Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kiwanja KINA sqm 1298 kipo Mbutu kigamboni, kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea. Bei milioni 40...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake Kina ukubwa sqm 850 Kipo mita 30 kutoka barabara kuu *Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga Umeme ushafika hauhitaji nguzo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Kipo kibaha kwa Mathias, Squire meter 400. Kipo msangani juhudi,jirani na stend ya bajaji Bei milioni 3
2 Reactions
12 Replies
911 Views
Kwa wale wenye kutaka kuishi humo au kuweka Sheli ya mafuta au biashara kubwa yyte hii sehemu inafaa. Kuna nyumba mbili zimeungana na PANAUZWA kwa pamoja .Eneo lipo karibu kbsa na main road...
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Wakuu Kuna boma linauzwa Mbweni Millioni 40 . Mtu ataendeleza tu hilo boma Mita 15.3 kwa mita 23 N.B chenye thamani ni kiwanja sio boma .Call 0759600684
0 Reactions
2 Replies
467 Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
1 Reactions
1 Replies
456 Views
Kiwanja Kinauzwa! Mahali: Kibaha kwa Mathiasi. Bei: Milioni 60 (kunamaelewano). Maelezo: Kipo karibu kabisa na barabara ya kuu ya morogoro - upande wa stendi ya daladala kuelekea Ubungo...
0 Reactions
5 Replies
847 Views
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI (40 urefu kwa 22upana) Sifa ya kiwanja 1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki 2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji 👉 Mashamba tambalale Kwa ufupi. Eneo la ekari 3.5 beach area Lipo mkoa wa pwani Kisiju Karibia na bandari ya Kisiju Kituo ni Sotele Km 87 kutoka City Center DSM Bei ni...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali! Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani. Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya...
3 Reactions
5 Replies
694 Views
habari wana jf . nauza kiwanja changu kinachopatikana mbezi mji mpya karibu na stendi ya magufuli terminal. kiwanja kina ukubwa wa futi 60x50 average sio square. Bei ni 15,000,000 maongezi yapo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Ukubwa wa kiwanja: 650 Sqm. Eneo: Goba Kulangwa, barabara mpya ya lami ya Kuelekea Madale. Bei: Tshs 25,000,000 (Milioni 25) Kina hati ya wizara. Contact : 0742141467
2 Reactions
36 Replies
6K Views
SHAMBA LINAUZWA [emoji3534] Ekari ~5 Shamba Lipo Lulembela ~bugalagala Mita 500 kutoka bara bara kuu [emoji778]Linafaa kwa kilimo cha bustan (nyanya,tikiti n.k) [emoji3534] price 4,000,000/=...
1 Reactions
4 Replies
618 Views
Kiwanja kiunauzwa kipo madale kina uku wa square meter 520 Tsh 9,000,000 kina barua ya manunuzi kutoka serikali ya mtaa huduma zote za kijamii zipo Tuwasilane 0686995586 karibu sana.
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro. Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini...
1 Reactions
8 Replies
936 Views
Property Investors Company inauza Viwanja Kigamboni eneo la Chekeni Mwasonga vyenye sifa: [emoji835] Viwanja vipo karibu na kiwanda cha cement. [emoji835]Vipo km3 toka Barabara ya Kimbiji...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
IKO UMBALI GANI KUTOKA MOROGORO RD? Plot na Nyumba ya kisasa ndani yake iko 3kms kutoka Morogoro Rd . PAKOJE? Plot iko 50 metres kutoka barabarani na imezungushiwa fence ya kisasa inayowaka taa za...
13 Reactions
237 Replies
20K Views
Plot No. 348 & 349 Block "A" CBD Area Kibaha. Plot size: Square Metre 13,370 & 6529 (5 acres) Location: Viwandani Street, Lulanzi, Kibaha, Tanzania. Use: Industrial. All fenced Current use: 30...
0 Reactions
12 Replies
999 Views
Back
Top Bottom