Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NUMBER: 46 BEI: 40,000 TZS WHATSAPP: 0743232148
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nauza viatu vya Sperry Top Sider US Size 8.5M. Viatu ni pair mojq tu na ni vipya kabisa bila boksi. Sababu ya kuviuza ni kugundua viatu vina size ndogo baada ya kuwasili kutoka USA. Bei...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sale Sale Bought new from Japan/ All in Good Condition/ Ni Vifaa vyote vya kufanyia kazi/ Vifaa vilivyopo; -Tyre Changer, -Compressor ujazo litre 500. -Charge betri yenye uwezo wa kucharge...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nunua raba aina ya platform sneakers, zina soli ya juu kidogo, ni nyepesi na imara Pair moja utapata kwa 25000 tu Wedge za kike utapata kwa 28000 tu Napatkana mbezi luis dsm. Mawasiliano ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakuu nina powerbank used proda 20000 mah ipo katika hali nzuri.. Bei tsh 60000. Napatikana Moshi Mjini. 0655234557.
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane. Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jipatie viatu vizuri mno kwa bei nzuri Sebago 48,000/= Slippers 18,000/= Tunafanya delivery. Tuko Dar es Salaam Mawasiliano 0656838727 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BEI YAKE NI 20000 TU Kuna: Chupa ya Chai Hotpot Sahani 2 Majagi 2 Bakuli 2 Kopo dogo Glasi 1 Kwa kifupi vyote unavyoviona hapo 20000 tu. Vipo Mbagala Zakiem Piga simu: 0623717049 Sent using...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jipatie asali bora kutoka Sikonge Tabora kwa bei poa.... Lita 1 = 10,000/= tuu..... Lita 5 = 45,000/= tuu..... Tunapatikana Dar na Tabora.... Mikoa mingine tunatuma pia.... Kwa mawasiliano tucheki...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Natafuta matank ambayo hutumika kuifadhia mafuta kama petrol , diesel au mafuta ya taa. Unaweza kuwa nayo wewe, rafiki yako, jirani au sehemu yoyote unayojua naomba uniunganishe, yanaweza kuwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wakuu, nauza water dispenser ndogo, ni nzima kabisa haina tatizo lolote BEI: laki mbili tu LOCATION: Moshi Mjini SIMU: 062 472 9398 Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Vitu Used (ila kwa hali nzuri karibia na upya) vinauzwa!!!!! Mahali: Shinyanga Mjini Sababu ya kuuza: Nahama Mkoa 1/Dressing table (inahitaji kioo, rangi na vitasa)-mbao 2/Pasi ya umeme...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Aina - TOSHIBA storage - 1,000 GB location - Mwanza Price - 100K contacts - PM au 0628301473 NB- imejaa movie na series kali kibao Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Nauza Komyuta (Desktop complete) Yenye Sifa zifuatazo. Core i5 @ 3.10 proccessor, 4GB RAM, 500GB HDD, 19" Monitor, keyboard and Mouse. Bei ni Tsh. 330,000/. Napatikana Dodoma mjini . Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza adsense account ambayo imetoa pesa mara 3 inauzwa bei 500000 kama unahitaji piga simu no:0756855563
1 Reactions
2 Replies
766 Views
Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha, inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo. Napatikana Mbeya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nauza MEMORY card ya simu for 35000tsh
1 Reactions
2 Replies
971 Views
Nyumba inauzwa. Location-Mbezi beach goig(nearby bagamoyo road and nearby massana hospital) plot size-sqrm 401 PRICE-150m Nyumba inahitaji marekebisho,japokuwa ipo eneo zuri. Kwa atakaekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom