Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Salam, Kiwanja kimepimwa kinauzwa Lindi eneo la Mtanda. Kina ukubwa wa 30 x 60 bei ni 5M. Unapata view nzuri ya bahari ya Hindi na viunga vya mji wa Lindi. Kipo karibu na nguzo ya umeme, pia...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu habari, mimi nipo mbele yenu leo kuliuza shamba zuri la mikorosho lililopo wilaya ya Manyoni lenye ukubwa wa ekari 13. Shamba hili lipo katika mradi mkubwa sana wa korosho hapa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kiwanja ukifika Bunju Stand pale unaingia Kulia kama 1km watu washajenga kando ya kiwanja kina Hati na akidaiwi Bei n 80m negotiations 0692685475
0 Reactions
3 Replies
580 Views
Changamkia hii fursa kiwanja kinauzwa hakina dalali ni mtaa wa Rasta zuma kata ya terrati...jijini arusha. Huduma za kijamii .maji umeme vipo na usafiri wa daladala ni wa uhakika. Mmiliki amehama...
1 Reactions
8 Replies
870 Views
Karibu wapendwa tujenge taifa pamoja. Tuna viwanja vizuri Sana Msumi mwisho. Vimekaa vizuri Kama unavyoona kwenye picha. BEI yake ni rafiki kiwanja Cha 20X20 ni milion 10..ILA maongezi yapo(...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Plots nzuri kabisa Mbezi mwisho (1.5Km ) Kutoka KITUO kikuuu Cha mabasi Cha Magufuli (Magufuli bus Stand). Karibu tujenge taifa pamoja. Mawasiliano +255784355775 - Mr MBUNGI.
0 Reactions
2 Replies
615 Views
Hiki ni kiwanja cha kujenga Hostel za wanafunzi kinauzwa. UKUBWA 1. UREFU 28 2. UPANA 25 Kiwanja kipo Mwanza maeneo ya kisesa karibu sana na Chuo kikuu cha Mipango na Maendeleo vijijini-MWANZA...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Ukubwa wa kiwanja 800sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 45milioni More information- 0742141467
1 Reactions
0 Replies
581 Views
Ukubwa wa kiwanja 1030sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 55milioni More information- 0742141467
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa. Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika. Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana Jamvi, Mimi ni mmiliki wa kiwanja chenye boma ambalo halijaisha, kiwanja kipo Buhongwa centre na kimepimwa, kina ukubwa wa 40 kwa 30. Bei mil.6.5 N.B Hakina dalali. 0687259290
1 Reactions
11 Replies
1K Views
[emoji3591]Wadau habari za jioni Eneo linauzwa Dodoma mjini...maeneo ya kikuyu South extension. [emoji3591]Eneo lina square mitre 373 [emoji3591]Lipo karibu kabisa na station ya treni ya mwendo...
0 Reactions
9 Replies
766 Views
Kiwanja kinauzwa goba tegeta A Mtaa kazimoto street. Sqm 360 Price 9.5m Huduma zote za msingi zipo ikiwemo maji na umeme. Gari mpaka kiwanjani. Call: 0767507487
1 Reactions
1 Replies
760 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 400 kinauzwa kwa shilingi Milioni 12. Kiwanja kiko wilaya ya Kinondoni eneo linaloitwa Mivumoni pia kiwanja kiko mita 700 kutoka Mivumoni Senta na kiko...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi. Mahali:Nyashishi - Mwanza. Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami, Mwanza - Shinyanga. Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi. -Halina...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Viwanja vipo goba tegeta A ukivuka shule ya msingi kuelekea madawa. 1. 20/22meter kipo kazimoto street. Bei ni sh 13 mio mazungumzo yapo. 2. 20/30 meter kipo kazimoto street, kina kamtelemko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki. Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph. Fika au...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5 10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
1 Reactions
3 Replies
966 Views
Kiwanja kikubwa cha mita za mraba 940 na kimepimwa kiko Goba wilaya ya Ubungo umbali wa kilomita 2 kutoka Goba senta. Kiwanja ni mali yangu mwenyewe hivyo hapa hakuna udalali, nifate inbox...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom