Akihojiwa na ITV baada ya kutangazwa mshindi wa ubunge kwenye jimbo la Sikonge aliyekuwa Spika wa bunge SS ameuponda utaratibu wa NEC wa kuchelewesha matokeo kwa kisingizio cha teknolojia mpya...
Imeniwia vigumu kidogo kuona mgombea urais wa CCM Mh. Kikwete akimpongeza Dr. Shein then kisha anasema " serikali ya muungano tutashirikiana nawe"
Ni vema ikaendela kusemwa endapo nitashinda basi...
Kwa vituo takribani 52, 000 Chadema ilipaswa kutumia bilioni tatu kuwalipa mawakala kwa vituo vyote nchi nzima na kwa shilingi elfu hamsini kwa kila wakala.................kwa kutofanya hivyo na...
Wana-JF wapenda mabadiliko ya kweli yenye manufaa kwa nchi yetu hatuna budi kumpongeza kwa dhati kutoka ndani ya nyoyo zetu Dk. Wilbroad Peter Slaa kwa kazi nzuri na kubwa mno aliyoifanya kwa...
Jamani hawa jamaa wanaoitwa polisi wamepewa kura za kuchakachua matokeo wanapovamia kituo ambacho hakijatangaza matokeo yake wanakuja na kura nyingine ambazo ni feki then baada ya muda wa...
Wadau wanachama wenye mapenzi mema na CCM na wapiganaji wa kweli wa maendeleo ndani ya chama hicho wameanza mkakati wakumtaka Mwakyembe aombe uspika. Ila habari zisizothibika kundi zito la...
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo:
Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa...
Baada ya ccm kutangaza nafasi wazi mbili; uspika wa Bunge la muungano na ule baraza la wawakilisi, kuna tetezi kuwa Lowasa anakamia nafasi ya uspika wa Bunge na anajiandaa kwenda kuchukua fomu.
DAKIKA MBILI ZILIZOPITA 1610HRS
Ffu walikuwa wanakuja mbio kuwaadhibu washabiki wa chadema anatoglo
wakakutana na wafuasi wa chadema wanatoka na ushidni ikawabidi wao wasimame wakae pembeni na...
Rose Kamili agoma kusaini matokeo
Tuesday, 02 November 2010 19:36 0diggsdigg
Mussa Juma, Karatu
MGOMBEA wa ubunge jimbo wa Chadema, katika jimbo la Hanang, Rose Kamili ambaye ni mke wa zamani...
NIMEFUATILIA KWA KARIBU MNO KAMPENI NA MCHAKACHO MZIMA WA UCHAGUZI ZANZIBAR, KWA MARA YA KWANZA CUF WAMEIBOMOA PAKUBWA NGOME YA CCM UNGUJA. TAFSIRI YAKE KUWA USHINDI KWA CUF ULIKUWA DHAHILI, SASA...
Wote tumeponzwa na uvivu wetu wa kupenda kujumlishiwa matokeo na Tume. Matokeo yake hata yalipochelewa hakuna aliyekuwa anaweza kusema fulani ana kiasi gani hata kufanya kauli "lete data" itawale...
Wana JF,
Napenda kuwapa habari zilizo jili mitamboni kwetu kuwa viongozi wa CCM katika wilaya hizi 3 Ilemela,Nyamagana na Arusha mjini.
Viongozi hawa watakuta katika majimbo yao na kujadilia na...
Kama kuna uchakachuaji wa kura basi wafuatao ndio watwishwe lawama zote
Hon. Retired Judge Lewis M. Mkame - Chairman
Hon. Judge Omary O. Makungu - Vice Chairman
Hon. Prof. Amon E. Chaligha -...
Mungu wetu;
Ulitupatia Tanzania na watu wake (nikiwemo mimi, na wengine), mbona sasa unaruhusu watu wako wapigwe mabomu kisa wamechagua UPINZANI? Je, wapinzani si wa Tanzania? Je, hakuna sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.