Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna tetesi kuwa mchakato wa uchaguzi wa CWT katika wilaya hiyo umegubikwa na visa vingi vinavyokiuka taratibu za uchaguzi. Mojawapo ya visa hivyo ni pamoja na usambaji wa fomu kwa wagombea ngazi...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Taarifa kamili hii hapa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Bara Mhe Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi...
1 Reactions
8 Replies
497 Views
KIJIJI CHA NYUKI SINGIDA, DUNIA MPYA USIYOIJUA: Ilikuwa Agosti 2, 2022 majira ya saa 10 jioni nikiwa nimeketi peke yangu juu ya mawe nyumbani Singida, nikiyatathimini maisha yangu, nilipofeli...
8 Reactions
20 Replies
6K Views
Wananchi wa Nanjilinji na Ruangwa wameelezea furaha yao kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Daraja la Mto Nakiu, hatua inayotajwa kuwa suluhisho la kudumu kwa changamoto za usafiri, uchumi...
0 Reactions
1 Replies
113 Views
UJUMBE MZITO KWA WANABIHARAMULO KUHUSU MTU ANIYEJIITA LIMBILE MARTIN AU KIZINGU NI MTU HATARI TAPELI WA KISIASA ANAJIITA MSAIDIZI WA MBUNGE WA MPWA AMBAYE NI WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA ...
1 Reactions
17 Replies
558 Views
Ziara ya Kikazi ya Rais Samia Mkoani Tanga Februari 23, 2025 https://www.youtube.com/live/A5Kayo33810?si=SkcoQaTDduuUWupm Akiwa kwenye ziara hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe...
0 Reactions
4 Replies
302 Views
  • Redirect
Asanteni Handeni. #samiaapp #kaziiendelee #tumejipatanamama
0 Reactions
Replies
Views
Ewe Mfanyakazi wa Umma uliyewekewa Kikokotoo Chadema haijakutupa, huu ni wakati wako wa kuhakikisha jambo hilo linaondolewa kabisa ili isiwe chanzo cha kifo chako baada ya Kustaafu. Taarifa yao...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
1. Lisu kusema kwa ukali na makeke hakutaitisha CCM. CCM ni waovu, hawatishwi na maneno! 2. Mama yuko agressive supreme of power! hatishiwi na maneno makali/kelele za juu kama za Heche na Lisu...
12 Reactions
67 Replies
2K Views
Waziri mkuu wa Uingereza ametangaza kupunguza misaada ya kimataifa kwa 40% Ili Fedha hiyo iingizwe Kwenye bajeti ya Jeshi Ni hilo tu Credit: Al Jazeera news
0 Reactions
12 Replies
310 Views
La mgambo limeshalia japo siyo official Chadema tupeni orodha yenu mapema Ahsanteni sana 😄
4 Reactions
11 Replies
498 Views
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamekasirishwa na kitendo kinachodaiwa kufanywa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Jeshi la Ulinzi kuwazuia kushiriki kama chama...
1 Reactions
45 Replies
1K Views
4Rs tumevuka boda Hadi Ubeberuni wakati kibaraka Lisu akijiliza Kwa Norway kuhusu hoja muflisi ya No reform No election. https://www.instagram.com/p/DGf2OvVM7cn/?igsh=MThneDFicHQxODI2cw== My Take...
0 Reactions
31 Replies
561 Views
Gambo acha ngonjera; 1. Kwanza hukuondoka kwenye kikao, bali ulikimbia baada ya kusikia Makonda anakuja. Na ulisahau baadhi ya vitu vyako ukumbini ikabidi mtu mmoja akukimbizie kwenye gari. Kikao...
4 Reactions
4 Replies
201 Views
  • Redirect
Huyu mganga wa Makamba ni balaa sana. Yes! Naweza kusema haya mambo bila nguvu Lucifer nyuma Yako utafel Kwa Kila kitu. Iwe Kwa ofisi, Biashara, music, Sanaa, mpira n.k Kipara kaupiga mwingi...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa Ummy Mwalimu ambaye alikuwa na amehudumu katika wizara mbalimbali hapa Nchini ikiwepo Wizara ya Afya .ambayo alikuwepo kama Waziri wake mara ya mwisho kabla ya...
0 Reactions
61 Replies
1K Views
Mi nafikiria hautakuwepo Mkutano wowote wa Chadema kesho kutwa. Kama lengo ni kuanzisha Kampeni ya no reform no elections na kuipeleka nje ya nchi.
0 Reactions
0 Replies
127 Views
  • Redirect
Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amejibu kilichotokea jana February 24,2025 kwenye baraza maalumu la jiji la Arusha la kupitisha bajeti baada ya madiwani kumtaka Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul...
0 Reactions
Replies
Views
Gambo amesema kuwa yeye ndiye Mbunge halali kwa muda huu na yeyote anayehitaji nafasi hiyo anapaswa kusubiri muda ufike kisha kufata taratibu zote za kuwania nafasi hiyo na sio vinginevyo. “Kama...
0 Reactions
21 Replies
903 Views
  • Redirect
Wanaosema wanataka debate waulizeni hizi hoja za Lissu. Maana naona Lissu hakuna mtu hata mmoja aweza kujibu hoja ya msingi. "Tuende kwenye uchaguzi kwa sheria hizi ili iweje"? Hata wandishi wa...
2 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom