Jipatie wall tiles kwa bei poa sana
Wall tiles
kampuni: Good will
size: 20*30cms
location: Tabata Matumbi
bei: 12,500 per 16 pieces
Unauziwa mzigo na risiti unapewa.
wahi mzigo upo wa...
Habari wa jf nauza pikipiki boxer 150 kwa bei ya sh milioni moja na laki 6, (1.6) inapatikana dar kiwalani, haina tatizo lolote karibuni wateja , 0785332010 au 0719103409
Machine ya kukamua Juisi ya miwa inauzwa imetumika kwa miezi sita na list yake ipo.Ipo vingunguti stand barabara ya kwenda airport.
Bei ni Sh.800,000/= maongezi yapo bei inashuka haina tatizo...
Habari wana jukwaa,
Hii ni Mara ya Tatu naleta threads yangu ya TANGAZO la biashara
Cha kushangaza kila nikiweka TANGAZO wanafuta
Naomba kujua
Hii ni biashara haramu?
Nini nimekiuka kwenye hili...
Leo nna mzigo mwingine... Huu unaitwa MSR X6 Bluetooth Deftun.
Huu unausika na kutengeneza Door Lock zenye high security zinazotumia smart credit card [emoji388] Kama za Bank kufugulia milango...
Rola moja ya senyenge ina urefu wa mita 600,na senyenge ina unene wa milimita1.6.
Senyenge hizi hazishiki kutu(galvanized).
Inafaa kwe fensi ya nyumba,maboma ya mifugo,shamba,nk.
Bei kwa...
Imebaki hii meza ya chakula ni nzuri sana, ina viti sita, meza bado ni mpya kabisa, katikati ina kioo.
Bei ni laki sita. Ipo Nyakato Mecco
Mawasiliano 0622723082.
[emoji91][emoji91] AIR PODS 3 Sealed. [emoji91][emoji91]
N.b NI UPGRADED
VERSION ZENYE HIGH BASS.
SEALED BOXES
23,000TSH
RANGI ZIPO MBALIMBALI
Free delivery in Dar es...
Wadau nauzA friza kubwa milango mitatu bei sh 1,800,000 ni Aina ya Von.
Mzani unapima mpaka kilo 300, bei 300,000
Vyote vinapatikana Dodoma mjini
Walio serious kununua tuwasiliane Kwa no 0745305685
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.