Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

-Kiwanja kipo Kiluvya Gogoni mbele ya Kibamba -Kiwanja kinatazama Morogoro road -Kina ukubwa wa square meter 4800s -Kina hatimiliki -Kinafaa kwa matumizi ya sheli,godown au kiwanda bei : mil...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa 2500 square meters Kimepimwa Kinafikika Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil. Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
0 Reactions
2 Replies
752 Views
1. Viko umbali wa 4km kutoka lami au 4km kutoka Dar es Salaam Zoo au 14km kutoka Kibada centre ama 23km kutoka ferry 2. Vimepimwa tayari kwa hati 3. Unaweza lipia hadi hati halafu tukakutafutia...
0 Reactions
0 Replies
568 Views
Shamba la miti ya mbao ekari 80 linauzwa kijiji cha kibengu wilaya ya mufindi km 60 kutoka mafinga mjini, miti ina umri wa miaka sita. Mahali panafikika kwa usafiri wa aina zote. Bei elekezi ni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Eneo la fukwe linauzwa lipo Kigamboni. Kilometa 3, kutoka ferry. Ukubwa wa eneo: SQM 7228 Documents: Hati safi kabisa. Bei: Mil 750 (Maongezi yanaruhusiwa) Call: 0758676743
0 Reactions
0 Replies
542 Views
-Eneo lipo Goba karibu na njia nne,limeface barabara ya lami -Ukubwa wa eneo ni square meter 2961 - Eneo lina hati kwa matumizi ya sheli Bei: maelewano na mmiliki mawasiliano: 0765494548
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri na kikubwa kinauzwa Tabata. Bei mil 11 Ukubwa ni 30*30 Huduma zote zipo maji na umeme. Mita chache kutoka barabara kuu ya mawenzi. *ardhi ina mchanga mwingi utapata was kujengea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello Jf. Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Eneo lipo Kibada block 18, Ukubwa wa eneo ni SQM 3500. Eneo lemepimwa na lina hati kutoka wizara ya Ardhi. Linafaa kwa matumizi mbali mbali, kama vile, Go down, Kiwanda kidogo, Ujenzi wa shule...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Viwanja hivi vinapatikana Vikindu, vimezungukwa na huduma muhimu kama maji, Umeme, Shule, Hospital n.k umbali kutoka Vikindu Stendi ni km 2 Ukubwa Futi 50 X 40 Milion 1. Ukubwa Futi 50 X 80...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
01.Kiwanja namba (plot No.) 647. Block .... Ukubwa wake SQM 880. Bei milioni nane (8Mil). Daladala inafika kwenye kiwanja Karbu njoo DM 02.kiwanja kingne kina ukubwa wa SQM 427 Plot No.119 Maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje) Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800) Umeme na maji vipo karibu. Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo. Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Beach Plot No 1 kina Sqm 1,808 kinauzwa Tshs 100,000,000/ ila Hati bado inabidi kilipiwe kiasi na Hati ikitoka zinamaliziwa. Beach Plot No 2 kina 1,323 sqm kinauzwa Tshs 95'000'000/ kina Hati...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU _______________________________ NIMEWALETEA VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU KATIKA ENEO LIITWALO MICHESE,NAOMBA TUIFAHAMU MICHESE KWANZA KWA KUSOMA MAELEZO HAYA...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Viwanja vipo Mtaa wa Kulangwa, Kata ya Goba, Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam. Ni karibu na Madale Mwisho. Viwanja vinne vipo km 2 kutoka Madale Stendi, na kimoja kipo karibu na Stendi ya Goba...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Plot is situated at KIMARA- TEMBONI , 3KM from Temboni bus stand . plot ni tambalale ukubwa wa kiwanja ni SQUARE METER 900 ( 30 METER * 30 METER) ... PRICE MIL. 12,000,000/= (negotiable ) . ENEO...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda. Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe. Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wawekezaji tuna eneo geza ulole kigamboni linauzwa kwa heka kwa atayehitaji awe mwekezaji au mwananchi tu wa kawaida kuna heka zaidi ya 600/karibuni sana.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau! Nauza kiwanja changu mwembe mdogo kigambo mbele kidogo na ya Dege umbali kutaka Ferry nikama km 25 kufika kwenye kiwanja. 1.UKUBWA hatua 70 kwa 70 2.MUONEKANO...
4 Reactions
111 Replies
12K Views
Nauza kiwanja Kipo kinyerezi karibu na sheli ya Victoria Ni dk1 tu kutoka barabarani Bei mil 23 maongezi yapo Kina ukubwa wa Mita 45*35*25*10 Hata mwenye pesa pungufu anaweza kulipa Kwa awamu so...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom