Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Vicent Nyerere ni mbunge mteule kwa jimbo lake ambalo sijalinasa jina ila ni hukooo kwa akina mura...kwa asilimia 59. Source, taarifa ya habari Radio One.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tunawaomba wanaohusika kujumlisha kura kwenye majimbo watuambie kama haya matokeo yanayotolewa na Tume yanareflect ukweli-Jamani hata Hai na Iringa mjini ccm wanaongoza!!Mi nahisi kuna mchezo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Taarifa toka Ulanga Magharibi zinasema Mponda amepata 18,0000 na Prof Mlambiti amepata 15,000. Kwa wale vijana sana Urafiki Jazz Band ilikuwa inatumia mtindo wa Chakachua Ngoma!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa ITV 19000+ CHADEMA dhidi ya 11000+ za CCM
0 Reactions
24 Replies
4K Views
LICHA YA KUTANGAZA MATOKEO YA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO NA MNYIKA KUSHINDA LAKINI WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE YUPO HAPA ANATANGATANGA HUKU NA KULE. SWALI:- KAFATA NINI HAPA? WANATAKA KUCHAKACHUA KULA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mashariki ccm 16200 chadema 9984 appt maendeleo 125 magharibi ccm 12659 chadema 3969
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hongera dada Halima kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Kawe. Kwa jinsi nilivyokufahamu kwa muda mfupi ninahakika wananchi wa kawe hatajutia uamuzi wao. Nakutakia kila la kheri na pia...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau, Kwa hali hii, natamani vikao vya Bunge vianze kesho!!!! Hili ndilo Bunge la mseto wa ukweli. … mweee.. Vijana, Wakulima, Wachungaji, Wanawake, Wafanyibiashara, Wazee, Wanaume...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kijana Livingstone Lusinde (Kibajaji) aliyemuangusha John Samwel Nigwiyemisi Malecela kwenye kura za maoni za CCM ameshinda Ubunge wa Mtera. Livingstone Lusinde - CCM - 23,612 Lameck Lubote -...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye data za matokeo ya uraisi mpaka sasa aziweke jamvini:peep:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nasikia Chenge kaangushwa huko Bariadi, na jimbo limeenda CHADEMA...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Basil Pesambili Mramba kaangukia pua kwa Selasin kwa tofauti ya kura 2000! Dr. Nagu naye kapigwa bomu la machozi na Kamili Hanang! Mathayo wa Same naye chali. CHADEMA! CHADEMA!
0 Reactions
22 Replies
3K Views
CCM imeiba uchaguzi Zanzibar. Kwa nini Seif anakubali matokeo wakati kihesabu CUF ndiyo walioshinda? Angalia kura za watu waliojindikisha kupiga kura na waliopiga kura utaona kuna wizi uliotokea...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Hii nimeipata from a man close to SUGU kuwa Ataachia album kwa ajili ya kuwashukuru Wananchi wa Mbeya kwa Kumchagua kuwa MBUNGE wao.......Kama kawaida ya mtu wa HipHop lazima kutakuwa na mawe ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
John Momose Cheyo ameshinda ubunge Bariadi Mashariki, live from wapo radio...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Source ITV: Naomba MAKAMBA aje atueleze zile kauli kuwa Dr. Slaa alikimbilia kugombea urais ili kukwepa aibu ya kushindwa na CCM huko KARATU. People's POWER. KARATU NI CHADEMA!!!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Namshauri Dr.Slaa kufuatilia kwa makini matokeo ya uchaguzi kupitia kwa mawakala wake na kulinganisha na matokeo ya tume na baadaye ayatolee ufafanuzi.Pia namshauri aendelee kukaa kimya na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa hakika Mpesya umepata fundisho kubwa sana, kitendo cha kuwafanya wapiga kura wa jimbo la mbeya wajinga umefika kikomo, ulisema Sugu ni muhuni mtoto wa mama lakini tambua kuwa wana Mbeya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
CHanel ten walikuwa wanatuletea matokeom ya moja kwa moja toka pande zote za Tanzania, lakini naona ghafla wameacha na kuanza kutuonesha mambo ya ujenzi wa barabara kulikoni? au chichiem...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom