Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa mahesabu ya haraka haraka upinzani kwa bara umeongeza viti vya ubunge kwa asilimia 383 kuacha viti maalumu(kutoka viti 6 hadi 29). Hi inamaanisha kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 upinzani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika post za awali kuna mtu mmoja ameuliza swali hilo, mimi naona nimjibu kwa mtazamo wangu binafsi, kwa ufupi Dr Slaa ataingia Bungeni muda si mrefu, kumbuka huwa kunakuwaga na chaguzi mdogo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni jambo lisiloingia akilini eti kikwete amemzidi Dr. Slaa hata kwenye majimbo ambayo wagombea ubunge wa Chadema wameshinda. Wananchi wengi mitaani wanashangaa na wanashindwa cha kufanya zaidi ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina anadika kama Mtanzania ninayeipenda sana nchi yangu na ambaye nimekuwa na kiu sana ya kuona matokeo ya kuwa na vyama vingi vya siasa. Kwasababu vyama vingi vya siasa vinawezesha kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari nilizipata hivi punde kutoka kwa jamaa yangu ambaye ni askari pale Arusha anasema kuwa hadi jana saa 2 asubuhi matokeo ya jimbo la Arusha Mjini yalikuwa tayari, lakini Batilda alikuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kutokana na mapinduzi haya ya Kihistoria ya Kisiasa kutokea katika nchi yetu nadhani sasa tunahitaji SPIKA MPYA wa bunge ili mambo ya KIUNDUGU NA KUJUANA KWA SANA iwe mwisho, Wabunge wawe huru...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natumaini uchaguzi ulienda salaama huko tz. Hatuwezi kusema mengi, lakini ninachoshangaa ni kwamba Mheshimiwa Slaa toka uchaguzi umeanza hajasema kitu chochote kile. basi tunatumaini kusikia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii itakuwa mwongozo mzuri sana kwa kulinganisha na huu uchakachuaji wa kipumbavu. Naungana na wale waliosema wangetamani kuwa ma sniper. Naamini ndicho dk waukweli na timu yake ndicho wanachofanya
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Tunawaomba wanahusika kujumlisha kura kwenye majimbo watuambia kama haya matoke yanayotolewa na Tume yanareflect ukweli-Jamani hata Hai na Iringa mjini ccm wanaongoza!!Mi nahisi kuna mchezo mchafu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa matangazo ya Radio one kura za ubunge, urais na udiwa ni Babati mjini zinahesabiwa upya....
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yanaanza CCM Na Upinzani at the end. MAJIMBO YAPO 239 IN TOTAL..... 1 Ubunge Tanga - Omar Noor Rashid/CCM CCM 2 Ubunge Busanda - Bi. Lawrencia Bukwimba/CCM CCM 3 Ubunge Geita -...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Mimi wala sina haja ya kusubiri wantangaze... Mtu ninayemtambua kuwa ni president wangu ni Dr. wa kweli. mkwere na ile chekacheka ni aibu eti jamani basi tu.. huwezi kumwita president..! Ni aibu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dr.Slaa,Freeman ..na wapiganaji wote !! Kwa wale waliopata nafasi za kuingia bungeni kama washindani wa CCM MJue kwamba nyie ndio mtaleta mabadiliko kwa mika mitano ijayo ! CCM ni Banzoka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viongozi wa Chadema, Wananchi tunashangaa kwa nini NEC imeanza kutangaza matokeo ya urais kutoka kwenye majimbo ambayo chadema haiungwi mkono sana. Binafsi ninakubaliana na wazo la mwana JF...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
baada ya matokeo ya kulibakiza jimbo la karatu wafuasi wa chadema walijitokeza kila kona kushangilia ushindi huo lakini cha ajabu walikuwa na bendera na wengine wamevaa mavazi ya ccm zikiwemo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
0 Reactions
63 Replies
7K Views
hii haijakaa njema ccm inatangazaa kukubali matokeo waliposhinda wao kiulaini lakini hali inapokuwa ngumu wao ndo wa kwanza kkuweka ngumu,,,,,,,,,,,,hii haijatulia
0 Reactions
1 Replies
1K Views
baada ya kubana kwa muda mrefu, wametangaza ccm 14,000 na chadema 10,200. mabomu kwa kwenda mbele, vijana wanadai haki yao!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wadau mnaona wizi wanaotaka kufanya hawa Mafisadi? Yule kibabu wa NEC bw. MAKAME kasema kuwa eti matokeo yote yatakamilika baada ya Siku mbili zijazo. Kwanza waliahidi ndani ya siku tatu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuanguka kwa waziri masha aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani na mbunge jimbo la nyamagana na waziri wa siku nyingi mhe anthony diallo na mbunge wa jimbo la ilemela licha ya mikakati mizito...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom