Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Baada ya kubwagwa na mgombea wa CHADEMA, ndugu Philip Marmo(mgombe ubunge: CCM- Mbulu) yupo Haydom akipata matibabu. Hata hivyo inasemakna kuwa hajalazwa Hospitalini bali yupo katika nyumba ya...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
kufuatia matokeo ya uchaguzi 2010, ambapo inaelekea kuchachuliwa kwa namna mbali mbali hivyo kupotosha utashi na matumaini wa watanzania, hofu ya watu /yangu ni hatima ya vyama vya upinzani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ITV live hapa jaji mstaafu Lewis Makame alipofika kusoma matokeo ya Jimbo la Ubungo akapatwa kigugumizi ndipo mkurugenzi wa NEC akamwambia eti Jimbo la Ubungo linarekebishwa bado aklaliruka baada...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
http://www.afrobarometer.org/papers/AfrobriefNo1.pdf Kumbe yule mzee wa NEC alikuwa anarefer research ya mwaka 2002 kuhusu democrasia ya Tz. Sio mtaaramu wa research ivi waweza konclude...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Nimekaa nikatafakari bila kupata jibu hatua ya kuchukua kwa hili la Kupokwa haki yetu ya msingi, haki ya kupiga kura kuchagua kiongozi tunayemtaka na kisha kupatiwa kile tusichokitaka. Naomba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watu wamepiga kelele sana na kumponda Dr Slaa kuwa anaongopa kuhusu wizi na udanganyifu kwenye kujumlisha matokeo ya uraisi. Ushahidi wazi kuwa matokeo ya kura haya ni ya uongo ni huu hapa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
News za ITV leo jion bwana kinana anasema JK hauwepo kwenye kikao cha kuchakachua matokeo kama ilivyonukuliwa na barua inayozunguka umu JF. Na RA akasenma siku iyo yeye alikuwa Sauziiiiiiiiiiiii...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inasikitisha kuona kuna baadhi ya wabunge wameingia bungeni kwa njia ya Uchakachuaji wa kura. Sasa unaona kama Karagwe, polisi wanamsindikiza mpaka nyumbani kwa mtutu. lakini ni kwa hakika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninachokiona sasa ni kuwa nec hii inayosoma matokeo ni tume ya kampeni ya chama cha mapinduzi na si tume ya taifa ya uchaguzi na hivyo tuna haki ya kuwa na tume independent ya taifa ya kusimamia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, ni takribani miaka 50 to Mungu alipoona vema niwe kiumbe hai. theluthi mbili ya maisha yangu nimeishi TZ. Nimepiga kura katika chaguzi tatu na hii ya sasa ni ya nne. Sijawahi kuona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna SMS ya maandamano nchi nzima kuanzia ijumaa amabyao inasambaa kwa kasi mno. Ujumbe wenyewe unasema "Tumeujumiwa miaka 45 imetosha. Kuanzia ijumaa ni maadandamano ya amani nchi nzima" Nawaunga...
0 Reactions
113 Replies
10K Views
Wakuu naomba kujua matokeo ya Majimbo haya Magu na Busega.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ni heri kuimwaga damu kuliko kukubari kupolwa haki maana haki ni heshima ya utu wa mtu, unapo nyang'nywa haki na kukubari kunyang'anywa, huna tofauti na mwanaume aliyeuvua uwanaume wake kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu mtoto wa makamba January hana adabu. Ana majina mengi sana humu Jamii Forums, Kwa jina lake jingine JOKAKUU, nanuu aliyaandika, kwangu mimi huu uchaguzi umekwisha na JK ndiyo Raisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kuna watu waliaga makwao kuwa hawatarudi nyumbani wazima kwa sababu watakuwa barabarani kwenye so called PEOPLES POWER... Sasa kule Pemba wanauliza KUNKUAJE?
0 Reactions
3 Replies
891 Views
Ninalia machozi ya furaha. Ninamfurahia Mungu wangu, nawafurahia watanzania, namfurahia rais wangu mpya Dr Slaa kwa kujitoa na kukubali kuwaongoza watanzania kama rais. Mheshimiwa rais Dr Slaa...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Nyumba ndogo ya makamba jimboni kawe, Angela Kizige Makamba, amepigwa chini jimboni kawe na mtetezi Alima Mdee. Mrs. Makamba anakaribishwa rasmi kuungana na Ephraim Kibonde pale Radio ya Wafu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Na compile matokeo ya urais yanayotolewa(bado yanaendelea kutolewa) na NEC kwa ajili ya analysis. Nitajaribu kuchanganya hii analysis ya matokeo ya urais na ya ubunge watakapo update tovuti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani Matokeo ya urais yanachekesha sana kuyasikia, zile shutuma zilizovuja tarehe 10.10.2010 kuhusu kitengo flani nyeti katika nchi kinaandaa ushindi 'fake' wa asilimia 80% kwa JK na baadae zile...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari nilizozipata ni kuwa eti JK ameshinda kwa asilimia 55 hivyo yeye na serikali yake wameshinikiza watangazwe wameshinda kwa atleast 75%
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom