Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

wana JF wenzangu naomba nisaidieni na mnijuze matokeo ya majimbo haya kwa yeyote mwenye nayo. Nawakilisha
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wenye habari za Temeke mambo yakoje huko maana niliskia jana kulikuwa hakukaliki
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Akihojiwa na ITV baada ya kutangazwa mshindi wa ubunge kwenye jimbo la Sikonge aliyekuwa Spika wa bunge SS ameuponda utaratibu wa NEC wa kuchelewesha matokeo kwa kisingizio cha teknolojia mpya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imeniwia vigumu kidogo kuona mgombea urais wa CCM Mh. Kikwete akimpongeza Dr. Shein then kisha anasema " serikali ya muungano tutashirikiana nawe" Ni vema ikaendela kusemwa endapo nitashinda basi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa vituo takribani 52, 000 Chadema ilipaswa kutumia bilioni tatu kuwalipa mawakala kwa vituo vyote nchi nzima na kwa shilingi elfu hamsini kwa kila wakala.................kwa kutofanya hivyo na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana-JF wapenda mabadiliko ya kweli yenye manufaa kwa nchi yetu hatuna budi kumpongeza kwa dhati kutoka ndani ya nyoyo zetu Dk. Wilbroad Peter Slaa kwa kazi nzuri na kubwa mno aliyoifanya kwa...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Jamani hawa jamaa wanaoitwa polisi wamepewa kura za kuchakachua matokeo wanapovamia kituo ambacho hakijatangaza matokeo yake wanakuja na kura nyingine ambazo ni feki then baada ya muda wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wanachama wenye mapenzi mema na CCM na wapiganaji wa kweli wa maendeleo ndani ya chama hicho wameanza mkakati wakumtaka Mwakyembe aombe uspika. Ila habari zisizothibika kundi zito la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo: Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kama nilivyoeleza hapo juu, aliyetangazwa mshindi CHADEMA ni mbozi magharibi na sio mbozi mashariki kama ilivyoelezwa hapo awali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DAKIKA MBILI ZILIZOPITA 1610HRS Ffu walikuwa wanakuja mbio kuwaadhibu washabiki wa chadema anatoglo wakakutana na wafuasi wa chadema wanatoka na ushidni ikawabidi wao wasimame wakae pembeni na...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Rose Kamili agoma kusaini matokeo Tuesday, 02 November 2010 19:36 0diggsdigg Mussa Juma, Karatu MGOMBEA wa ubunge jimbo wa Chadema, katika jimbo la Hanang, Rose Kamili ambaye ni mke wa zamani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NIMEFUATILIA KWA KARIBU MNO KAMPENI NA MCHAKACHO MZIMA WA UCHAGUZI ZANZIBAR, KWA MARA YA KWANZA CUF WAMEIBOMOA PAKUBWA NGOME YA CCM UNGUJA. TAFSIRI YAKE KUWA USHINDI KWA CUF ULIKUWA DHAHILI, SASA...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wote tumeponzwa na uvivu wetu wa kupenda kujumlishiwa matokeo na Tume. Matokeo yake hata yalipochelewa hakuna aliyekuwa anaweza kusema fulani ana kiasi gani hata kufanya kauli "lete data" itawale...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani naombeni taarifa kama kuna mtu mwenye data kama huyu mama kashinda maana bado tunamhitaji bungeni hata kama ni wa kijani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, Napenda kuwapa habari zilizo jili mitamboni kwetu kuwa viongozi wa CCM katika wilaya hizi 3 Ilemela,Nyamagana na Arusha mjini. Viongozi hawa watakuta katika majimbo yao na kujadilia na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kuna uchakachuaji wa kura basi wafuatao ndio watwishwe lawama zote Hon. Retired Judge Lewis M. Mkame - Chairman Hon. Judge Omary O. Makungu - Vice Chairman Hon. Prof. Amon E. Chaligha -...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye data amwage zaidi kwani ni habari ya kweli:A S-baby::caked:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mungu wetu; Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom