Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari, Nauza kiwanja Cheney hati miliki kipo kibaha picha ya ndege km 2 kutoka barabara kuu na kiwanja kipo barabarani kabisa . Ukubwa 1026 sqm, bei 12,000/= per sqm na huduma za jamii zote zipo...
2 Reactions
8 Replies
852 Views
Kiwanja kipo eneo la Nzuguni centre kabisa kwa wasiokufahamu ni Karibu na stendi kuu ya mabasi ya mikoani na soko kuu la ndugai . Kiwanja ni kwa ajili ya matumizi ya taasisi za kidini, shule na...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari wakuu, Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa...
1 Reactions
5 Replies
703 Views
[emoji2769]Ngazi Ya Kupanda Kiuchumi Ipo Kigamboni [emoji2769]Hakikaa Hata Wewe Unaweza 143000 TU Kila Mwezi. [emoji2769]Kamwe Usiruhusu Mazingira Yanayokuzunguka Kuzuia Ukuwaji Wako [emoji2769]...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
1 Reactions
6 Replies
802 Views
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna Size: hatua 18 kwa 16 za miguu Mawasiliano: 0713096076 Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Kibamba shule, karibu na Hondogo sekondari ukubwa wa eneo 35m x 15m liko vizuri sana bei 10,000,000 mawasiliano 0787503677 or 0656403680
1 Reactions
4 Replies
856 Views
Eneo linauzwa lenye ukubwa wa heka moja linauzwa lipo kitanga wilaya ya kisarawe lina mabanda ya kufugia mifugo mbalimbali kama [emoji230] ng'ombe, [emoji238] mbuzi, kuku [emoji215] bata na kuna...
1 Reactions
9 Replies
954 Views
[emoji95]JE WAJUA? Nguvu ya laki 8 tu,unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa. [emoji3534]Tupo Vikindu na Vianzi [emoji95](Ukubwa...
0 Reactions
3 Replies
520 Views
Shamba la korosho lenye ukubwa wa hekari kumi na lenye mikorosho 300 ambapo mikorosho hiyo ni ya miaka mitatu na ipo tayari kwa kuanza kuvunwa, lipo ndani ya jiji la Dodoma, lipo mita 500 kutoka...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Shamba liko kijiji cha Kwala (Serikali inapojenga bandari ya nchi kavu na reli ya standard gauge(SGR) bei ni laki 8 kwa Kila Heka 1, zipo Heka 12 kijiji kimepimwa hivyo ukihitaji hati ya kimila...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Karibuni wateja tuwapatie maeneo kwaajiri ya ujenzi na uwekezaji, yamepimwa na huduma zote za kijamii zipo. Check me via 0620701780.
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Nawasalimia wanajamvi. Pole na majukumu naomba nijielekeze kwenye mada mzee mmoja tunaefahamiana akanifuata kunitaarifu kuwa anauza shamba lake na ametafuta wanunuzi kwa mwaka sasa hafanikiwi...
1 Reactions
10 Replies
880 Views
Enwo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibu sana ...
0 Reactions
5 Replies
516 Views
Eneo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibuni sana ...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Eneo: Kiluvya Madukani Km 02 toka barabara kuu Ukubwa: 600sqm Bei : 6m
1 Reactions
2 Replies
828 Views
DODOMA LANDLORD COMPANY(DLC) TUNAKULETEA HIZI HAPA APARTMENT NZURI ZINAUZWA. [emoji1485]mahali:-MICHESE DODOMA MJINI. MKABALA NA RELI YA SGR. [emoji1485]NYUMBA ZA KWANZA BAADA YA RESERVED ROAD...
0 Reactions
9 Replies
975 Views
Heloo wakuu habari Ninauza kiwanja kina ukubwa wa sqm 540(20X 27) kipo bunju B mtaa wa kihenzile .ni umbali wa dk 8 kutoka barabara kuu ya bagamoyo.,kipo eneo zuri jirani kabisa na club ya simba...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Asalaam alaikum Nawatangazia kua nina kiwanja nauza ambacho kina sifa zifuatazo . Kiwanja kipo maneno ya Kigamboni maeneo ya puna . Kutoka barabara kuu ni meter 50 . Kiwanja kimepimwa na tayari...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom