Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
TUNAUZA VIWANJA ENEO: Kibaha Misugusugu, Kilomita 2 toka morogoro road. _________ MALIPO: Kwa awamu ndani ya Miezi 6. _________ BEI: Taslimu - Tshs 10,000 @1Sqm, Awamu - Tshs 12,000 @1Sqm ___...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
A plot for sale Kibaha Kwa Mathias. Ukubwa: Mita 20 kwa 20. Umbali: Km 5 Bara bara ya lami. Usafiri piki Piki 1500, bajaji 1000. Umeme na maji ya dawasco yapo. Huduma za kijamii zote zipo. Kipo...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari zenu, kichwa cha habari hapo juu, kinajieleza. Kiwanja ni cha kwangu, hakina udalali. Kiwanja kina sifa zifuatazo 1. Hatua 25 kwa 20 2. Umeme na maji vimepita hapo hapo mpakani, utavuta...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za wakati huu; Tuwasiliane kwa wale ambao wanahitaji kununua mashamba na viwanja katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.Maeneo tunayouza ni yaliyopimwa na ambayo hayajapimwa.Maeneo yako...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Shamba (pori) Heka 2 kwa bei ya Milioni 2 Na Nusu linauzwa halijawahi kufyekwa, lipo chanika msanga zalala maji chumvi Lina rutba zote na Lina Hati miliki me mwenyewe muhusika na sio dalali kwa...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
WAHI VIWANJA JIRANI NA BARABARA KUU KILWA ROAD. Viwanja vipo kilometre chache kutokea mbagala rangi Tatu..kituo kinaitwa Dundani sheli ya Muro.. na viwanja viko hapohapo. Viwanja vina huduma...
1 Reactions
10 Replies
805 Views
Habari JF? Mimi nahusika na kutafutia watu viwanja na mashamba, nawaunganisha na wauzaji kwa bei nafuu kabisa. Kwa sasa nina kiwanja maeneo ya kisesa karibu na round about ya usagara, mita 200...
0 Reactions
4 Replies
883 Views
Napenda kuwatangazia kuwa kiwanja kinauzwa, Taarifa za kiwanja [emoji116] [emoji117] Mahala - Kata ya Mjimwema, wilaya ya Kigamboni, Dar es salaam. [emoji117] Ukubwa ni mita 60 ×mita 50...
1 Reactions
3 Replies
516 Views
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Plot for sale at Ungindoni Kigamboni, located 200 meter from main road. ideal for commercial and residential investment. Asking price ; 380M Tshs. for more info contact; +255 712 347 749 +255 746...
1 Reactions
2 Replies
563 Views
Habari za muda huu wana jukwaa Naomba niende moja kwa moja kwenye mada,kwamba kuna Shamba la viazi vitamu ukubwa wa ekari 21 linauzwa. Shamba linapatikana mkoa wa Geita wilaya ya geita vijijini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja kipo king’azi njia ya kinyerezi kwenda mbezi, sio mbali na kwa dr ndodi, kiwanja, umeme na maji vipo hapo hapo, bajaji kwenda mbezi ni buku, pikipiki zipo, magari ya kukatiza route kutoka...
1 Reactions
1 Replies
538 Views
Vipi wadau, kiwanja kizuri kwa kujenga(flat) kinauzwa Zingiziwa Hospital. Bei 5,000,000. Tuwasiliane kwa namba 0677089280.
0 Reactions
14 Replies
778 Views
Habari wana jukwaa! TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi Nauza kiwanja changu kipo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kiwanja kizuri sana Kina huduma zote Maji Umeme Barabara Kipo nyuma ya shule ya msingi twende pamoja Jirani na gereza la mahabusu kibaha (sofu) Kina ukubwa wa mt 20 kwa 25 Barabara ipo mpaka...
0 Reactions
1 Replies
416 Views
Kiwanja kiwanja Bei nzuri Bei ya offer, kiwanja ni chakwangu mwenyewe, hakuna udalali, umeme na maji vipo eneo la kiwanja. Maendeleo na nyumba zimejegwa sana, kiwanja ni hatua 25 kwa 20 Bei ni...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
16,740 square meters Area Located at Iringa - Kibwabwa , close to Ruaha River , with very good climate for sale. Area suitable for big investiment e.g school, apartments, farming, green -house ...
1 Reactions
1 Replies
594 Views
Kiwanja nikizur Sana Kinauzwa kipo kimara suka Ukubwa ni mita 20 kwa 22 Kimepimwa na serikali yamtaa bado Hati. Bei milioni 👉 12 maongezi yapo Usafili upo mwingi tu bajaji Tsh. 700...
1 Reactions
0 Replies
768 Views
Kipo Kibaha kwa Mathias karibu na kambi ya jeshi nyumbu mtaa unaitwa mita 50, kimejengwa vyumba viwili na choo. Vyumba vimewekewa umeme tayari, maji pia yamefika maeneo hayo. Kimepimwa kwa hatua...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom