Karibuni sana mjipatie magodoro ya kila aina safi yenye ubora uliohakikiwa na kupitishwa na TBS napatikana kinondoni biafra
Yapo magodoro yenye size mbalimbali kulingana na mahitaji yako na bei...
(1) Deep fryer inayotumia gesi yenye container mbili zenye ujazo wa Lita 6 kila mmoja bei tsh 150,000/=(fixed)
(2) Oxygen cylinder tsh 160,000/=
Simu: 0735327523 DSM
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125 used ,iko dar es salaam kijichi, bado ina hali nzuri sanaa , injini haimjui fundi, documents zote zipo na bima bado ipo . Bei 1,450,000 (mazungumzo...
Unahitaji mashine sasa Najidakia store & General supply tupo Kwa ajili yako
mashine ya juice ya miwa utaipata Kwa million moja na Laki mbili tu inachuja na kuacha juisi yako ikiwa safi kabisa mtu...
Karibu upate Kisimbuzi (decoder) Cha Startimes Cha dish kwa 79,000 tu.
Unapata mwezi mmoja bure. Kifurushi kikiisha bado utaendelea kutazama channel zote za nyumbani bure. Ukilipia
Utafurahia...
Nauza To link router kwa bei karibu na bure
TP Link router 3G/4G wireless N Router
brand New Ipo kwenye box lake
Bei tsh 60000
Location karume Dar es salaam
contact 0757870230
Canon powershot 540
Ina 20.3 mega pixels
Inatumia wifi
Inapiga picture hd mnoo
Inaweza kuchukua video
kaliInakuja na betry 2
Charge
8gb memory
Bag lake
Nataka 380k
0623953036 whatsapp/calls
Habarini wapendwa karibuni fried dagaa kutoka Mwanza dagaa watamu hawana uchungu wala mchanga kwa bei rafk sana karibuni.
Container dogo 2500
Container size ya kati 5000
Size kubwa 10000...
Call/whatsapp 0656 666 662
Radio mpya ya gari touchscreen inch 7
-inasupport Bluetooth
-inasupport mirrorlink
-inasupport usb,memorycard
-inaplay music na video kwenye flash
-ina support channels...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.