Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nauza boma lipo Majohe Kichangani Ukubwa wa kiwanja ni 31×30 Nyumba ina vyumba 3 kimoja master Pia pembeni nyumba in frame 4 za biashara Ni mjini sana na umeme, maji na barabara vyote vipo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nauza chumba cha biashara (hakijakamilika) Eneo la Morombo sokoni. Bei 6.5 M Mawasiliano 0768734611. Whatsapp 0786817145.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ni nyumba ya kuishi na familia, inauzwa ipo Mapinga-Bagamoyo Road kwa bei ya Tsh. 18,000,000 (Milioni 18) lakini majadiliano yanaruhusiwa. Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo Masta...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo tanga mjini maeneo ya usagara ipo karibu na barabara. Ina vyumba sita (6) Sebule Choo ndani Fremu moja ya biashara Maji + Umeme Total Square meter (660)..Bei ni milioni...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Nyumba inaukubwa wa SQM- 450 ,Ipo karibu na ghorofa za NHC na chuo cha DUCE. Nyumba ipo katika eneo tulivu kabisa wenyeji wa eneo hili wanaita hii Nyumba kijiji kutokana na Nyumba nyingi zilizopo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba IPO mtaa wa Shirikisho Kigamboni Mwembe mdogo mita 200 tokea stend Na kilometa 15 tokea kivukoni Call 0685392211 Document serikali ya mtaa na upimaji shirikishi umeshafanyika Uwanja sqmt...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
-Apartment iko posta ghorofa ya 10s -Ukiwa kwenye apartment unaitazama bahari kwa upande mmoja kwa upande mwingine unautazama mji kwa ufasaha kabisa -Ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni...
6 Reactions
131 Replies
12K Views
Nyumba inauzwa Ina 1.Vyumba vinne kimoja master 2.Public toilet 2 3.dinning room 4.Sitting room 5.Open kitchen 6.front and rear verandah 7.Car parking shade 8.Eneo la hekari moja ndani ya fensi...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nyumba yenye vyumba 5 ikiwa kwenye hali nzuri. Ina uwanja mbele na nyuma Mita za mraba 1500 Inauzwa mil 90 maongezi yapo Karibuni simu 0768412181 Mbezi Kimara
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa ipo Jijini Mwanza katikati ya Nyegezi kona na stendi ya Nyabulogoya,pia kuna eneo limebaki kwa ajili ya kujenga nyumba nyingine,Eneo linafaa kujenga guest house. Ukubwa wa eneo; 30...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei. 60million, Maelewano yapo. Nyumba:Ina vyumba vitatu vyote ni self contained,master room 1,sebule, dining,store,choo. Umeme na maji vipo. Taarifa: Ina HATI kabisa, Ukubwa wa kiwanja ni...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Nyumba inauzwa eneo la Luguruni, ni maeneo ya karibu na majengo mapya ya manispaa mpya ya ubungo Sasa opposite, Vyumba vya kulala vinne Ukubwa wa eneo ni robo ekari Nyumba ni mpyampya Pazuri Sana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
+Vyumba vinne (viwili master) + Plot sqm 500+ + Ilazo Dodoma +Bei 55M (negotiable) + If you're interested karibu DM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyumba ya wapangaji inauzwa, ina wapangaji 5 ( 3 ni single rooms, 2 ni chumba na sebule) wote kwa pamoja wanalipa 450,000 kwa mwezi na kila mmoja ana Luku yake. Ina vyoo 4. Maji Dawasco na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ina Hali Nzuri na Eneo ukubwa miguu 25 kwa 20, Pia ipo karibu na barabara Kuu. Ina Sebule kubwa, dinning room,jiko,vyumba 2 vya kulala,choo na bafu.. Na pia ina Banda la nyuma lenye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipo Ndofe, Igoma.. - Ina vyumba vitatu kimoja ni master - Sebule& dinning room - Jiko - Public toilet ya ndani Nyumba ni mpya. Kiwanja kimeshipimwa ambapo ukubwa wa eneo ni 25*35 mita. Maji yapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ipo Mbezi Mwisho mtaa wa Msakuzi ipo karibu na barabara/Kituo cha Daladala. Nyumba hiyo ina vyumba vitatu. Price: TZS 26,000,000 (mwenye nyumba ana shida ya haraka kwahiyo kashusha bei)...
1 Reactions
53 Replies
11K Views
NYUMBA INAUZWA. MAELEZO Ni nyumba mbili ndani ya compound moja Moja ina vyumba vitatu na nyingine vyumba viwili. Pia zina: -sitting -dining -public toilet UKUBWA sqm400 DOCUMENTS Leseni ya...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nyumba inauzwa , mahali ilipo ni ni miembe saba, Kibaha mjini , ni nyuma ya tatu toka sheli ya panone , opposite kiwanda cha kusindika chakula cha kuku na binadamu cha Energy. Sifa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ina vyumba vitano kwa ndani, bafu choo, na kuna vyumba viwili vya nje pamoja na eneo kubwa kwa nnje, nyuma na mbele. Eneo la mbele ni kubwa unaweza ongeza nyumba nyingine au fremu za biashara...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom