Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba inatafutwa kinondoni budget ni laki5 NiPM kwa maongezi
0 Reactions
2 Replies
720 Views
Ni apartment yenye vyumba viwili ikiwemo master bedroom! Jiko, sebule kubwa, family toilet na nafasi kubwa ya kupaki Gari ndani ya fence! Nyumba inapatikana Makongo juu Kwa kodi ya 450k kwa mwezi...
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month. Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka. Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Ina vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+ +maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea Ipo Kigamboni km 1 toka kwenye pantoni Bei: Tsh. Laki 3.5...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
jumla ya vyumba ni vinne ,master Mbili +Sebule+Dining Room+jiko+stoo +tank maji +fensi na Parking Ipo mikadi kigamboni Bei: Tsh. Laki 5 kwa mwezi (malipo ni mwaka) Dalali yangu ni mwezi mmoja...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Iko Tungi Kigamboni Km 2 toka darajani/Pantoni Ina vyumba vitatu kimoja master +Jiko la ndani na nje+Dining +choo cha familia+kisima cha maji safi+tank +Madirsha Ya Vioo +parking na fence...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Malumalu : Nyumba nzima Gypsum: Nyumba Nzima Maji: Yapo Umeme: Upo Bei: 150,000 kwa Mwezi Hali Ya Nyumba: Mpya Mahali : Kigamboni Tungi (Km 1 toka Ferry/kwa usafiri ni Dakika saba umefika)...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini wanaJF kwa yeyote anayehitaji nyumba kuna nyumba ipo maeneo ya kimara korogwe dk 5 toka kituo cha mwendokasi aliyepo anatoka mwezi wa 1 tar 10 haina udalali ni chumba,sebule,jiko choo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, poleni na majukumu. Kwa anayehitaji nyumba ya kupanga, maeneo ya Ngulelo kituo cha dala dala, nyumba ipo hatua 15 to 20 kutoka kituo cha dala dala Ngulelo, bara bara kuu ya Arusha to...
1 Reactions
1 Replies
819 Views
Nyumba ya kisasa parking, Kisima cha Maji safi Gari hadi getini, Ipo km 1 toka darajani/pantoni Tsh. 500,000 kwa mwezi Vyumba vitatu kimoja master Sebule ,Jiko la ndani na nje, choo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ipo Ilala Mchikichini 100M kutoka barabara kuu 24 Security included kwenye kodi 24 Dawasco water included kwenye kodi Gypsum Tiles Sliding windowa A c Hot water Bei ni 1,100,000 Malipo ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau; Chumba cha kupanga kinatafutwa, maeneo ya Ubungo mpaka Kimara Mwisho 1. Chumba Kiwe Na Umeme Na Maji 2. Kisiwe Mbali Na Barabara 3. Kikipatikana chenye choo ndani au choo cha kujitegemea...
1 Reactions
1 Replies
988 Views
A storeyed house of two master bedrooms, garage, garden, kitchen, dinning , public toilet and fenced, has gate, located at mikocheni A near Engen petrol station quiet location. Features Full...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
1. Ref no.1 APARTMENT TOLET SUMMARY Location: Dar es salaam, MbeziBeach Asking Price: Tshs 250,000 Property type: Apartment Bedrooms: 1 Bathrooms: 1 PROPERTY DESCRIPTION A house of one...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Chumba kimoja self-contain kinapangishwa. Kiko Bunju A, karibu na shule. kinafaa Bachelor, Spinster or young couple wasio na familia. Rent in Tzs 120,000 per month water and electricity inclusive...
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Natafuta nyumba maeneo ya upanga Dar es Salaam.Iwe na master bedroom moja,bedrooms za kawaida ,sebule na jiko.kama ipo naomba uje PM.
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Malumalu : Nyumba nzima Gypsum: Nyumba Nzima Maji: Yapo Umeme: Upo Bei: 150,000 kwa Mwezi Hali Ya Nyumba: Mpya Mahali : Kigamboni Tungi (Km 1 toka Ferry/kwa usafiri ni Dakika saba umefika)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ina vyumba vitatu ikiwemo master bedroom! Maji yapo, Nyumba ipo ndani ya fence! Sliding windows, Full tiles, Kodi Laki sita kwa mwezi!!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
hello naomba msaada nipate room nzuri maeneo kawawa road yote, kinondon road na uhuru road. nitafute kwa 0713 123 160. very urgent
0 Reactions
2 Replies
705 Views
Ipo Makongo juu. In chumba kimoja cha kulala chenye choo na bafu, sebure, sehemu ya kulia chakula, jiko, choo cha wageni na vibaraza mbele na nyuma. Nyumba imezungushiwa uzio. Kodi tshs 500,000...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom