Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Update: Biashara haipo tena!! Wakuu habari! Nina plot yangu yenye maelezo yafuatayo naiuza.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale mwisho wa magari karibu na barabarani kina ukubwa wa square 600 bei million 8.5 no:0756855563
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga Urefu 27m Upana 22m Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji viwanha ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naunza kiwanja changu kiko Mbezi Msakuzi kilomita 2.5 kutoka mbezi mwisho. Umeme upo palepale site na huduma zingine za jamii zipo. Kimeshafanyiwa preminary survey. Ukubwa: mita 20 kwa mita 21.Bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25 Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316 Kimepimwa kina hati Urefu:30 Upana:10.5 Bei 2m maelewano Nb gharama za serikal ya mtaa unalipa wewe...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Mradi Mpya wa Viwanja Dar es Salaam!! Location/Eneo: Madale Mivumoni (Nyuma ya shule ya atlas madale campus) Distance/Umbali: 1.5 km kutoka barabara ya rami Price/Bei: Tsh 25,000 kwa sqm...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja ni kizuri kwa matumizi ya makazi Eneo kilipo: bunju B Umiliki: kina hati Ukubwa: 1048 square metre ziada: kimezungushiwa ukuta Price; milioni 30 (maelewano kidogo yapo ) Mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Hiyo ndio March Price list ya viwanja vya Dodoma. Wahi Sasa ujipatie kiwanja kwa bei ya punguzo. Kwa mawasiliano simu au whatsap namba 0621399079. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Viwanja viko Nyashishi, kilomita mmoja kutoka stendi ya daladala nyashishi zinazofanya route ndani ya Jiji la Mwanza. Viwanja viko zaidi ya 50 na bei zinatofautiana kulingana na ukubwa pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
PALACE PROPERTY LIMITED Tunatoa Mikopo ya Viwanja na Mashamba bila riba wala dhamana. MIRADI YETU 1.MADALE MIVUMONI Viwanja vipo Kilomita 2 toka Goba Njia nne. -Mita 400 toka main road. -Huduma...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Ninauza Kiwanja number 36 kilichopo Mkundi, Morogoro mjini, umbali mita miambili toka Dodoma road. Kina hati rasmi, siyo squatter. Gharama ya kubadilisha jina la hati itakuwa juu yako ambayo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga Urefu Mita 27 Upana Mita 22 Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum Bei Tzsh 3,700,000/= Maelewano yapo Mawasiliano 0765062114 Whatsap...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Nauza shamba nimepanda papai eka 1 na nusu, Ukubwa wa shamba eka 5 maji yapo mengi, shamba lipo wilaya kisarawe njia ya chanika mwisho, shamba nimeng'oa visiki shamba zima, kuna kibanda cha bati...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris, Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22. Eneo lipo karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni (beach) Bahari ya Hindi. Panafaa sana kibiashara,hasa kujenga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza Redmi Note 7 Blue. Brand New Sealed and straight From Xiaomi Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage) ROM ni 64GB RAM 6 GB 6.3'' inch display Line...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Karibu upate viwanja vilivyopimwa Karibu na fukwe ya bahari Kigamboni Eneo: Bamba beach (Gezaulole) Umbali: Mita 100 kutoka bahari I Umbali: Km 16 kutoka Ferry Bei: 32000 kwa mita mraba Malipo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kiwanja kipo Goba Mpakni kina ukubwa wa sqm 1000 yani 40 × 25 bei ni ml 20 kimepimwa ila hakina hati muuzaji ana dharura hivyo hata kama una nusu bei mnaweza kuandikishana then ukamalizia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Pata viwanja vikubwa vilivyopimwa Dodoma Eneo: Miyuji Proper Ukubwa: Kuanzia Sqm 1700 mpaka 2100 Bei: Milion 14 Umbali: Km 1 kutoka Chuo cha Mipango Malipo: Miezi 6 Wahi Sasa ofa hii kabambe...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Pata leo kiwanja Goba Eneo: Goba (Tegeta A) Bei: 30000 kwa mita mraba Umbali: 100m kutoka barabarani Wasiliana nasi kwa simu namba 0621399079 Au fika ofisini kwetu Ubungo, nyuma ya Ubungo...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale kina square meters 1575 Bei milioni 35 mazungumzo yapo kwamhitaji namba no: 0764586952. Kiwanja madale mwisho ukubwa 20/30 Bei milioni nane mazungumzo yapo kwamhitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom