiririko wa mambo yanavyoenda na matukio hasa ya uchaguzi mkuu, mh. Dr Slaa baada ya kuibua hoja ya kuhusika kwa TISS ktk hujma za uchaguzi , japo TISS wamemruka ni dhahiri watanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uchaguzi wa mwaka huu unatupatia mafunzo mengi sana. Matokeo ya udiwani na ubunge katika majimbo mengi yameishatangzwa. Katika majimbo mengi, hakukuwa na ulalamishi kwa sababu karatasi kutoka kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kulikuwa na mtu hapa alikuwa anatamba kuwa wakishinda wataendelea kufisadi uchumi wa Watanzania. Hongera sana Raj Patel...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuwapongeza wana Ngara kwa kutumia vizuri haki yao ya msingi kumchagua mzee wetu mpendwa ndugu Deogratias Ntukamazina. Tuna uhakika mzee huyu atatumika vizuri kuleta maendeleo ya Ngara na...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
JF hebu leteni full list ya wabunge wateule huku TZ nchi kavu (Bara).
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom