Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Yaani taifa la Tanzania tunakoelekea siko.matokeo ya uchaguzi yanatumia muda wa wiki moja nzima!hatuna budi kujiuliza ya kwamba kwa nini chaguzi zilizopita zilikuwa zikifanyika kwa muda mfupi tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sote Tumeshuudia Rafu za Uchaguzi ambao umemalizika kwa kumpatia bwana Mkubwa Ushindi wa Mezani Kama walivyokuwa wamepanga wao. Lakini wasikae wakajidanganya na wajione wao ni clever sana kuliko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yule mtabiri aitwaye sheikh yahaya alitoa utabiri kuwa uchaguzi utaahirishwa kwa kuwa jambo baya litamtokea mgombea sasa atajitetea nini? Maana uchaguzi umefanyika. Kuhusu mtu kufa ghafla...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Miezi kadha iliyopita, Mzee Mwanakijiji aliweka thread humu JF ikisema ngome za upinzani zimedorora katika miji mikuu hapa nchini. Thread hiyi iliibua post nyingi, nikiwa mmojawapo na nilisema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania ni wepesi wa kusahau, tukirudi nyuma miaka miwili tu iliyopita, Tanzania ilikuwa inayalipa makampuni ya kufua umeme ya Dowans (T) Ltd shilingi za kitanzania 152 milioni kwa siku. Sawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanaokishutumu CHADEMA kuwa ni chama cha undugu, inawezekanaje kuweza kukubalika Tanzania nzima? mf. kwa tathmini yangu ni kwamba wananchi wameweza kuchagua wabunge kutoka Mashariki -...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikia waliopiga kura mwaka huu ni kama 7,500,000 kati ya 19,600,000 waliotarajiwa ambao ni sawa na 38%. NEC watatuambia nini, tutaliaminije hilo Daftari lao kama ni sahihi? Maswali ni mengi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
kwa mfumo huu ni wazi kuwa CCM, NEC, na taasisi zake vimefanya ubakaji kwa kuyasasambula matokeo ya wabunge na uraisi ili kumpa nafasi Kikwete na kundi lake la mafisa kuhakikisha kuwa wanaendelea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
CCM Wameshawaona Watanzania Wajinga Kama Wao na Matokeo Ndio Haya. Hatushangai Kwani Mugabe, Museven, Mwai Kibaki, na Kagame Wote Si Ndivyo Wanavyoendesha Nchi Zao. Huu Uchanguzi CCM Hawakushinda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuchakachua ni kuchanganya chema na haramu lakini KUSUKUTUA ni kuweka chema ndani (mdomoni) na kukigeuza kuwa takataka. Hicho ndicho ambacho CCM wamekifanya, hawajachakachua ila wameukutua. Habari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TEMCO: Wakuu wa mikoa na wilaya waliisaidia CCM kampeni Send to a friend Thursday, 04 November 2010 08:55 0diggsdigg Exuper Kachenje TIMU ya Waangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu (Temco) imetoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This week, see a clever new way to prevent vote fraud, and learn 7 ways games make your brain feel good. Japo bado tupo mbali kitekinolojia, pengine juhudi zikifanyika, tutapunguza "uchakachuaji"...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Prof Baregu alikuwa Mwenyekiti wa Kampeni ya Urais ya Bw. Mrema mwaka 1995 ambapo kulikuweko na uchakachuaji mkubwa wa kura uliomwezesha bwana Mkapa na CCM kuupora ushindi na kuwa Rais wakati Bw...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ra ndo anaongoza nchi nani asiyejua,na hivi kikwete kaoa dada yake anawapelekesha kama nini,oh slaa mhuni yeye mbna kamuoa mtoto wa meji zakia naye muhuni vilele
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana jamii Ninaomba kuwaasa watanzania tuombe wagombea wote wakubali matokeo. Nimeshawishika kwamba matokeo ni sahihi kabisa kwa sababu wametoa matokeo jimbo kwa jimbo na taarifa zote hizi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesoma taarifa kuwa mmoja wa mafidadi na watu hatari sana katika muelekeo wa nchi hii, Andrea Chenge, amechukua fomu ya kuomba kugombena nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingawaje uchakachuaji ulijitahidi kushika nafasi yake, lakini nashukuru mungu upinzani utakuwa wa ukweli Mjengoni mwaka huu ila sijajua huyu mdau(JK) hadi hivi sasa amefikisha % ngapi?
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Back
Top Bottom