Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kiwanja kinauzwa kipo Mvuti -kiboga, Mvuti ipo katikati ya mbagala na Chanika now kinauzwa kwa tsh 1.2m tu ukubwa 30x16m.kutoka Mvuti stand mpk site bodaboda tsh 2000 0657999034
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hiko cha kwenye msingi wa jiwe Chenye bamba 1129 Hicho ktkt ya hiyo duara Ukubwa sqm 611 Ni km 3 tu kutoka City Centre(katikati ya jiji) Kipo mtaa wa Chinyoya kata ya kilimani Dodoma mjini Price...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari kiwanja kinauzwa Mbweni block 2 kina ukubwa wa square meters 1254 kina hati kimepimwa bei mil 40 maongezi karibuni sana kuona ni bureeee eneo ni kubwa mno Contact 0714787795
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Wakuu Habari, Ninashamba langu Naliuza Ekari 67 na kila eka ni Tsh.3m ,miti aina ya milingoti ina miaka mitano, ambayo baada ya miaka miwili utauza, Nimepatwa na shida inayohitaji fedha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Sehemu :Bamba,Mwongozo Kgamboni, kimepakana na nhc ukubwa : 632sqm, umiliki : Kina hati Barbara inafikika mpaka kwenye kiwanja tambarale, kilomita chache mpka bahari ya hindi bei :17M mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
726 Views
Shamba linauzwa Kilolo Iringa. Lina ukubwa wa ekari 100 na limeoteshwa miti ya pine. Kama unahitaji wasiliana kwa namba 0758 256 297
0 Reactions
0 Replies
998 Views
eneo la ukubwa wa ekari tano.kila eka moja milioni 4.mtaa wa msangani . huduma zote za kijamii zipo . eneo zuri kwa makazi,shule.ufugaji na kilimo kwa mawasiliano zaidi pm
7 Reactions
84 Replies
12K Views
BUYUNI BEACH PLOT Cal.+255 788-224220 +255 767-562153 UMBALI NI 37 KM KUTOKA KIGAMBONI FERRY -viwanja vimepimwa kwa square meter 400 (20 kwa 20) -Eneo lake ni zuri na neighborhood yake inavutia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa hapo juu kwa yeyote mwenye kuhitaji shamba la kilimo lenye maji na miundo mbinu mizuri yaani barabara umeme upo shamba liko barabarani linafaa kwa kilimo cha vitunguu mpunga...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri kipo barabarani kabisa huduma za kijamii Kama maji umeme vinapatikana kizuri zaidi mawe yanapatikana Hapo hapo kwa wale wanaopenda kupigwa upepo hapa ndo sehemu sahihi. Kiwanja...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari, Je unataman kumilik ardhi na hujui utaipata wap?Karib kwetu tukusaidie update ardhi nzuri kwa bei nafuu kabisa tunauza Viwanja na Mashamba, VIWANJA vipo KIGAMBONI -kimbiji Golani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 2921 (zaidi ya nusu eka) kinauzwa. Kiwanja kipo Kibaga- Kinyerez karibu na Songas-Kinyerezi Plant. Kiwanja kinafaa kwa shughuli za biashara, Makazi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili. Bei: Tsh. 950,000/= Umeme Upo na maji visima vipo karibu Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18 Hakuna Dalalii Piga namba 0627864823 Huduma za...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Karibu Obey new villege Ni mradi wa viwanja vya makazi na biashara (kisemvule) BEl SASA NI MILIONI 1.3 TU.Ni Viwanja Vizuri sana VIMEPIMWA. Piga /Whatsaap 0627952483 UKUBWA kwa kila kiwanja ni...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mwanza plots for sale Call/whatsapp 0786611014/0712376898 Location: Kisesa Mwanza Size: 600 - 25,000 sqm Price: Tsh 8,000 per sqm.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, nauza shamba heka 10 na heka 4 zipo kijiji cha pili kutoka kimanzichana kilometer moja kutoka barabara ya kilwa. Shamba la heka 10 ni shamba Pori linafaa kwa kilimo na ufugaji, matumizi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiwanja kilichopimwa kipo Mwasonga, Kigamboni kilometer 30 kutoka ferry, ni kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa sqm 712 na sqm 725 kila kimoja nauza kwa million 5 unaruhusiwa kutanguliza Milioni 3...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale mwisho wa magari karibu na barabarani kina ukubwa wa square 600. Kimeshapimwa bei million 8.5 no: 0655 628 795
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa, Kigamboni, Toangoma (Kituo funcity) mtaa wa malela kipo jirani na nyumba ya karoti. Ukubwa Meter 26.5 * 20 Kina slope upande mmoja haiathiti ujenzi wako. Bei milioni 6 (Neg...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom