Vicent Nyerere ni mbunge mteule kwa jimbo lake ambalo sijalinasa jina ila ni hukooo kwa akina mura...kwa asilimia 59. Source, taarifa ya habari Radio One.
Tunawaomba wanaohusika kujumlisha kura kwenye majimbo watuambie kama haya matokeo yanayotolewa na Tume yanareflect ukweli-Jamani hata Hai na Iringa mjini ccm wanaongoza!!Mi nahisi kuna mchezo...
Taarifa toka Ulanga Magharibi zinasema Mponda amepata 18,0000 na Prof Mlambiti amepata 15,000. Kwa wale vijana sana Urafiki Jazz Band ilikuwa inatumia mtindo wa Chakachua Ngoma!
LICHA YA KUTANGAZA MATOKEO YA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO NA MNYIKA KUSHINDA LAKINI WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE YUPO HAPA ANATANGATANGA HUKU NA KULE. SWALI:- KAFATA NINI HAPA? WANATAKA KUCHAKACHUA KULA...
Hongera dada Halima kwa kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Kawe. Kwa jinsi nilivyokufahamu kwa muda mfupi ninahakika wananchi wa kawe hatajutia uamuzi wao. Nakutakia kila la kheri na pia...
Wadau,
Kwa hali hii, natamani vikao vya Bunge vianze kesho!!!! Hili ndilo Bunge la mseto wa ukweli. mweee.. Vijana, Wakulima, Wachungaji, Wanawake, Wafanyibiashara, Wazee, Wanaume...
Kijana Livingstone Lusinde (Kibajaji) aliyemuangusha John Samwel Nigwiyemisi Malecela kwenye kura za maoni za CCM ameshinda Ubunge wa Mtera.
Livingstone Lusinde - CCM - 23,612
Lameck Lubote -...
Basil Pesambili Mramba kaangukia pua kwa Selasin kwa tofauti ya kura 2000! Dr. Nagu naye kapigwa bomu la machozi na Kamili Hanang! Mathayo wa Same naye chali. CHADEMA! CHADEMA!
CCM imeiba uchaguzi Zanzibar. Kwa nini Seif anakubali matokeo wakati kihesabu CUF ndiyo walioshinda? Angalia kura za watu waliojindikisha kupiga kura na waliopiga kura utaona kuna wizi uliotokea...
Hii nimeipata from a man close to SUGU kuwa Ataachia album kwa ajili ya kuwashukuru Wananchi wa Mbeya kwa Kumchagua kuwa MBUNGE wao.......Kama kawaida ya mtu wa HipHop lazima kutakuwa na mawe ya...
Source ITV:
Naomba MAKAMBA aje atueleze zile kauli kuwa Dr. Slaa alikimbilia kugombea urais ili kukwepa aibu ya kushindwa na CCM huko KARATU. People's POWER.
KARATU NI CHADEMA!!!!!!
Namshauri Dr.Slaa kufuatilia kwa makini matokeo ya uchaguzi kupitia kwa mawakala wake na kulinganisha na matokeo ya tume na baadaye ayatolee ufafanuzi.Pia namshauri aendelee kukaa kimya na...
Kwa hakika Mpesya umepata fundisho kubwa sana, kitendo cha kuwafanya wapiga kura wa jimbo la mbeya wajinga umefika kikomo, ulisema Sugu ni muhuni mtoto wa mama lakini tambua kuwa wana Mbeya...
CHanel ten walikuwa wanatuletea matokeom ya moja kwa moja toka pande zote za Tanzania, lakini naona ghafla wameacha na kuanza kutuonesha mambo ya ujenzi wa barabara kulikoni? au chichiem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.