Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari karibuni tumeshusha mzigo wa tracksuits za watoto jumla na reja reja mzigo upo wa kutosha kabisa Material ya tracksuits Ni 100% cotton✓ Umri Ni kuanzia miaka 4 Hadi 12✓ Bei ya jumla Ni...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Perfume moja 30000 Vyombo kimoja 5000
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Haina tatzo lolote iko poa 30gb 40x optical zoom na chaji yake pia ipo Bei Tsh 110,000//=
0 Reactions
2 Replies
447 Views
Unakosaje Huduma bora na uhakika wahi sasa Von Hotpoint Cooker - Stainless Steel Price Tshs 650,000/= #Product Features . 3 Gas Burner and 1 Electric Cooker [emoji830]Electric oven and grill...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili ) Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu. Piga 0742141467 Bei Tshs 100,000 Maelewano yapo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarini wandugu, Nauza makochi yaliyotumika (3-seater na 2-seater) ya ngozi nyeusi. Bei laki 4 elfu 50. Makochi yanayo mito ya ziada ya chini ambayo nimeyahifadhi. Yanapatikana Mbweni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri. Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/= Tunapatikana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jipatie Time attendance device kama kihakiki cha mahudhurio ya wafanyakazi kiwandani, ofisini mahotelini nk, na hata mashileni. Rahisi kutumia. Ina back up Battery kama umeme umekatika, unaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia) Debe la mahindi utapata KWA 8500 Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa. Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k. Ila ofa hii ipo KWA kipindi...
1 Reactions
0 Replies
739 Views
Nauza kitanda. Bei laki na 20 (120,000/=). Nipo Banana Ukonga. Namba yangu ni 0712505049.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wafugaji wengi hasa kwenye ufugaji wa kuku iwe kutaga au wa nyama changamoto kuu zipo mbili magonjwa na kuibiwa kuku wako hata kama idadi uliifahamu, Sababu kuu ni kuwa control vijana na hata...
0 Reactions
2 Replies
608 Views
  • Closed
Nimelima mihogo hekari 3 , masoko tatizo kidgo nataka kuuza hekar tatu zote.0719688404
1 Reactions
0 Replies
564 Views
Nauza vioo vya laptop vipo vinne Vipo katika hali nzuri ni slim mkanda mkubwa inch 15.6 Location Mwanza Bei kwa kila kimoja 50,000/- kwa vyote vinne 200,000/-
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kizima kabisa hakina tatizo lolote Kipo tabata mwananchi dsm tanzania call/txt 0768048752
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nauza scooter aina ya honda Model Honda Click 125Cc. Bado ina hali nzuri mnoo imepasuka taa ya mbele tu. Bei 1,500,000 (maongezi yapo) ipo dar mwananyamala kwa maelezo zaidi piga namba hii 0783150130
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Peanut Butter (Siagi ya karanga) Hii ni karanga iliyosagwa na kuchanganywa na chumvi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Siagi hii ni mbadala kabisa kwa wale wanaohitaji kubadilisha mfumo wa ulaji...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Bei ya vitanda vya kisasa sawa na buuure kabisa, nipo Mbezi beach -Salasala. 0679478758 4 kwa 6 , 250000 5 kwa 6, 300000 6 kwa 6 , 350000 Karibuni sana.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom