Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

486( speed model) computers ilikuwa karibu 20yrs ago je ndo wanazo tumia NEC uchaguzi huu pia 286, inawezeka alitumia jaji makame enzi hizo, mabadiliko ya tekno hama yamewezesha kazi kufanyika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutoka BBC...Habari ndo hiyo... Chadema leader calls for Tanzania election re-run Willibrod Slaa of Chadema campaigned...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Eti sheria inasemaje kuhusu uwezekano wa kumtoa mbunge wako/ wenu kabla ya miaka mitano kutimia kwa sababu za kiutendaji? manake mimi naona ni bora kama inawezekana mbunge akitubore tunamreplace...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba ili kuondoa mkanganyiko katika jamvi letu,tujaribu katika post hii kuweka majina ya WALIOKWISHA TANAGZWA NA TUME(wakurugenzi ) ili kuondoa utatamimi naanza1.Vicent Nyerere-Musoma...
0 Reactions
82 Replies
14K Views
Don’t wish it was easier; wish you were better. Don’t wish for less problems; wish for more skills. Don’t wish for less challenges; wish for more wisdom. You must either modify your dreams or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana jioni nilishangaa kusikia mjadara juu ya uchaguzi wa Tanzania BBC wakiwapa watu mbalimbali live kutoa view zao, moja baya ambalo lilikuwa kichefuchefu ni kumweka mtu wa CCM kutamba kuilaumu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
10 signs you're not ready to retire Before you report for your last day of work, be sure that you've taken care of these details. You could save yourself a whole lot of money and regret later...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, ni takribani miaka 50 to Mungu alipoona vema niwe kiumbe hai. theluthi mbili ya maisha yangu nimeishi TZ. Nimepiga kura katika chaguzi tatu na hii ya sasa ni ya nne. Sijawahi kuona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jeshi la police limetoa onyo kwa vikundi ambavyo vinapanga kufanya fujo na maandamano kwani imesemekana kuna watu wanatoa fedha kuwapa watu ili wakusanyike kufanya vikao visivo rasmi na maandamano...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Nimevumilia weee lakini nimeshindwa. Sasa inabidi niseme nitoe dukuduku langu. Sisi miafrika tuko mijitu ya ajabu sana. Kamwe hatuwezi kuendelea. Kuliangalia lichakachuaji in charge (lewis makame)...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wadau naomba michango yenu juu ya hili swala, Hivi inawezekana vipi kwenye mkoa mmoja ukakuta CHADEMA imeshinda kata 12 kati ya 14 au imenyakua majimbo yote, wakati huo huo kwenye matokeo ya...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mwanasheria wa CHADEMA, Mabere Marando amewasilisha rasmi NEC barua ya kupinga matokeo. Hatua zilizochukuliwa/tutakazochukua ni: 1. Kwenda NEC - (barua imewasilishwa jana) 2. Tunakwenda...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
JK atangaza ushindi kupitia facebook page yake JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 | Facebook JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 "Kwa ridhaa ya wananchi wa Tanzania,Mheshimiwa Rais Kikwete...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalaam, In other uchaguzi news, naona uchaguzi umeeisha na sasa watu wanaenda through the Kubler-Ross stages of grief, Denial, Anger, Bargaining, Depression, Acceptance. Denial- "Dr. Slaa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Hamjambo wote? Naomba ufafanuzi kutoka kwenu wana JF. Je Slaa anaweza kurudi tena bungeni, angalao kwa Viti maalum?? Bila Slaa Bunge litachangamka kweli? Ninaumia sana kila nikifikiria hatma ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetoka maeneo ya St. Peter Church. Karibu kabisa na milango MIKUU ya jengo la UMBO la NDEGE. Unyayo wangu umegusa korido kadhaa za JENGO hili. Macho na Masikio yangu vimeona na kusikia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naamini kuwa Kikwete, iwapo atatangazwa kuwa rais wa Tanzania kwa miaka mitano ijayo atakuwa mkweli na kuonyesha heshima kubwa kwa Watanzania wote, waliompigia kura na wale ambao hawakumpigia kura...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Jamani mtu mwenye evidnce ya hili naomba atoe ushaidi kuwa huyu mtu ashawshi fika Lakairo! maana press statement yake inaonekana anadanganya!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom