Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Weka tangazo,mahali ulipo bei ya saa na aina yake pamoja na namba ya simu karibuni. Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo; Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mmoja ni wakusimama "full'' bei yake ni 45000/ Mingine 15 ni ya blauzi 3500 Ni used nlikua nafanyia biashara nimeacha Bei hizi hutapata popote. Location: Tabata kinyerezi Call: 0783391278
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Printers, copiers, HDD, PC, Monitors, Mabango, kusoma kompyuta etc Tupo Dar, Iringa na Dodoma Piga/watsap: 0623 071 611 Dar - Mwembe Yanga Tandika karibu na chuo cha bandari Dodoma - wajenzi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Printer ya EPSON L382 kwa Tsh 280,000/= tu . Iko clean kama mpya haijawahi kurefill tangu upya wake. Ina 1. photocopy colored na black &white 2. printing colored na black & white 3. scanning 4...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni freezer aina ya Syinix. Lita 263 Ni used lakini kama mpya. Haijawahi kuwa na tatizo wala kutengenezwa. Inapatikana Dar es Salaam. Nauza tsh. 500,000 au kama una friji ya kioo (show case)...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu nimekuja na ofa ya hizi taa zikiwaka zinaonyesha sign ya piano Watu wote wanaweza kutumia 1. Kama unafanya kazi usiku na huhitaji mwanga mkali hii itakufaa sana 2. Kama unapenda...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
Nauza bidhaa zifuatazo: Friji ndogo linapoza na kugandisha vizuri utalipata kwa 140,000 tu Water dispenser fully box utaipata kwa 160,000 tu Mini friji linapooza na kugandisha vizuri utalipata...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Ps5 2 Controllers 1CD (Ghost Of Tsushima) Condition - Used 1month Price:*1,950,000/= •Call/txt/Wasap *0658825054 Location Magomeni Mapipa.
1 Reactions
2 Replies
811 Views
Habari, Husika na kichwa cha habari, Mitambo ya ujenzi kama excavators, faw tippers, wheelloaders, weighbridge, drill machine etc inauzwa. ipo Lugoba Tanzania. Bei ipo kwenye picha 0658007766...
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Ina mwezi mmoja Lita 250 Price : 700k Kinondoni DSM 0718909429
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Nipigie kama unayo kwa namba 0627774377
0 Reactions
1 Replies
265 Views
Kin'gamuzi Cha Startimes kinauzwa, kipo na antenna yake pamoja na waya wake, Bei TSH 40,000 napatikana Pugu Kigogo Fresh, DSM, Mawasiliano 0625579184 Sent from my Infinix X657 using JamiiForums...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TVS 150 AMEMALIZA MKATABA KIJANA ANATAKA KUIUZA YUPO DODOMA MJINI DOCUMENTS ZOTE ANAZO BEI 1,500,000/= Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
634 Views
banda kubwa zuri la bati linauzwa bei 280,000 tu maongezi kdg yapo halina tatizo lolote!lipo kigamboni linahamishika kama unalihitaj nipigie 0653110660
0 Reactions
3 Replies
426 Views
Goodmans HD Projector UK Brand Model : 363566 Full HD Projector 1080p✅ 2000 LUMEN Led ✅ Built in Speakers✅ 2 HDMI input + VGA✅ USB (Flash pamoja na SD Card)✅ Bluetooth (Unaconnect kwenda...
1 Reactions
6 Replies
765 Views
Nauza subwoofer ya Gari. Imekuja na Gari. gari ina mziki mkubwa sana naiondoa. inakuja pamoja na waya wake wa kufungia Ina mziki mzuri sana. ukiwa na hii Huhitaji kujaza buti zima mamitungi...
1 Reactions
6 Replies
869 Views
KILIMO NI BIASHARA POWER TILLER OR WALKING TRACTOR BRAND SHAKTI MADE IN CHINA LAKINI IMEDIZIINIWA KWA SOKO LA INDIA . Hii ni nzuri sana kwa kulima,kupalilia,kuengeneza matuta nk.ina matairi ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza meza ya kusomea/kuandikia bei chee - Temeke, Dar es salaam. Bei: 60,000/-
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Simple design (Ramani) 3 bedrooms Kitchen Store Dining Living room toilet Tofali 3300 Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 20 Get the plan +255678418272 Whatsapp
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom