Nauza moderm zifuatazo bei poa.
MODERM ya Airtel no mpya nauza 30,000/+ moderm ya Vodacom yenye namba juu ni 20,000/- na nyenzake pia ya Vodacom ni 15,000/-
Karibuni Sana nipo DSM 0625610791 &...
Buda Water Pump Dispenser
- Ni rahisi kutumia
-Ina Rechargeable Battery Inatumia Usb Cable (smartphone charger) kucharge
-Inatunza Charge ndani Mwezi Mmoja na zaidi
-Kuwasha na kuzima unabonyeza...
Karibuni wote
Nauza vitenge sh 27000 tu pande tatu kwa kitenge kimoja napatikana Dodoma Nkuhungu karibuni ni kutokea Congo na Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunauza sit up bench, punching ball pamoja na dumbell vyote ni 270,000 tsh free delivery in DSM ila mikoani tunatuma kwa bus wasiliana nasi 0754234121
Sent using Jamii Forums mobile app
Sofa laki mbili kila moja zipo tatu
Meza moja elfu 50 tu
Laini ya uwakala Mpesa laki moja na arobaini tu
VYOTE PIGA SIMU 0716358293 na 0744051524
Friji ipo vizuri sana na inagandisha laki...
Condition: Used for about 4 months
Price:400k TZS (price is negotiable)
Problem: Focus Screen (costs 150 - 200k TZS to fix)
Pick Up: Sinza A
Currently market price: $1000 USD - $1500 USD
Any...
Ndugu poleni na majukumu,
Nauza Pikipiki aina ya Tvs INA miezi mitano, bei ni 1.4million.
Location Dar-mbezi Beach Makonde.
Mawasiliano yangu ni 0718221009.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni mabibi na mabwana. Matumaini yangu mko salama salmin.
Ninaleta kwenu hizi dumbbells zangu ninazoziuza.
Sifa:
1. Ni pair moja ya dumbbells branded
2. Ni adjustable, unaweza...
Mlango unauzwa TSH 300000 wasiliana nasi kupitia 0689344774 au WhatsApp number 0656783090.
TUNAPATIKANA TABORA pia tunachukua Oda kutoka sehem mbalimbali Tanzania.
Iwe toyota/ Nissan/ Suzuki/ Izuzu/ Benz etc.
Kutokana na vyuma kuendelea kukaza, tumekuja na ofa kabambe kwa ajili yako
Karibu kwangu nikuuzie radio mpya za kuona zagari kwa malipo ya awamu tatu...
Habari za majukumu.
Nauza AC ni nzima kabisa unakuja kukagua ikiwa haijafunguliwa ukiridhika unalipia unafungua unabeba
Nauza sababu nahama napoishi na baadhi ya vitu sitakuwa na uhitaji navyo...
Nauza kitanda kizuri cha kisasa kimetumika ila bado kina hali nzuri sana. Size ni 5 kwa 6 na kipo Tegeta Kibo, DSM
Mawasiliano 0683-796778 - bei inapoa kidogo.
Meza ndigo ya sebuleni (Coffee table) 60*60 cm mbao ya mkongo inauzwa IPO Arusha bei tshs 100,000/ tu mawasiliano 0621 048817.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi JF
Natafuta cabin / kichwa cha mitsubish canter kwa ajili ya kurekebisha gari yangu canter tipper iliyopata ajali.
Sifa za cabin.
Iwe ni ya canter mayai siyo box
Iwe na dash body complete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.