• Direction: Magomeni Makanya
• Facilities: Old house and 6 frames
• Plot Area: 350 sqm
• Document: Title deed
• Price: TZS 250 million
• Site Visiting: TZS 30,000
.
✓ ni kiwanja cha kona
✓ kipo...
Shamba linauzwa hakuna udalali lipo DODOMA kata ya chihanga Lina ukubwa wa heka 4 linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Wasiliana nami 0658090695 bei kwa kila heka ni million 3
Aisee wadau, kuna viwanja vimepimwa, viko tambarare karibu na bahari maeneo ya Buyuni centre Kigamboni.
Viwanja vipo kuanzia 420sqm hadi 700sqm na bei ni 2,000,000tsh hadi 2,500,000tsh.
Nicheck...
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 700
Ni corner plot
Kina njia...
Habari wana Kaskazini
Kwa mahitaji ya kununua na kumiliki viwanja tajwa hapo juu vvilivyopimwa na vina hati kamili toka mamlaka husika. Kwa miji ya Arusha na Moshi. Na viunga vyake.
Viwanja vina...
Nauza kiwanja Dodoma mjini maeneo ya Chidachi mlimani jirani na St. Mary's. Kina ukubwa wa sqm 600. Kina nyumba ambayo haijamaliziwa, ina vyumba vinne, viwili vikiwa master, sebule, dining, jiko...
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni...
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot...
Habari za wakati huu...
Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa...
Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho....
Kilomita mbili mpaka madale mwisho...
Kilomita mbili mpaka Goba njia nne...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 150 linauzwa. Liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe, kijiji cha lwanzali kwani miundombinu yote iko sawa, na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi...
-Ukubwa wa kiwanja ni SQM 1045
- kiwanja ni Tambalale
-umbali kutoka Fery ni KM 21
umbali kutoka baharini ni km 3 na kutoka Main Road ni km 3
kiwanja kipo Mtaa wa Shirikisho
Document - serikali...
Nunua kiwanja kwa bei chee.
Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20
Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9
Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6
Kiluvya kwa Sumaye...
Eneo linauzwa lipo kisemvule-kibamba lenye ukubwa wa square meter 1200.
Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet.
Eneo...
Eneo linauzwa lipo kisemvule lenye ukubwa wa square meter 1200,
Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet
Eneo lipo...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.