Magauni quality ya mtumba
Premium grade hii ni zaidi ya grade A
Mengi bado mapya yana Lebo zake
Tunauza Jumla kuanzia gauni 15.
Gauni bei ni sh. 8,000 - 15,000
Karibuni
Tupo ubungo Mawasiliano...
Wakuu salama,
Nauza tyres4 mpya kabisa zina muda wa miezi 3 na rim zake mpya kabisaa. Tyres ni Goodyear ni imara sana. Ukitaka tyre peke yake nitakuuzia na rim pia. Tyre size ni 215/45/R17 na rim...
Wakuu nina mzigo wa fridges nzuri sana za boss hapa, nautoa nataka uishe chap sana ili nilete mzigo mwingine, hivyo basi nimeweka punguzo kubwa sana la bei.
Ukinunua kwetu unapata Usafiri bure...
Kibanda mkokoteni, maalumu kwa kuuzia nguo.
Kinauzwa, bei poa na ni tofauti na mikokoteni yote (karibu) +255755360768 location:- arusha
sifa za kibanda hiki;
Kwanza kabisa kibanda hiki hakipo...
Mara nyingi gari ikiibiwa masega,
1. Itawasha check engine
2. Inaweza kukosa nguvu.
3. Inaweza kumisfire(misi).
4. Itatumia mafuta vibaya sana.
Hizo ni baadhi tu ya dalili ambazo unaweza...
MODEL: Boxer
MODEL NUMBER: BM 125
LOCATION: Tegeta, DSM
Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa
Ina registration card
BEI: 1,100,000/= maongezi yapo
NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
Hello there !
Niko Mbeya, katika Uzi huu ntakuwa naweka bei za vyakula
Mbalimbali kutoka Mbeya, kama mtu unataka utawasiliana
Na Mimi,makubaliano yatakuwa hivi, mi nitaweza kukuagizia
Kuanzia...
Nahama mkoa nauza chap hivyo kwa mwenye uhitaji
KITANDA CHA CHUMA 5X6 NA CHAGA ZAKE BEI 140,000 TU
FRIJI KALI LA MTUMBA MADE IN SOUTH KOREA BEI NI 180,000 MASHINE YAKE HAIJAWAHI KUGUSWA WALA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.