Wadau nauza Kiwanja changu, kipo wilaya mpya ya Kigamboni, Kimepakana na viwanja vya Kisota. Kiwanja kinaangalia barabara ya kutoka Ugindoni kuelekea Kisota. Kipo sehemu tambarale hakuna maji...
eneo ni kubwa kwa ajili ya matumizi ya sheli
limekuwa surveyed na lina hati
location: njia ya goba kwenda mbezi
barabara imechangamka sana na ina lami..traffic ipo ya kutosha
mawasiliano...
Nauza kiwanja Kiluvya njiapanda ya kwa Sumaye. Kiwanja kinaukubwa wa nusu heka, kimewekwa mawe bado hati tu.
Kipo karibu na miundombinu yote barabara na umeme
Bei ni milioni 13
Kwa mawasiliano...
Kiwanja kinapatikana BUNJU B njia ya kuelekea/kwenda mwabepande.
Ni karibu kabisa na kota za TIB
2km kutoka BAGAMOYO road
Kiwanja kina hati miliki.
Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1608
Huduma muhimu zote...
Nauza kiwanja chenye ukubwa mita 50*40
Kiwanja kipo umbali wa km 2 kutoka barabara kuu ya kuelekea Mbande
Kiwanja kipo eneo linaitwa Kitonga Mbagala.
Kiwanja kinauzwa kwa bei ya Tshs mil 4
Kwa...
Habari wana JF nauza eneo lipo michese dodoma KM 6 kutoka soko la majengo miundo mbinu iko mizuri.
ukubwa wa eneo ni sqm 2162 au tulio zoea hatua ni miguu 57 kwa 52.
bei milioni 4
karibu PM wanunuzi.
-ukubwa wa eneo ni 25m *23m square meter 575.
- eneo lipo kwenye mradi wa urasimishaji ardhi
- barabara ipo ya mtaa hadi kwenye kiwanja
- eneo lipo karibu na shule ya msingi kifuru (malamba...
Wadau!
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani...
Kiwanja kinauzwa heka 4, kipo bagamoyo kilomo kilometers sita kutoka barabara kuu ya bBgamoyo, upande wa kilomo shule ya msingi, ukienda Bagamoyo upande wa kushoto, uliza kilomo shule.
Bei ni...
Shamba linapatikana mkuranga mkoa wa pwani.
Kijiji kinaitwa BUNGO ( baada ya kutoka mkuranga mjini)
Shamba Lina jumla ya hekari 3
Umbali kutoka lami mpaka shamba lilipo ni meter 800-1km
Shamba...
Kiwanja kipo Nyanshishi Mwanza, mita 500 kutoka kituo cha daladala Nyanshishi zinazofanya safar ya kwenda maeneo mbalimbali ya kona ya jiji la Mwanza.
Kimeshapimwa na kinasubiri kutengenezewa...
kiwanja hiki ni kizuri kwa kujenga nyumba ya kuishi au ya kupanga maana ni KM 1 kutoka barabarani na panafikika kirahisi wakati wote
ukichimba maji yapo karibu
miundombinu ya umeme ipo jirani...
Habarini wanafamilia wenzangu wa Jamii forums, bila shaka ni wazima na mnaendelea vizuri na majukumu ya kulijenga Taifa letu.
Kama tangazo linavyojieleza hapo juu, nyumba ina jumla ya vyumba 3...
JE UNATAKA KUJENGA GHOROFA DODOMA?
[emoji3500]NUNUA KIWANJA SASA USISUBIRI BEI ZIWE KUBWA UJUTIE KAMA WANAVYOJUTIA WATU WALIOPAPUUZIA MASAKI AMA OYSTERBAY MIAKA IYO...
Ukubwa 720 m²
Bei - 6,000,000
Vibali : mkataba wa mauziano kutoka serikali ya mtaa.
Kipo karibu na zinapogeuzia daladala za stand kuu - Igawilo
Hakina mgogoro wowote, kipo eneo zuri la...
SITE INAUZWA
MAHALI: MSIGANI-MADALE, DAR ES SALAAM
KM 6 KUTOKA TEGETA KIBAONI
BEI 26M
Contact 0767175518
KUNA FRAME TATU ZA BIASHARA
PIA
SITE INA
vyumba vitatu viwili ni self contained
ukubwa...
Iko Mbeya, kyela, km 12 kuto kyela mjini kipo pembeni na beach ya mwamyange umeme upo, Kuna msingi wa mawe,kina ukubwa wa eka moja na zaidi kidogo(77x75)
Price: 55 mil negotiable
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.