Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa yeyote mwenye maelezo au data kuhusu karagwe kwa ubunge please let us know.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kweli wanastahili pongezi kwa kuwasimamia vizuri wadai haki wa chadema walipokuwa wamekusanyika mbele ya jengo kuu la manispaa ya arusha kusubiri matokeo rasmi ya ubunge kutangazwa baada ya mama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Amerudi kwa asilimia 75 akija na jina jipya "Chuma cha Pua"..
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ndio hivyo sio kawaida yake huyu mtu kukaa kimya sasa sijui this time ni kitu gani kilichomsibu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni suala linalozidi kuwa wazi kuwa NEC inatangaza matokeo kule ambako CCM imeongoza. Kule wapinzani wanapoongoza hasa hasa CHADEMA hawatangazi! Na kuzuwia kusoma matokeo kwa majimbo kama Ubungo na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Akionesha kana kwamba anaheshimu Tume ya Uchaguzi lakini si kweli, Kinana ameamua kutangaza final tally ya kura za UBunge na kuonesha kuwa kwenye tathmini yao wao walikuwa wanatarajia wapinzani...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
  • Closed
Je, ni kweli Chenge kabanwa koo na hataki kusign matokeo ya ubunge? Ameshindwa na mgombea wa chama gani? Wenye taarifa za uhakika p'se........!!!
0 Reactions
16 Replies
3K Views
IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA! Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM)...
0 Reactions
98 Replies
12K Views
KINANA msemaji wa chama cha mapinduzi akubali chama chake chapoteza majimbo 29 bara, 22 zanzibar!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
i think mnjika is one of those who were directly targeted for closure of university but it didnt work. thanks god
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Kwanza kabisa niwape pole ndugu zetu wote walioathirika na ubinafsi na ubabe wa chama tawala kupitia wakala wake NEC na jeshi. Nasema hivyo kwani imedhihirika kuwa tume ya taifa ya uchaguzi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
zipo taarifa zinzoonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo la kibaha mjini alishinda kwa kupata kura nyingi, lakini matokeo hayao yakabatilishwa kutokana na agizo la jk kuwa hataki hata jimbo moja la...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Bernard Membe, aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi na anayegombea tena ubunge katika jimbo hilo sasa kapata mpinzani kutoka TLP. Awali Msimamizi wa uchaguzi alikubali pingamizi la...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu, Naona wote tumeondoa kabisa macho na masikio kwa William Ngeleja kule Sengerema, na hii inampa nafasi ya kuchakachua anavyotaka. Yeyote mwenye news za huko please. Maana za kutoka huko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nccr mageuzi hatimaye watanganzwa washindi na nec wilayani kibondo saa 10 alfajiri hili ni jimbo la muhambwe.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
BABATI wameanza kuhesabu kura upya baada ya CCM kuendesha uchakachuaji...NCCR wamegoma kwani ni ngome yao! Source ITV Habari zaidi... Mawakala wa NCCR Mageuzi wanadai mgombea wao alishinda kwani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Peter Peter Mziray: Kura 4275 = 1.45 %; Jakaya Kikwete: 186 1877 = 64.2 %; Dr. Slaa: 578 636 = 19.95 % Prof. Lipumba: 238 259 = 8.22 % Mutamwega: 5690 = 0.2 % Fahmi: 3435 = 0.12 %...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Majimbo mengi ambayo CCM imeishinda Chadema tofauti ya kura ni ndogo lakini tofauti ya uwakilishi bungeni itakuwa kubwa kwa sababu viti maalumu vinagawiwa kwa kuzingatia idadi ya wabunge Bungeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania nzima wananchi wanapigwa na polisi, mabomu, virungu, risasi etc. Haya yote ili kulazimisha wewe na familia yako muendelee kuitawala na kuifilisi nchi yetu. Swali dogo kwako, Utaua...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom