Pikipiki ni King Lion
Cc 150 Gia 5
ametembea mwaka mmoja
Hana shida yoyote njoo na hela yako tu
Engine nzima kabisa
1,800,000
Nipo Nae machinjioni hapa
0713096076
nauza bulb camera kwa bei rahisi kabisa arusha mjini
-inaunga wifi hivyo unaweza kutazama kinachoendelea nyumbani au kwenye biashara kwako ukiwa popote duniani kwa simu yako (smartphone)
-ina...
Salama wakuu, nmewasogezea hapa printer Hp LaserJet. Printer ipo kwenye hali nzuri kabisa ni (Black&white) kwa yoyote ambaye atakuwa interested bei yake ni 250,000= top top, kwa mawasiliano zaidi...
Jipatie jiko la gesi na umeme kwa matumizi ya nyumbani
Brand:Gl general
Condition:used
3 gas burners
1 electric hot plate
Electric oven with light
Price: 200,000/=
Tunapatikana Tabata Dar es...
Njoo uchukue bajaj hii inafanya kazi ya kubeba abiria hapa hapa igoma jijini Mwanza
engine nzima, seat nzima, 0713096076
kwa siku unaweza ingiza 15,000+ faida tupu
Tunaanzia 2,500,000 it...
Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana niliejiajiri na sasa nimepata fursa kubwa zaidi hivyo nauza vifaa vya saloon hivyo kwa anaehitaji chap anipigie kwa +255625981281
*Machine
*Kiti
*Vioo kidogo...
Mashine ya kuhesabia Hela
bei ya offer 330,000/=
Free delivery
Condition: New
Tupigie 0745146690 / 0656190449
Ofisi yetu ipo Kinondoni Studio
CHRISTMAS OFFER
Week hii natoa ofa ya incubator ya mayai 56 kwa wafugaji 10 wadogo.kwa Bei ya 300,000/=Tsh.
✓Inatumia umeme/betri la gari na solar .
✓Inajiendesha yenyewe.
✓ Inauwezo wa kuangua zaidi ya 97%...
Grab this unbeatable offer: 199,000/=
HP Laptop for sale
Specs
Model HP 6550b
Ram 4GB
Intel i5
Battery (charge) depletion time 45"- 1hr
❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam)...
Mashine ya kusaga onauzwa
mashine bado ipo kwenye hali nzuru kabisa , ina mwezi mmoja tangu itoke dukani
aina ya mashine ni YD , HP 20 , pia inatumika kuchania mbao au kumwagilia
mashine ipo...
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji.
Mche mmoja ni elfu...
Tiles za mawe za kuuza. Bidhaa zetu zote ni zinazozalishwa katika Arusha. Tunakomboa nchi kote.
Bei Huaanza kutoka 30,000 tzs kwa m2 hadi 50,000 tzs kwa m2 kwajili ya wall cladding tiles.
Paving...
Topcon ipo na vifaa vyake vyote tayari kwa kutumika, ni used japo haijatumika sana kama inavyoonekana kwenye picha
Specifications; overall length 192mm, effective diameter 30mm, magnification...
Baiskel nzuri kal inauzwa bein saw na bure. Ina gear 6. break . Kiti kipya cha kukalia. Kiti imala cha kubebea mizigo. Haina kiungo chochote wal kuchuka rang.
Pia nabadilishan na sport bike hata...
-32 inch kawaida....................... 300,000
-32 inch smart 4k android.........355,000
-40 inch kawaida........................575,000
-40 inch smart 4k android........650,000
-43 inch smart 4k...
Kama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.