Jiko la gas na umeme pamoja na oven. (Gas 3 na Umeme Moja)
Limetumika kidogo sana. Ni VICTRA Japan.
Njoo ulione ujiridhishe. Bei inapungua
kidogo.
Lipo Segerea - Dar es salaam
Bei: 450,000/...
Tunatengeneza na kuuza mashine za kuchomea( welding) za size mbalimbali. Ni wakati wa kujiajiri sasa mambo yameshabadilika.
Bei inaanzia 300,000/-
Tunapatikan Ubungo
0713322856
habari wandugu, nauza simu aina ya iphone X, imetumika kwa miezi mitano tu.
Ina uwezo wa gb 256,[emoji736]
Face Lock [emoji736]
True tone [emoji736]
Kwa mwenye uhitaji wa simu hii bei ni 800,000...
Jiko la gasi na umeme pamoja na oven. (Gas 3 na Umeme Moja)
Limetumika kidogo sana. Ni VICTRA Japan.
Njoo ulione ujiridhishe. Bei inapungua
kidogo.
Lipo Segerea - Dar es salaam
Bei: 450,000/...
Jiko la gesi LA kukaangia chipsi linauzwa kwa 70000 tu. Lina regulator ya high pressure na pipe yake ya mita tatu. Limetumika mwezi mmoja tu.
Lipo mbezi beach-salasala. Atakaehitaji anicheki...
HP LCD monitor
Size: 47 cm (18.5 in) widescreen; diagonally measured
With VGA and Power cables
Price: 60,000/= Tshs
Location: Sinza Mori near Lufungila Bus Stop
Contact: 0752776793
Karibu nikuuzie hii mashine.
Imekaa muda mrefu kidogo bila kutumika ila inawaka vizuri sana.
Iko full document
Changamoto zake:
Betri sio zima sana
Master brake ya mbele
Breki ya mbele
Hivi...
Lipo kwenye hali nzuri mwenye nalo anahama mkoa kesho hivyo atakaehitaji ni aje achukue leoleo kimara. Tsh 120000 bado lina hali nzuri sana dukani ni laki3
Tuwasiliane pm
Heshima kwenu wajasiriamali tunawaletea mashine za kukaanga,kuchemsha na kunyonyoa kuku boresha biashara yako kwa hizi mashine bora kutoka strong tech
Kaanga samaki kisasa zaidi.
tunapatikana...
Hi guys, naomba mniunge mkono Nina HEAVY DUTY blender za SILVER CREST Zenye watt 4500,[emoji1491]
Ni nzuri Sana na zinafaa kwa shughuli nzito za Office na nyumbani.
Zinasaga nafaka,lishe ya...
Unaweza kuweka oder yako kupitia namba hii hapa 0786866021 au whatsapp namba 0659971309 keki zetu ni tamu sana na hautojutia kula keki zetu[emoji1374].
Tunauza bidhaa nzuri zilizotengenezwa kwa mti wa muanzi yaani bamboo tree, bidhaa ni nzuri, zipo kwenye kiwango cha ubora wa juu na salama kwa matumizi.
JE, FAIDA YAKE AMA UPEKEE NI UPI?
Kwanza...
Tunauza machine mpya kabisa kwa za hard ice cream au maarufu gelato.
Voltage: 110V/220V 50/60hz
Power: 1.6KW
Size: 525 x 490 x 640mm
Weight: 65kg
Cylinder : 5L
Cylinder Size: 22 x 10.5cm...
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania
Husika na kichwa cha Habari Hapo juu.
Nawauza Hao sungura watatu Hapo wamezidi utukutu. Naona bora niwauze drop your offer kwa wote hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.